Haman cha kupinduka ilikuwa hivyo toka zamani.Mbona kama mesa imepinduka?
Nyie pia mna matamanio ya kuonja ladha tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haman cha kupinduka ilikuwa hivyo toka zamani.Mbona kama mesa imepinduka?
sio kumdhalilusha ni kueleza factUnamdhalilisha hata mama yako?
hiyo pia ni kweliHaman cha kupinduka ilikuwa hivyo toka zamani.
Nyie pia mna matamanio ya kuonja ladha tofauti
hata wewe mkeo malaya,mama yako malaya na dada zako malayaMkuu umeoa malaya unajifariji kuwa hata wa wenzio wapo ivoo
upotoshaji upi? wewe baba yako wa ukweli unamjua?Sio kwel mkuu hacha upotoshaj
hoja yako ina umuhimu ni utafiti nilioufanya kimya kimya kwa vipimo vya kisayansi naweza kushindwa kutetea hoja hiiFuta hiyo kauli Wanawake wote
Hiyo research umefanyia wapi mpaka useme wote?
Una uthibitisho? Siwatetei ila wapo wengi tuu wasio na mambo mengi
Endeleeni kuoa hao malaya wenuKwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
nikufundishe kujadili hoja acha ujinga wa kudhani kuwa hoja hii nimeileta eti kwa kuwa mke wangu ni mchepukaji,sikulaumu maana una nhaa ta hatari kula yako ni ya taabu mno mpaka mkeo akaliwe ndio alete hela ya chakula nyimbaniNdege wafananao huruka pamoja, kama wako ni mchepukaji basi hata ww ni mchepukaji.....lkn si vyema kujumuisha wanawake wote kwa tabia ya mkeo, au hao wachache umekutana nao. Waaminifu wapo na wasyo waaminifu pia wapo, ndivyo ilivyo.
Mpe wifi anitumie kwa boda!Nimekukumbuka rafiki,niko mjini na zawadi yako.....ikufikie wapi?
Wewe bwana achana na hizo mambo juzi tu hapa uliachwa na demu wa chuo ukawa unalia mabraza tukawa na kazi moja ya kukubembeleza wewe tu hata kuandika mada za magari ukaacha😂😂😂Ngoja ni screenshot hii.
Mama yako waga anachepuka na nani? Tuanzie hapo kwanza.Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Alafu wewe mbona mada za wengine huna uvumilivu na ujuaji ujuaji mwingii na kutukana watu hovyo unaona mwenyewe ndo ujanjaaa wewe ngoja ila nahisi kitu kuhusu wewe kwa tabia zako hizi una walakini wewemaoni na pia kuvumilia hoja za wengine hata kama hatuzupendi
nioneshe tusi langu ni lipi?yawezekana kiswahili hukijuiAlafu wewe mbona mada za wengine huna uvumilivu na ujuaji ujuaji mwingii na kutukana watu hovyo unaona mwenyewe ndo ujanjaaa wewe ngoja ila nahisi kitu kuhusu wewe kwa tabia zako hizi una walakini wewe
kabla hujaniuliza hili swali muulize mama yako baba yako wa ukweli ni yupi?Mama yako waga anachepuka na nani? Tuanzie hapo kwanza.
Humu tunaingia tunajuana wewe ustaarabu huna kabisa nakuona sana humu ,tofauti na wengine mpaka akichokozwa ndio anafunguka lakini wewe lugha zako kubwa ni kebehi, utoto utoto, matusi ya reja reja alafu hapa tena unaniomba mimi nikuonyeshe matusi yako si utoto huo? BADILIKAnioneshe tusi langu ni lipi?
mjibu mpumbavu sawa na upumbavu wake asije kujiona ana hekima machoni pake,hayo maneno sikutunga mie.Kama huna hoja nyamazaHumu tunaingia tunajuana wewe ustaarabu huna kabisa nakuona sana humu ,tofauti na wengine mpaka akichokozwa ndio anafunguka lakini wewe lugha zako kubwa ni kebehi, utoto utoto, matusi ya reja reja alafu hapa tena unaniomba mimi nikuonyeshe matusi yako si utoto huo? BADILIKA
Kwanza,nisaidie kuniombea msamaha kwa wifi yako maana sikuhizi amevuta mdomo....!!Mpe wifi anitumie kwa boda!
Unajua mi sijawahi kupigana tangu nizaliwe?
Nimekukumbuka pia! 😊