Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!


Mkuu, sikubaliani na hoja yako! HAPANA.

Waachwe TEC waendelee na kazi zao katika jamii.

Kazi wanayoifanya ni kubwa kuliko hii unayotaka kuwapa!
 
Hebu punguza uongo kidogo Benjamin Mkapa aliwanyoosha kanisa Katoliki mpaka wenyewe waliomba po ingawa yeye mwenyewe mkatoliki hebu muulize vizuri Pengo awamu ya pili ya utawala wa Ben ilikuwaje? chamoto alikiona na ndio Raisi pekee aliyekuwa anabalance teuzi zake kati ya waislam na wakristo btn 50%-45%,.
 

Magufuli akupiga marufuku barakoa,ila alishauri barakoa za kutoka nje tuwe na tahadhari nazo ikiwezekana mtu ashone ya kwake.

Alafu kwanini mnapenda sana kumpaka matope Magufuli,Magufuli hakuwai kurumbana na taasisi yeyote ya dini hii yako ni uzushi mtupu hata waraka aukutolewa na TEC kwa hili la Covid 19 na Magufuli.
 
Good✔
 
Unaweza kuja na taarifa rasmi na evidence ya baadhi ya matukio
 
Wapo waislamu wanaozungumza kwamba Tanzania ipo chini ya Mfumo kristo, na yupo Muislamu Moja kiongozi anayehamasisha waislam wainuke wajitetee. Inajenga dhana gani

Hiyo ni haki yao ya kikatiba ya uhuru wa kutoa maoni yao. Mwisho wa siku ukweli utajisimamia wenyewe. Kinacho shangaza wengine na kustaabisha ni wale wanao hangaika kupambana na Wakili Mwambukuzi na linaloitwa genge lake badala ya kufanyia kazi na kurekebisha kile kilicho lipa hili genge umaarufu wa ghafla.
 
Nilidhani kuna mifano kwa kila rais (awamu) kumbe stori
 
wachoyo wa nini sasa, wamekunyima ubwabwa? na mgao gani mliodanganywa kwamba maaskofu wa katoliki huwa wanapewa? ukitaka kuwapa hao rushwa nenda kaanze na papa. zote hizo ni propaganda mnadanganyana kwenye tv iman huko baada ya kushiba kalmati.
Walikula mgao wa escrow hata walipogundua ni pesa chafu wamegoma kurudisha hata senti, watulie huko kanisani huku ni maendeleo kwa wote , wao wanawaza dili tu saa zote
 
Wewe mfano una elimu gani hata ya kumpita mkenya?🤣🤣

Mtu mzima halafu hujielewi !?


Ujinga na ukatoliki wenu ndo umemaliza elimu ya Tz ,kilichobaki ni kusambaza tamaduni zao ila hao maprofessor kama wote hawana kitu kichwani.
Wamekariri tu ila akili zenyewe hawana
 
Walikula mgao wa escrow hata walipogundua ni pesa chafu wamegoma kurudisha hata senti, watulie huko kanisani huku ni maendeleo kwa wote , wao wanawaza dili tu saa zote
Una ushahidi kwamba pesa za escrow zilipokelewa kwenye account ya Baraza la Maaskofu Tanzania na Maaskofu wakazichukua zikagawanywa majimboni Tanzania, na una ushahidi wa ujenzi wa kanisa, shule au hospitali ya kanisa ambapo fedha hizo zilielekezwa kuwezesha ujenzi huo? Ama una ushahidi kwamba fedha hizo zilitumika kuendesha PASADA, convent au shule iwe ya sekondari au seminari?

Anyway una orodha ya Maaskofu 38 waliosaini kupokea fedha hizo mmoja mmoja? Kama hakuna basi ukae kimya milele! Personal issue ya askofu na aliyempa Hela (man to man) haiwezi kuwa ya kanisa na haiwezi kuizuia Baraza kutoa maoni yake katika maslwa ya kijamii na kiuchumi ya taifa hili kwakua na yeye na mdau wa maendeleo..
 
Ndugu yangu Magufuri hapakwi matope hata siku moja bali ni yale aliyoyatenda akiwa hai ndiyo tunayashuhudia.Mfano leo mpaka TEC wameandika waraka kutokubaliana na swala la DP World,wanasiasa wamemipinga,wanaharakat wamepinga,CHADEMA wamepinga,Wanasheria wamepinga,Wasomi mbalimbali wamepinga,Viongozi wastaafu wamepinga hata Wana ccm wamepinga.Ila mkataba huo ukianza kufanya kazi na bahati mbaya ukaleta hasara isiyolipika mtakuja kusema tunampaka matope Mama Samiah maana siyo yeye aliyesaini huo mkataba.
Sisi hatuamini katika uongo,bali tunaamini katika ukweli maana 1961 tulipata uhuru ili tuwe huru na tufanye kazi bila kumtegemea mtu yeyote.
 
Walikula mgao wa escrow hata walipogundua ni pesa chafu wamegoma kurudisha hata senti, watulie huko kanisani huku ni maendeleo kwa wote , wao wanawaza dili tu saa zote
SEMA ALIKULA, kwasababu ni askofu mmoja tu. kwahiyo mtu mmoja akifanya kosa wote wamefanya? ustaadhi wa zanzibar askali aliyejirekodi anapumuliwa tuseme wote wanapumuliwa?
 
Raisi Samia lazima awe makini na watu wanaomzunguka.
Wanamgombanisha na Watanganyika.
Hao wapigaji.

Wapigaji (Wanaume) kwa niaba ya Dr. Mongela.

Ila Raisi lazima atuombe radhi Watanganyika.
Tulisha uzwa kwa Waarabu.
 
SEMA ALIKULA, kwasababu ni askofu mmoja tu. kwahiyo mtu mmoja akifanya kosa wote wamefanya? ustaadhi wa zanzibar askali aliyejirekodi anapumuliwa tuseme wote wanapumuliwa?
Yule si kiongozi wa dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…