Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Wewe unakuwa mjinga unaongelea uongo na alifundishwa kuwanyima watu elimu na ujinga ,...Alikuwa na elimu gani ya maajabu zaidi ya kuwa kibaraka tu na kusambaza dini ya mchongo.


Nyerere's mission ni kusambaza ukatoliki na yapo mengi nyuma ya pazia katika kukandamiza watu wa dini fulani ...Mungu atailinda dini yake mpaka leo uislamu umasambaa na elimu yenu ya kupeana kwa kufelisha wengine.


Sasa tuone hao TEC watafnya nn na maamuzi yao ya hovyo ,Magufuli angefuata ushauri wao wa kipumbavu kipind cha Corona unafirikia nchi ingefika wapi?


Hao viongozi wako ni waoga hawnaa chochote wanaweza kufanya ,mwanaume hata hawezi kuoa atatuambia nn?
Tutajie vyuo mbalimbali ulivyosoma zaidi ya Nyerere pumbavu.
 
Umezaliwa mwaka 2000's ungekuwepo wakati wa Nyerere usingejua hata kusoma 🤣🤣kwa ushamba wako.

Ulivyokuwa mjinga unafuata maelekezo ya kanisa kusapot ujinga wakatika waraka ni wa hovyo hauna logic hata mwanafunzu wa darasa la saba hawezi kuandika utumbo kama ule.
Mtoto wangu wa kwanza amezaliwa 1998 hiyo ya 2000 nilisomea wapi pumbavu?
 
Kwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto mkali ambao unazidi kumchoma vikali muhusika mkuu na chama chake mpaka watakapokufa kisiasa mapema kama wataendelea kushupaza shingo.

Katika historia ya Tanzania hakuna mwanasiasa au Rais aliwahi kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) halafu akashinda. Haijawahi kutokea na haitawahi kutokea katika miaka hii ya karibuni. Kufanya hivyo ni kujiangamiza kisiasa(political suicide).

Unaweza kuukataa huu ukweli lakini kuukataa kwako hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo.

Mwl. Nyerere pamoja na nguvu zote za kikatiba alizokuwa nazo katika utawala wake lakini hakuwahi kutumia nguvu katika kupitisha ajenda zake za kisiasa pale ambapo maaskofu walikuwa na shaka au kumpinga. Alitumia nguvu ya ushawishi wa hoja kwa kujadiliana nao mpaka wakamwelewa na kukubali.

Nguvu za Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) zimeendelea hivyo katika tawala zote nchini. Hakuna mwanasiasa mwenye uelewa wa Tanzania na akili timamu aliweza kupuuza sauti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).

Muhusika mkuu wa mkataba wa DP World hakutegemea kama TEC wanaweza kutoa waraka mkali kama waliotoa kwa sababu sehemu ya 17 ya waraka imepigilia msumari wa mwisho wa jeneza la mkataba.

TEC IMEITAKA SERIKALI IACHANE NA MKATABA HUU.

Sehemu ya 17 ya waraka wa TEC inasema, “Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.

Baada ta waraka kutolewa, muhusika mkuu na genge lake akaanza kuhaha akitafuta jinsi ya kukabiliana nao. Amemtuma kiongozi mkuu wa nchi mstaafu ili ajibu hoja lakini hakufanikiwa kuzima moto, amejaribu kutumia mbinu za kidini kwa kuwatuma baadhi ya mashekhe ili wawajibu TEC katika misingi ya kidini lakini pamoja na juhudi zote, moto wa waraka wa TEC ndio unashika kasi ya kumchoma kisiasa. Ametuma “wajinga” fulani washambulie haiba ya maaskofu badala ya kujibu hoja hawajafanikiwa.

Alichofanya kwa sasa ni kuwatuma baadhi ya viongozi ndani ya serikali kwenda Dubai ili kuwaeleza wenye DP World kuhusu moto unavyowaka nchini ili waangalie namna ya kufanya ili kuondokana na moto mkali kisiasa ili kuepuka maafa ya kisiasa. Kwa hivi karibuni ndege ya Rais imekuwa na safari nyingi za kwenda Uarabuni na kurudi.

Katika hali hiyo ya kutapatapa ametangaza eti tenda ya kukaribisha wawekezaji kwenye bandari Terminal 2 ili ionekane hakutaka kugawa bandari zote kwa DP World wakati mkataba(IGA) unabainisha ni bandari zote na maziwa yote ya Tanganyika AKA Tanzania bara. Mjinga gani atakuja kuwekeza kwenye terminal 2 wakati kuna IGA inasema uwekezaji wowote katika bandari na maziwa nchini lazima kwanza uridhiwe na DP World.
Tumeona pia amemuondoa waziri wa katiba na sheria ili eti ionekane kama ndiye aliyesababisha hili sakata la DP World wakati kwenye IGA kuna saini ya Rais! Huku ni kutapatapa.

Kama isingekuwa waraka wa TEC, mchakato wa kuzifuta Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili na Sheria ya Mapitio na Majadiliano kuhusu Masharti Hasi katika Mikataba inayohousu Rasilimali na Maliasili za Nchi za mwaka 2017 ungefanyika bungeni na hili tangazo lingine la tenda ya kukaribisha wawekezaji lisingetolewa! Hii yote ni imefanyika katika hali ya kutapatapa!
Ana akili za kibwengo huyo na ajue ni wa kupita tu.
 
Wingi una sifa ya KIKE. Ndio maana Demokrasia ni ushetani, kwa Mola hakuna Demokrasia.

Hiyo ni falsafa tu.
Mwanzo 1:26-29;"Na tumfanye mtu kwa mfano wetu akatawale samaki wa baharini,ndege wa angani na wanyama mbalimbali..................."
 
Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TEC ni kubwa kuliko CCM na hili halina ubishi.
TEC wanaijua CCM kuliko CCM inavyoijua TEC
TEC ni wasomi nguli wa sheria (wote), CCM wanatumia 'dola' kulindwa.
TEC hawana makandokando ya uchafu kama walivyo CCM.

Mkuu, kwa kiwango kikubwa nakubaliana na hoja yako ingawa iko jumla!
 
Mkuu, sikia bana, mm maisha yangu nayaweka kwa Mungu, sio kwa wanasiasa wa kibongo hawa, pambana upate kula yako, hapo bandarini lazima atakuja mwekezaji, iwe DPW au Adan Au TICTS kwa hio mkuu, mm sina shida na mbwa gani yupo hapo bandarini, as long as kuna ufanisi, kodi za kijinga hazipo basi sina shida
 
ULIVYO MJINGA HUJUI HAYA:
Serikali ya Tanzania mpaka sasa haiwezi kuingia mikataba mahususi na DP world mpaka itakapofanya mabadiliko wa sheria ya maliasili ya mwaka 2017 ili kuaccomodate matakwa na mahitaji ya IGA ilityosainiwa inayotaka mashauriano, migogoro nk itatuliwe kwa sheria ya wingereza na ifanyike SA.

Bunge kupitia kamati ya sheria na katiba imesitisha kupokea mapendekezo ya mabadiliko ya sheria hiyo ambayo yalikua yawasilishwe katika bunge linaloendelea sasa na msingi wake ni Muswada uliwasilishwa bungeni mwezi juni kuhusu mabadiliko hayo ya sheria.

Bunge kupitia speaker limesitisha kuendelea swala la DP world na kuwataka wabunge kuendelea kupokea maoni na mapendekezo ya wananchi kwa ajili ya kuisimamia
View: https://youtu.be/6Bd4dAAwhuc?si=yx4urDH-Q-3-gDim
sasa DP anajia nyumbani kwenu au?

Maelezo ya spika yanaeleweka Ila wewe unayatafsiri kufulahisha nafsi yako!!
 
Kwani TEC wamekwambia wapo kwenye Mapambano?

Nyie ndio mnaofanya struggle au jambo jema kuonekana baya na la ajabu kwa kuleta ushabiki usio na Tija?

Je, wanachosimamia hao TEC ni kwa manufaa yao kama TEC au Taifa? Ukiweza kupima hilo nadhani utaanza kuyaangalia mambo kwa jicho la nini kinapiganiwa na sio kina nani wanakipigania.
Ajabu
 
Nilichogundua ni kwamba wakatoliki wengi wana roho mbaya.......haaa wa chini wana disadvantage nyingine, akili hawana hivyo ni 'watu ndiyo' tu.
Exactly hawa jamaa roho mbaya inawasumbua mungu yupo serikali ipo imara itafanya maamuzi sahihi kwa ajili ya watanzania na sio tec, nchi hii wakati wanaume wanapigania uhutu tec ilikuwa inaramba miguu wazungu na wanaume wakatoboa waache wivu wa kike dp world imefika na haitoki leo wala kesho, na raisi yupo imara zaidi ya jana, mungu ndio anamlinda na sio tec
 
Back
Top Bottom