Hakuna mwanamme anawazia kuoa mwanamke mlevi!

Hakuna mwanamme anawazia kuoa mwanamke mlevi!

Mimi nawazia , kila mtu ataishi maisha yake hii ya kupangiana imeaanza lini?
 
kama hujaolewa na unataka kuolewa jua hii inakuhusu...
Wewe tolewa out badala ya kula msosi na kunjwa juice/soda nk unafakamia mapombe sijui mawine halafu utegemee kuolewa????
Mbaya zaidi ukute msichana hana kipato au anakipato cha kuunga unga halafu anatolewa out anafakamia mapombe.....huo ni ushahidi kuwa, hawezi kuwa mke na akamanage kipato....ajue ataishia kutumiwa na kuachwa!!!

Kama Kijana alikuwa na nia ya kukuoa akakutoa out ukafakamia mapombe/mawine utaona anaanza kukukwepa kwepa kwenda out na mwishowe anakupiga chini..... mwanamme anaye endekeza mwanamke mlevi ujue huyo sio muoaji....
Wanaume walioserious kuoa wakati mwingine mkiwa out hunjwa pombe ili kukupima kama na wewe utakunjwa lakini pia utakunjwa kiasi gani; utashangaa anakuambia ongeza, kumbe anakuchora.....
HAKUNA MWANAMME ANAWAZIA KUOA MWANAMKE MLEVI!!!
Nimewapa marking scheme mshindwe wenyewe kufaulu paper!!!
Sisi walevi tunawazuum tu kwa mbaaaali viherehere wa kujitakia vifo vya mapema vya kujitakia sababu ya wivu wa kijinga kwa vituko vya Ke walevi.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kusema ukweli mm mwanamke mlevi napenda sana. Sababu akilewa mbususu unajipigia tu unavyotaka. Me wife hunywa pombe mingi kuliko hata Mimi. Bia Kama Kilimanjaro hupiga hata kumi na smart gin mbili. Hapo anaanza kunywa asubuhi mpaka muda wa kulala. Akilala anajiachia tu Mimi najipigia anaamka asubuhi kalowa tu
 
Ongeza na mvuta sigara!
Mwanamke mlevi na mvuta sigara hapana Kwa kweli
 
Kwakweli mwanamke mlevi hata akiwa ndani ya ndoa, wanapigika kipumbavu mpaka aibu.
 
Back
Top Bottom