Kama bandari hujengwa Si maliasili,Bandari hujengwa, bandari so Maliasili
Waambie Rwanda na Ug wajenge bandari Baharini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bandari hujengwa Si maliasili,Bandari hujengwa, bandari so Maliasili
Hajui kuwa Papa aliomba msamaha kwa katoliki kuhusika na Utumwa eti walimaliza utumwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Uhuru wakoloni(corporates) waliamua kuachana na ukoloni wa kale na kuja na ukoloni mamboleo,kwa kuwa walifuata malighafi wakabuni njia mpya ya kupata malighafi zilezile bila ya migongano na makoloni yao, biashara ya utumwa kukoma ni baada ya mapinduzi ya viwanda,siyo kanisa,usiwape credit ziso zao
Safi sanaMkuu, nani alikuambia CCM ni mama au Baba yangu?
Kama CCM na viongozi wake wanakengeuka lazima nipambane nao ili kulinda maslahi ya taifa.
Kuna ahadi namba 8 ya mwana CCM ndani ya katiba ya CCM inasema; "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko"
Mkuu, hii dhana ya kuwalaumu "washauri" wa Rais mnaitoa wapi? Kwa hiyo huyu Rais hatumii uwezo wake katika kupambanua mambo?
Mkuu, Nikiichambua hoja yako naona ina mapungufu makubwa kihoja.Hebu punguza uongo kidogo Benjamin Mkapa aliwanyoosha kanisa Katoliki mpaka wenyewe waliomba po ingawa yeye mwenyewe mkatoliki hebu muulize vizuri Pengo awamu ya pili ya utawala wa Ben ilikuwaje? chamoto alikiona na ndio Raisi pekee aliyekuwa anabalance teuzi zake kati ya waislam na wakristo btn 50%-45%,.
HeheheMungu kwanza,Tanzania inafuata, ndipo yake mengine vyama vikiweno.
Hata sie CCCm hatukumtima haya kwenye ilani ya 2020 alipokuwa na Magu.
Lkn mkuu hii ahadi hai apply mpaka kwa mwenyekiti!! Maan lipo dhahiri mpaka bungeni, jambo la mwenyekiti lazima lipitishwe!!👇👇Kuna ahadi namba 8 ya mwana CCM ndani ya katiba ya CCM inasema; "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko"
Mwenye nguvu ni yule ajuaye siri za waumini wake wanapokuwa wanatubu na kuungama kisha kuwarekodi na kuwafanya watumwa milele mtu akishajua siri zako wewe ni mtumwa tuu ndiyo maana unaona wakatoliki wanahaha wakishuritishwaNimeuliza nani ana nguvu!?..acha kujibu usivyoulizwa
Nguvu yao ni kiini macho tuu kwa kuwa wengi wa watumishi wao serikalini walisha fanyiwa vitendo vya udhalilishaji pindi wakiwa mafundisho ikiwamo kuingiliwa kinyume na maumbile watoto wadogo sasa hivi wekuwa wakubwa unategemea niniKama hujui kuwa TEC inaongoza watu na serikali ni watu hao hao ambao wanaongozwa na TEC, basi huwezi pia kujua nguvu ya TEC ndani ya serikali inayotokana na watu ambao wanaongozwa na TEC!
Uzushi tuukutoka ndani ya korido za vatican
1 . dubai wakipewa bandari mfumo wa udini utakua kwa kasi na kuleta mpasuko mkubwa
2. kuna agenda ya siri nyuma ya bandari kwamba wakishaingia rasmi.. taratibu watahakikisha mfumo wa utawala na uongizi nchini unatoka dini ya kiislam...
3. vikundi vya kigaidi vitaibuka na upitishwaji wa silaha kiholela utaongezeka kwa kasi kubwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe(watanzania) yataibuka
4.mfumo wa ajira utakuwa wa dini moja ya kislam na kuwacha wakristo kwa idadi kubwa bila ajira
5. umasikini utaongezeka kwa kasi kubwa maana bandari zote na maeneo mengi ya nchi kavu yatakuwa mikononi mwa waarabu na wazawa watapewa mashart magumu sana hata kufika maeneo hayo.
6. watahakikisha bara inaingia kwenye machafuko na hapo zanzibata itavunja muungano..ikumbukwe bandari za zanzibar hazimo kwenye mkataba.
'' the vatican intelligence and its fields of resources are second to none''
Akili ni nyweleKama bandari hujengwa Si maliasili,
Waambie Rwanda na Ug wajenge bandari Baharini.
Mwinyi,kwenye oic.Toa mfano Rais yupi alishindana na TEC kwa jambo lipi na huyo Rais akashindwa?
Kwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto mkali ambao unazidi kumchoma vikali muhusika mkuu na chama chake mpaka watakapokufa kisiasa mapema kama wataendelea kushupaza shingo.
Katika historia ya Tanzania hakuna mwanasiasa au Rais aliwahi kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) halafu akashinda. Haijawahi kutokea na haitawahi kutokea katika miaka hii ya karibuni. Kufanya hivyo ni kujiangamiza kisiasa(political suicide).
Unaweza kuukataa huu ukweli lakini kuukataa kwako hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo.
Mwl. Nyerere pamoja na nguvu zote za kikatiba alizokuwa nazo katika utawala wake lakini hakuwahi kutumia nguvu katika kupitisha ajenda zake za kisiasa pale ambapo maaskofu walikuwa na shaka au kumpinga. Alitumia nguvu ya ushawishi wa hoja kwa kujadiliana nao mpaka wakamwelewa na kukubali.
Nguvu za Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) zimeendelea hivyo katika tawala zote nchini. Hakuna mwanasiasa mwenye uelewa wa Tanzania na akili timamu aliweza kupuuza sauti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Muhusika mkuu wa mkataba wa DP World hakutegemea kama TEC wanaweza kutoa waraka mkali kama waliotoa kwa sababu sehemu ya 17 ya waraka imepigilia msumari wa mwisho wa jeneza la mkataba.
TEC IMEITAKA SERIKALI IACHANE NA MKATABA HUU.
Sehemu ya 17 ya waraka wa TEC inasema, “Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.
Baada ta waraka kutolewa, muhusika mkuu na genge lake akaanza kuhaha akitafuta jinsi ya kukabiliana nao. Amemtuma kiongozi mkuu wa nchi mstaafu ili ajibu hoja lakini hakufanikiwa kuzima moto, amejaribu kutumia mbinu za kidini kwa kuwatuma baadhi ya mashekhe ili wawajibu TEC katika misingi ya kidini lakini pamoja na juhudi zote, moto wa waraka wa TEC ndio unashika kasi ya kumchoma kisiasa. Ametuma “wajinga” fulani washambulie haiba ya maaskofu badala ya kujibu hoja hawajafanikiwa.
Alichofanya kwa sasa ni kuwatuma baadhi ya viongozi ndani ya serikali kwenda Dubai ili kuwaeleza wenye DP World kuhusu moto unavyowaka nchini ili waangalie namna ya kufanya ili kuondokana na moto mkali kisiasa ili kuepuka maafa ya kisiasa. Kwa hivi karibuni ndege ya Rais imekuwa na safari nyingi za kwenda Uarabuni na kurudi.
Katika hali hiyo ya kutapatapa ametangaza eti tenda ya kukaribisha wawekezaji kwenye bandari Terminal 2 ili ionekane hakutaka kugawa bandari zote kwa DP World wakati mkataba(IGA) unabainisha ni bandari zote na maziwa yote ya Tanganyika AKA Tanzania bara. Mjinga gani atakuja kuwekeza kwenye terminal 2 wakati kuna IGA inasema uwekezaji wowote katika bandari na maziwa nchini lazima kwanza uridhiwe na DP World.
Tumeona pia amemuondoa waziri wa katiba na sheria ili eti ionekane kama ndiye aliyesababisha hili sakata la DP World wakati kwenye IGA kuna saini ya Rais! Huku ni kutapatapa.
Kama isingekuwa waraka wa TEC, mchakato wa kuzifuta Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili na Sheria ya Mapitio na Majadiliano kuhusu Masharti Hasi katika Mikataba inayohousu Rasilimali na Maliasili za Nchi za mwaka 2017 ungefanyika bungeni na hili tangazo lingine la tenda ya kukaribisha wawekezaji lisingetolewa! Hii yote ni imefanyika katika hali ya kutapatapa baada ya tamko la TE
Mkuu usitishe wetuna scarecrowKwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto mkali ambao unazidi kumchoma vikali muhusika mkuu na chama chake mpaka watakapokufa kisiasa mapema kama wataendelea kushupaza shingo.
Katika historia ya Tanzania hakuna mwanasiasa au Rais aliwahi kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) halafu akashinda. Haijawahi kutokea na haitawahi kutokea katika miaka hii ya karibuni. Kufanya hivyo ni kujiangamiza kisiasa(political suicide).
Unaweza kuukataa huu ukweli lakini kuukataa kwako hakuwezi kuubadilisha kuwa uongo.
Mwl. Nyerere pamoja na nguvu zote za kikatiba alizokuwa nazo katika utawala wake lakini hakuwahi kutumia nguvu katika kupitisha ajenda zake za kisiasa pale ambapo maaskofu walikuwa na shaka au kumpinga. Alitumia nguvu ya ushawishi wa hoja kwa kujadiliana nao mpaka wakamwelewa na kukubali.
Nguvu za Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) zimeendelea hivyo katika tawala zote nchini. Hakuna mwanasiasa mwenye uelewa wa Tanzania na akili timamu aliweza kupuuza sauti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Muhusika mkuu wa mkataba wa DP World hakutegemea kama TEC wanaweza kutoa waraka mkali kama waliotoa kwa sababu sehemu ya 17 ya waraka imepigilia msumari wa mwisho wa jeneza la mkataba.
TEC IMEITAKA SERIKALI IACHANE NA MKATABA HUU.
Sehemu ya 17 ya waraka wa TEC inasema, “Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.
Baada ta waraka kutolewa, muhusika mkuu na genge lake akaanza kuhaha akitafuta jinsi ya kukabiliana nao. Amemtuma kiongozi mkuu wa nchi mstaafu ili ajibu hoja lakini hakufanikiwa kuzima moto, amejaribu kutumia mbinu za kidini kwa kuwatuma baadhi ya mashekhe ili wawajibu TEC katika misingi ya kidini lakini pamoja na juhudi zote, moto wa waraka wa TEC ndio unashika kasi ya kumchoma kisiasa. Ametuma “wajinga” fulani washambulie haiba ya maaskofu badala ya kujibu hoja hawajafanikiwa.
Alichofanya kwa sasa ni kuwatuma baadhi ya viongozi ndani ya serikali kwenda Dubai ili kuwaeleza wenye DP World kuhusu moto unavyowaka nchini ili waangalie namna ya kufanya ili kuondokana na moto mkali kisiasa ili kuepuka maafa ya kisiasa. Kwa hivi karibuni ndege ya Rais imekuwa na safari nyingi za kwenda Uarabuni na kurudi.
Katika hali hiyo ya kutapatapa ametangaza eti tenda ya kukaribisha wawekezaji kwenye bandari Terminal 2 ili ionekane hakutaka kugawa bandari zote kwa DP World wakati mkataba(IGA) unabainisha ni bandari zote na maziwa yote ya Tanganyika AKA Tanzania bara. Mjinga gani atakuja kuwekeza kwenye terminal 2 wakati kuna IGA inasema uwekezaji wowote katika bandari na maziwa nchini lazima kwanza uridhiwe na DP World.
Tumeona pia amemuondoa waziri wa katiba na sheria ili eti ionekane kama ndiye aliyesababisha hili sakata la DP World wakati kwenye IGA kuna saini ya Rais! Huku ni kutapatapa.
Kama isingekuwa waraka wa TEC, mchakato wa kuzifuta Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili na Sheria ya Mapitio na Majadiliano kuhusu Masharti Hasi katika Mikataba inayohousu Rasilimali na Maliasili za Nchi za mwaka 2017 ungefanyika bungeni na hili tangazo lingine la tenda ya kukaribisha wawekezaji lisingetolewa! Hii yote ni imefanyika katika hali ya kutapatapa baada ya tamko la TEC.
Hoja yako Iko wapi ?Mwanzo 1:26-29;"Na tumfanye mtu kwa mfano wetu akatawale samaki wa baharini,ndege wa angani na wanyama mbalimbali..................."
Poa.Uwe na adabu kwa Mama yako sawa eeh
Uharo unanuka!Na utaharisha kwelikweli ukicheza..
Kuwa mwangalifu..