Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Maji makubwa ya baridi na glass. Ila mwanamke mlevi aiseee anafaa kwa mtoko tuNimeshayakoroga hadi hapa😔😔😔jana niliagiza Kilimanjaro kubwa sita, na nikawa nakunywa na “kifutio” alichoagiza yeye.
Basi tena ndoa 👋 bye
Picha mnavyoshirikiana kulia tafadhali.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
kama hujaolewa na unataka kuolewa jua hii inakuhusu...
Wewe tolewa out badala ya kula msosi na kunjwa juice/soda nk unafakamia mapombe sijui mawine halafu utegemee kuolewa????
Mbaya zaidi ukute msichana hana kipato au anakipato cha kuunga unga halafu anatolewa out anafakamia mapombe.....huo ni ushahidi kuwa, hawezi kuwa mke na akamanage kipato....ajue ataishia kutumiwa na kuachwa!!!
Kama Kijana alikuwa na nia ya kukuoa akakutoa out ukafakamia mapombe/mawine utaona anaanza kukukwepa kwepa kwenda out na mwishowe anakupiga chini..... mwanamme anaye endekeza mwanamke mlevi ujue huyo sio muoaji....
Wanaume walioserious kuoa wakati mwingine mkiwa out hunjwa pombe ili kukupima kama na wewe utakunjwa lakini pia utakunjwa kiasi gani; utashangaa anakuambia ongeza, kumbe anakuchora.....
HAKUNA MWANAMME ANAWAZIA KUOA MWANAMKE MLEVI!!!
Nimewapa marking scheme mshindwe wenyewe kufaulu paper!!!
Nimeshayakoroga hadi hapa[emoji17][emoji17][emoji17]jana niliagiza Kilimanjaro kubwa sita, na nikawa nakunywa na “kifutio” alichoagiza yeye.
Basi tena ndoa [emoji112] bye
Mkuu kuna jamaa alimpata mke wake bar , demu alikuwa bamedi , wana miaka saba sasa na watoto wawili. Baba anakunywa mama ndio usisemekama hujaolewa na unataka kuolewa jua hii inakuhusu...
Wewe tolewa out badala ya kula msosi na kunjwa juice/soda nk unafakamia mapombe sijui mawine halafu utegemee kuolewa????
Mbaya zaidi ukute msichana hana kipato au anakipato cha kuunga unga halafu anatolewa out anafakamia mapombe.....huo ni ushahidi kuwa, hawezi kuwa mke na akamanage kipato....ajue ataishia kutumiwa na kuachwa!!!
Kama Kijana alikuwa na nia ya kukuoa akakutoa out ukafakamia mapombe/mawine utaona anaanza kukukwepa kwepa kwenda out na mwishowe anakupiga chini..... mwanamme anaye endekeza mwanamke mlevi ujue huyo sio muoaji....
Wanaume walioserious kuoa wakati mwingine mkiwa out hunjwa pombe ili kukupima kama na wewe utakunjwa lakini pia utakunjwa kiasi gani; utashangaa anakuambia ongeza, kumbe anakuchora.....
HAKUNA MWANAMME ANAWAZIA KUOA MWANAMKE MLEVI!!!
Nimewapa marking scheme mshindwe wenyewe kufaulu paper!!!
Mkuu kuna jamaa alimpata mke wake bar , demu alikuwa bamedi , wana miaka saba sasa na watoto wawili. Baba anakunywa mama ndio usiseme
Nafikiri ujaona hapo baba anakunywa mama ndio usiseme.Kwani umeambiwa Barmedi ni mlevi? Yule yupo kazini
Jaribu kutofautisha kazi ya mtu na tabia/matendo ya mtu
Wewe ni kabila gani unayeshindwa kuandika ama kutamka kitenzi "kunywa"?Kama hujaolewa na unataka kuolewa na mume na sio mtu aliyekata tamaa jua hii inakuhusu...
Wewe tolewa out badala ya kula msosi na kunjwa juice/soda au basi ka glass kamoja kawine; unafakamia mapombe halafu utegemee kuolewa na mtu mtakayejenga maisha pamoja???
Mbaya zaidi ukute msichana hana kipato au anakipato cha kuunga unga halafu anatolewa out anafakamia mapombe.....ajue tu ataishia kutumiwa na kuachwa!!!
Kama Kijana alikuwa na nia ya kukuoa akakutoa out ukafakamia mapombe/mawine utaona anaanza kukukwepa kwepa kwenda out na mwishowe anakupiga chini..... mwanamme anaye endekeza mwanamke mlevi ujue huyo sio muoaji au basi ni yule aliyejikatia tamaa hivyo anaokota chochote!!!
Wanaume walioserious kuoa wakati mwingine mkiwa out hunjwa pombe ili kukupima kama na wewe utakunjwa lakini pia utakunjwa kiasi gani; utashangaa anakuambia ongeza, kumbe anakuchora.....
WANAUME HUPENDA WANAWAKE WALEVI KWA AJILI YA MICHEPUKO....HUKO WANAPATA KILA KITU.....LAKINI SIO WA KUOA!
Nimewapa marking scheme mshindwe wenyewe kufaulu paper!!!
ungekuwa sio mvivu wakutafuta ungekuwa maarufu zaidi ya Dangote, Bill Gate au kwa level yako tuseme Diamond wote walio na kuacha, haijalishi waliacha kwa sababu ya ulevi ila kwa asilimia zote kilichowafanya wawaache hao wapenzi wao ni kile ambacho mwanamke mlevi anaona ni kawaida we danganywa na vimaokoto vya hapa na pale ila utakuja kukumbuka shuka kumekucha.We kunywa jiachie usisikilize hizi thread za JF ukiona mtu anaaanza kupangia watu maisha wajibane bane ujue hana maisha na ni mvivu wa kutafuta. Na Mwanaume mwenye akili anachagua mwanamke anaendana nae. Binadamu tumeumbwa tofauti.
Mwanzo ndio huwa chungu ila kadri unavyoendelea kunywa uchungu unapotea