Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Mmedanganywa na kukuzwa na Nyerere wapumbavu hamna mnalojua...Kama sio Nyerere msingkuwa na sauti .
Nyerere amekuzwa na Kanisa katoliki kuanzia kusoma kwake shule ya awali wakati wa utawala wa kiingereza mpaka kuajiriwa na most important mpaka harakati za uhuru, Nyerere sio mkubwa kuliko kanisa na hajatokea mtu mkubwa kuliko kanisa, ndio mana the late Benect alijiuzulu. Soma historia acha kulishwa na kukaririshwa.
Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika).

Alikuwa mmojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki.

Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya baba yake; katika umri wa miaka 12 aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi Musoma.

Baada ya kumaliza shule ya msingi aliendelea kusomea shule ya wamisionari Wakatoliki huko Tabora.

Katika umri wa miaka 20 alibatizwa akawa Mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake.

Mapadri wakiona akili yake kubwa walimsaidia kusomea ualimu huko Makerere, Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945
 
Yakobo 5:16 Kwa hiyo ungamianeni dhambi zenu ninyi kwa ninyi na kuombeana ili mpate kuponywa. Maombi ya mwenye haki yana nguvu tena yanafaa sana.
Matayo 18:18 Kwa hiyo ungamianeni dhambi zenu ninyi kwa ninyi na kuombeana ili mpate kuponywa. Maombi ya mwenye haki yana nguvu tena yanafaa sana.

ndio maana ya falsafa elimu ya elimu zote na ndo mana ya theology elimu ya dini sio kukariri hata usivyovijua/
Acha uongo wewe hiyo matayo 18 18 haisemi hivyo unatunga uongo wako unaleta hapa kudanganya watu

Matayo 18 18 inasema

Mathayo 18:18-20 BHN​

“Nawaambieni kweli, mtakachofunga duniani kitafungwa mbinguni, na mtakachofungua duniani kitafunguliwa mbinguni. Tena nawaambieni, wawili miongoni mwenu wakikubaliana hapa duniani kuhusu jambo lolote la kuomba, Baba yangu wa mbinguni atawafanyia jambo hilo. Kwa maana popote pale wanapokusanyika wawili au watatu kwa jina langu, mimi nipo hapo kati yao.”
 
Punguza hasira na siku zote TEC hawajawahi kuishinikiza au kuitaka serikali juu ya mambo yasiyokua ya manufaa kitaifa in favor ya mambo ya kanisa. Siku zote wamekua wakiadress national issues. na hata katika waraka wao hakuna jambo lolote au statement yoyote iwe kwa uficho au kwa uwazi imejielekeza kwenye maslahi au mahitaji ya kanisa.

Mkuu, Shukrani sana sana kwa kunisaidia kumjibu.

Umempa majibu sahihi yanayobainishwa na historia ya TEC.

Fikiria mtu anadhani TEC eti wanaweza kuja na suala lao binafsi kwa manufaa yao binafsi wakitaka liwe la kitaifa!
 
Nyerere amekuzwa na Kanisa katoliki kuanzia kusoma kwake shule ya awali wakati wa utawala wa kiingereza mpaka kuajiriwa na most important mpaka harakati za uhuru, Nyerere sio mkubwa kuliko kanisa na hajatokea mtu mkubwa kuliko kanisa, ndio mana the late Benect alijiuzulu. Soma historia acha kulishwa na kukaririshwa.
Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika).

Alikuwa mmojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki.

Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya baba yake; katika umri wa miaka 12 aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi Musoma.

Baada ya kumaliza shule ya msingi aliendelea kusomea shule ya wamisionari Wakatoliki huko Tabora.

Katika umri wa miaka 20 alibatizwa akawa Mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake.

Mapadri wakiona akili yake kubwa walimsaidia kusomea ualimu huko Makerere, Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945
Wewe unakuwa mjinga unaongelea uongo na alifundishwa kuwanyima watu elimu na ujinga ,...Alikuwa na elimu gani ya maajabu zaidi ya kuwa kibaraka tu na kusambaza dini ya mchongo.


Nyerere's mission ni kusambaza ukatoliki na yapo mengi nyuma ya pazia katika kukandamiza watu wa dini fulani ...Mungu atailinda dini yake mpaka leo uislamu umasambaa na elimu yenu ya kupeana kwa kufelisha wengine.


Sasa tuone hao TEC watafnya nn na maamuzi yao ya hovyo ,Magufuli angefuata ushauri wao wa kipumbavu kipind cha Corona unafirikia nchi ingefika wapi?


Hao viongozi wako ni waoga hawnaa chochote wanaweza kufanya ,mwanaume hata hawezi kuoa atatuambia nn?
 
Serikali haziwezi kutishiwa nyau na taasisi yoyote Ile, nakuhakikishia DP world must come na hao Tec wataishia kubweka tu kama mbwa wa majararani na hakuna watakachofanya.
Maendeleo afrika yamekuwa ya mbinde kweli yaniiiii. Mtu na PhD yake anasimama anasema bandari imeuzwa. Are we development enthusiastic minded?
 
Bila Nyerere hakuna elimu Tanzania na hata wewe unatembelea kwa nyota ya Nyerere pumbavu.
Umezaliwa mwaka 2000's ungekuwepo wakati wa Nyerere usingejua hata kusoma 🤣🤣kwa ushamba wako.

Ulivyokuwa mjinga unafuata maelekezo ya kanisa kusapot ujinga wakatika waraka ni wa hovyo hauna logic hata mwanafunzu wa darasa la saba hawezi kuandika utumbo kama ule.
 
Kwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto mkali ambao unazidi kumchoma vikali muhusika mkuu na chama chake mpaka watakapokufa kisiasa mapema kama wataendelea kushupaza shingo.

Katika historia ya Tanzania hakuna mwanasiasa au Rais aliwahi kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) halafu akashinda. Haijawahi kutokea na haitawahi kutokea katika miaka hii ya karibuni. Kufanya hivyo ni kujiangamiza kisiasa(political suicide).

Unaweza kuukataa huu ukweli lakini kuukataa kwako hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo.

Mwl. Nyerere pamoja na nguvu zote za kikatiba alizokuwa nazo katika utawala wake lakini hakuwahi kutumia nguvu katika kupitisha ajenda zake za kisiasa pale ambapo maaskofu walikuwa na shaka au kumpinga. Alitumia nguvu ya ushawishi wa hoja kwa kujadiliana nao mpaka wakamwelewa na kukubali.

Nguvu za Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) zimeendelea hivyo katika tawala zote nchini. Hakuna mwanasiasa mwenye uelewa wa Tanzania na akili timamu aliweza kupuuza sauti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).

Muhusika mkuu wa mkataba wa DP World hakutegemea kama TEC wanaweza kutoa waraka mkali kama waliotoa kwa sababu sehemu ya 17 ya waraka imepigilia msumari wa mwisho wa jeneza la mkataba.

TEC IMEITAKA SERIKALI IACHANE NA MKATABA HUU.

Sehemu ya 17 ya waraka wa TEC inasema, “Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.

Baada ta waraka kutolewa, muhusika mkuu na genge lake akaanza kuhaha akitafuta jinsi ya kukabiliana nao. Amemtuma kiongozi mkuu wa nchi mstaafu ili ajibu hoja lakini hakufanikiwa kuzima moto, amejaribu kutumia mbinu za kidini kwa kuwatuma baadhi ya mashekhe ili wawajibu TEC katika misingi ya kidini lakini pamoja na juhudi zote, moto wa waraka wa TEC ndio unashika kasi ya kumchoma kisiasa. Ametuma “wajinga” fulani washambulie haiba ya maaskofu badala ya kujibu hoja hawajafanikiwa.

Alichofanya kwa sasa ni kuwatuma baadhi ya viongozi ndani ya serikali kwenda Dubai ili kuwaeleza wenye DP World kuhusu moto unavyowaka nchini ili waangalie namna ya kufanya ili kuondokana na moto mkali kisiasa ili kuepuka maafa ya kisiasa. Kwa hivi karibuni ndege ya Rais imekuwa na safari nyingi za kwenda Uarabuni na kurudi.

Katika hali hiyo ya kutapatapa ametangaza eti tenda ya kukaribisha wawekezaji kwenye bandari Terminal 2 ili ionekane hakutaka kugawa bandari zote kwa DP World wakati mkataba(IGA) unabainisha ni bandari zote na maziwa yote ya Tanganyika AKA Tanzania bara. Mjinga gani atakuja kuwekeza kwenye terminal 2 wakati kuna IGA inasema uwekezaji wowote katika bandari na maziwa nchini lazima kwanza uridhiwe na DP World.
Tumeona pia amemuondoa waziri wa katiba na sheria ili eti ionekane kama ndiye aliyesababisha hili sakata la DP World wakati kwenye IGA kuna saini ya Rais! Huku ni kutapatapa.

Kama isingekuwa waraka wa TEC, mchakato wa kuzifuta Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili na Sheria ya Mapitio na Majadiliano kuhusu Masharti Hasi katika Mikataba inayohousu Rasilimali na Maliasili za Nchi za mwaka 2017 ungefanyika bungeni na hili tangazo lingine la tenda ya kukaribisha wawekezaji lisingetolewa! Hii yote ni imefanyika katika hali ya kutapatapa!
Nenda kaungame kwanza ukisha ungama rudi
 
Toa mfano Rais yupi alishindana na TEC kwa jambo lipi na huyo Rais akashindwa?
TEC ndo kitu gani ktk nchi? Acha uzuzu.
Serikali ina vyombo vya DOLA vyote.
TEC haina vyombo vya DOLA., ni dini tu.
Je TEC ina polisi? Ina magereza? ina TISS? nk.
Serikali ikiamua kufanya ya kwake TEC itapotea kwenye ramani ya Tz ndani ya muda mfupi sana. Be ware. Usicheze na serikali.
 
Sema mkuu, ni kweli TEC wana nguvu ila kwa TZ yetu hakuna taasisi yenye nguvu kuzidi raisi wa nchi,
Hao DP world watakuja tu, hata iweje, na hakuna kitu tutafanya
Washangilie sana DP World na Rais wako siku utakapoona matunda ya DP World yanakuumiza wewe na familia yako utawatafuta tu TEC lakini haitawezakana kwa maana mmezoea vya kunyonga.Ona awamu hii kuanzia mwenyekiti wa Kitongoji hadi Rais hakuna aliyechaguliwa na Wananchi wa Tanzania bali wote hao waliwekwa na Dictator Magufuri ambaye hayupo duniani na wanaoumia ni Watanzania wote bila kujali wewe mwenzangu ni ccm au mimi ni CUF.
 
TEC ndo kitu gani ktk nchi? Acha uzuzu.
Serikali ina vyombo vya DOLA vyote.
TEC haina vyombo vya DOLA., ni dini tu.
Je TEC ina polisi? Ina magereza? ina TISS? nk.
Serikali ikiamua kufanya ya kwake TEC itapotea kwenye ramani ya Tz ndani ya muda mfupi sana. Be ware. Usicheze na serikali.
Ina Mungu.
 
Back
Top Bottom