Wapo waislamu wanaozungumza kwamba Tanzania ipo chini ya Mfumo kristo, na yupo Muislamu Moja kiongozi anayehamasisha waislam wainuke wajitetee. Inajenga dhana ganiMkuu, Kwani Uislam unataka kutawala nchini?
Nielimishe!
Nashauri TEC ndio liwe Bunge letu.
Maana wanaiwezo wa kusoma na kuitahadharisha Serikali mambo ya msingi kama mikataba ya Kimangungo.
Nawashangaa sana wanaoipinga TEC.
TEC imeishauri vizuri Serikali dhidi ya Hila Za Waarabu na Vibaraka wao wa humu nchini wanao waona Waarabu kama Miungu yao.
Huku Bunge likipiga makofi pwa pwa pwa na kushangilia bila hata ya kuusoma na kuuelewa huo Mkataba.
TEC ndio liwe Bunge letu.
Hao wabunge waache wakutane Dodoma na kula ruzuku ya Serikali maana ndicho wanancho kipigania.
Ikiwezekana libinafsishwe kwa DP World.
Magufuli akupiga marufuku barakoa,ila alishauri barakoa za kutoka nje tuwe na tahadhari nazo ikiwezekana mtu ashone ya kwake.Alisema Corona hakuna Tanzania na akapiga marufuku kuvaa barakoa.Wakatoliki chini ya Fr.Kitima wakasisitiza kuwa Corona ipo na imewaua baadhi ya waumini,mapadre,maaskofu,masista hata mabruda na kuwasihi kuvaa barakoa hata kwenye mikutano ya Magufuri jambo ambalo hakupenda kabisa.Badala yake yeye aligeuka kuwa Papa wa kuwafokea viongozi hao na kuwaambia hawana imani.Unaona kilichotokea?Wakatoliki wanathamini afya na uhai wa waumini wao na ndio maana hata kwenye mkataba huu wa DP World wamejitahidi kuonya ila sisi bado tunawaona kama wanaingilia mambo ya serikali.Uzuri ni kuwa majibu ni hapa hapa duniani.
Good✔TEC ndo kitu gani ktk nchi? Acha uzuzu.
Serikali ina vyombo vya DOLA vyote.
TEC haina vyombo vya DOLA., ni dini tu.
Je TEC ina polisi? Ina magereza? ina TISS? nk.
Serikali ikiamua kufanya ya kwake TEC itapotea kwenye ramani ya Tz ndani ya muda mfupi sana. Be ware. Usicheze na serikali.
Unaweza kuja na taarifa rasmi na evidence ya baadhi ya matukioHebu punguza uongo kidogo Benjamin Mkapa aliwanyoosha kanisa Katoliki mpaka wenyewe waliomba po ingawa yeye mwenyewe mkatoliki hebu muulize vizuri Pengo awamu ya pili ya utawala wa Ben ilikuwaje? chamoto alikiona na ndio Raisi pekee aliyekuwa anabalance teuzi zake kati ya waislam na wakristo btn 50%-45%,.
Wapo waislamu wanaozungumza kwamba Tanzania ipo chini ya Mfumo kristo, na yupo Muislamu Moja kiongozi anayehamasisha waislam wainuke wajitetee. Inajenga dhana gani
Nilidhani kuna mifano kwa kila rais (awamu) kumbe storiKwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto mkali ambao unazidi kumchoma vikali muhusika mkuu na chama chake mpaka watakapokufa kisiasa mapema kama wataendelea kushupaza shingo.
Katika historia ya Tanzania hakuna mwanasiasa au Rais aliwahi kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) halafu akashinda. Haijawahi kutokea na haitawahi kutokea katika miaka hii ya karibuni. Kufanya hivyo ni kujiangamiza kisiasa(political suicide).
Unaweza kuukataa huu ukweli lakini kuukataa kwako hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo.
Mwl. Nyerere pamoja na nguvu zote za kikatiba alizokuwa nazo katika utawala wake lakini hakuwahi kutumia nguvu katika kupitisha ajenda zake za kisiasa pale ambapo maaskofu walikuwa na shaka au kumpinga. Alitumia nguvu ya ushawishi wa hoja kwa kujadiliana nao mpaka wakamwelewa na kukubali.
Nguvu za Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) zimeendelea hivyo katika tawala zote nchini. Hakuna mwanasiasa mwenye uelewa wa Tanzania na akili timamu aliweza kupuuza sauti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Muhusika mkuu wa mkataba wa DP World hakutegemea kama TEC wanaweza kutoa waraka mkali kama waliotoa kwa sababu sehemu ya 17 ya waraka imepigilia msumari wa mwisho wa jeneza la mkataba.
TEC IMEITAKA SERIKALI IACHANE NA MKATABA HUU.
Sehemu ya 17 ya waraka wa TEC inasema, “Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.
Baada ta waraka kutolewa, muhusika mkuu na genge lake akaanza kuhaha akitafuta jinsi ya kukabiliana nao. Amemtuma kiongozi mkuu wa nchi mstaafu ili ajibu hoja lakini hakufanikiwa kuzima moto, amejaribu kutumia mbinu za kidini kwa kuwatuma baadhi ya mashekhe ili wawajibu TEC katika misingi ya kidini lakini pamoja na juhudi zote, moto wa waraka wa TEC ndio unashika kasi ya kumchoma kisiasa. Ametuma “wajinga” fulani washambulie haiba ya maaskofu badala ya kujibu hoja hawajafanikiwa.
Alichofanya kwa sasa ni kuwatuma baadhi ya viongozi ndani ya serikali kwenda Dubai ili kuwaeleza wenye DP World kuhusu moto unavyowaka nchini ili waangalie namna ya kufanya ili kuondokana na moto mkali kisiasa ili kuepuka maafa ya kisiasa. Kwa hivi karibuni ndege ya Rais imekuwa na safari nyingi za kwenda Uarabuni na kurudi.
Katika hali hiyo ya kutapatapa ametangaza eti tenda ya kukaribisha wawekezaji kwenye bandari Terminal 2 ili ionekane hakutaka kugawa bandari zote kwa DP World wakati mkataba(IGA) unabainisha ni bandari zote na maziwa yote ya Tanganyika AKA Tanzania bara. Mjinga gani atakuja kuwekeza kwenye terminal 2 wakati kuna IGA inasema uwekezaji wowote katika bandari na maziwa nchini lazima kwanza uridhiwe na DP World.
Tumeona pia amemuondoa waziri wa katiba na sheria ili eti ionekane kama ndiye aliyesababisha hili sakata la DP World wakati kwenye IGA kuna saini ya Rais! Huku ni kutapatapa.
Kama isingekuwa waraka wa TEC, mchakato wa kuzifuta Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili na Sheria ya Mapitio na Majadiliano kuhusu Masharti Hasi katika Mikataba inayohousu Rasilimali na Maliasili za Nchi za mwaka 2017 ungefanyika bungeni na hili tangazo lingine la tenda ya kukaribisha wawekezaji lisingetolewa! Hii yote ni imefanyika katika hali ya kutapatapa!
Walikula mgao wa escrow hata walipogundua ni pesa chafu wamegoma kurudisha hata senti, watulie huko kanisani huku ni maendeleo kwa wote , wao wanawaza dili tu saa zotewachoyo wa nini sasa, wamekunyima ubwabwa? na mgao gani mliodanganywa kwamba maaskofu wa katoliki huwa wanapewa? ukitaka kuwapa hao rushwa nenda kaanze na papa. zote hizo ni propaganda mnadanganyana kwenye tv iman huko baada ya kushiba kalmati.
ISISWakatoliki ndio chanzo Cha machafuko yote duniani
Wamekariri tu ila akili zenyewe hawanaWewe mfano una elimu gani hata ya kumpita mkenya?🤣🤣
Mtu mzima halafu hujielewi !?
Ujinga na ukatoliki wenu ndo umemaliza elimu ya Tz ,kilichobaki ni kusambaza tamaduni zao ila hao maprofessor kama wote hawana kitu kichwani.
Una ushahidi kwamba pesa za escrow zilipokelewa kwenye account ya Baraza la Maaskofu Tanzania na Maaskofu wakazichukua zikagawanywa majimboni Tanzania, na una ushahidi wa ujenzi wa kanisa, shule au hospitali ya kanisa ambapo fedha hizo zilielekezwa kuwezesha ujenzi huo? Ama una ushahidi kwamba fedha hizo zilitumika kuendesha PASADA, convent au shule iwe ya sekondari au seminari?Walikula mgao wa escrow hata walipogundua ni pesa chafu wamegoma kurudisha hata senti, watulie huko kanisani huku ni maendeleo kwa wote , wao wanawaza dili tu saa zote
Bila waraka, maliasili nayo ingepigwa mnada.
Bibi must go 2520.
Ameeen! Mwanakondoo Ameshinda , Tumfuate🤣Wakatoliki ndio chanzo Cha machafuko yote duniani
Ndugu yangu Magufuri hapakwi matope hata siku moja bali ni yale aliyoyatenda akiwa hai ndiyo tunayashuhudia.Mfano leo mpaka TEC wameandika waraka kutokubaliana na swala la DP World,wanasiasa wamemipinga,wanaharakat wamepinga,CHADEMA wamepinga,Wanasheria wamepinga,Wasomi mbalimbali wamepinga,Viongozi wastaafu wamepinga hata Wana ccm wamepinga.Ila mkataba huo ukianza kufanya kazi na bahati mbaya ukaleta hasara isiyolipika mtakuja kusema tunampaka matope Mama Samiah maana siyo yeye aliyesaini huo mkataba.Magufuli akupiga marufuku barakoa,ila alishauri barakoa za kutoka nje tuwe na tahadhari nazo ikiwezekana mtu ashone ya kwake.
Alafu kwanini mnapenda sana kumpaka matope Magufuli,Magufuli hakuwai kurumbana na taasisi yeyote ya dini hii yako ni uzushi mtupu hata waraka aukutolewa na TEC kwa hili la Covid 19 na Magufuli.
DaH. Maivavaye.Bila waraka, maliasili nayo ingepigwa mnada.
Bibi must go 2520.
SEMA ALIKULA, kwasababu ni askofu mmoja tu. kwahiyo mtu mmoja akifanya kosa wote wamefanya? ustaadhi wa zanzibar askali aliyejirekodi anapumuliwa tuseme wote wanapumuliwa?Walikula mgao wa escrow hata walipogundua ni pesa chafu wamegoma kurudisha hata senti, watulie huko kanisani huku ni maendeleo kwa wote , wao wanawaza dili tu saa zote
Yule si kiongozi wa diniSEMA ALIKULA, kwasababu ni askofu mmoja tu. kwahiyo mtu mmoja akifanya kosa wote wamefanya? ustaadhi wa zanzibar askali aliyejirekodi anapumuliwa tuseme wote wanapumuliwa?