Sanamu lako lijengwe humuhumu jukwaani my dearWanaume wamekuwa wakilalamikia baadhi ya wanawake zao kwamba wana midomo na wamekuwa na gubu na ndio sababu kuu ya wengi kuendeleza michepuko. Sasa mimi kwa imani yangu ninaamini kwamba hiyo midomo, kauli chafu na gubu ni matokeo ya mwanaume kuanza tabia chafu, kutomjali mke na kumuoneshea dharau. Wanawake wanapolalamikia hali hizi ndipo wanapoonekana kwamba wana gubu na midomo.
Labda ulijengee bafuni kwako siku akiolewa utalibomoa mwenyeweSanamu lako lijengwe humuhumu jukwaani my dear
Hakuna mwanamke jeuri mbele ya mume mwenye upendo.... btw:mimi nimeolewa mkuuLabda ulijengee bafuni kwako siku akiolewa utalibomoa mwenyewe
Ulikua nayo ikaenda wapi, elezea vizuri[emoji85][emoji85][emoji85] unajuaje kwamba sijawahi kuwa na ndoa mkuu?
Yeye mwenyewe hana ndoaSanamu lako lijengwe humuhumu jukwaani my dear
Nimekuelewa sana hapa.Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.
Asanteni.
Naomba link moja yenye utata
Sasa itakuaje[emoji1787][emoji1787] anyway but atleast anajua hiloYeye mwenyewe hana ndoa
[emoji15][emoji15][emoji15] uncle acha ajilie vya binamu yakeNina mahusiano na mjomba wangu
Kwa kweli mjomba anakula chakula kitamu sana Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile appSio vitamu sanaa kiasi tuwww.jamiiforums.com
Atakua ana enjoy, kinyama cha binamu[emoji15][emoji15][emoji15] uncle acha ajilie vya binamu yake
Aangalie tu hata kwenye tamthilia flani ya dstv ile inaitwaje sijui kuna mwanaume ni Mcgarab ana mwanamke ana domo chafu na makelele mpaka sio poa!Nasisitiza kuna wanawake wana gubu, kiburi na dharau hata kama mumewe ni mpole na mnyenyekevu kwa mkewe 100%.
Unayesema hayo huna uzoefu na ndoa. Waulize wakongwe watakwambia.
Mume anakabidhi mshahara wote kwa mke, lakini hajawahi onja mshahara wa mkewe. Mke anapewa 400,000 anunue mahitaji ya msingi ya mwezi, baada ya wiki mbili tu hana hata 100 na ana madeni mtaani kiasi kama hicho. Ukijaribu kumwuliza anakwambia pambana ulete hela badala ya maswali.
Kama umebahatika shukuru Mungu.
โSasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.โSanamu lako lijengwe humuhumu jukwaani my dear
Amejifunza labda baada ya kutendwa, mdomo huenda anao sanaSasa itakuajeanyway but atleast anajua hilo
Mwanaume jenga, nunua magari, vaa ila ishi na mwanamke kama mwanamke tu! Treat your family good ila mwanamke abaki katika nafasi yake kuwa ni mwanamke ila sio Mungu wako flani kama wanavyotaka tuwaone ๐Amejifunza labda baada ya kutendwa, mdomo huenda anao sana