Sawa sawaSiungi mkono hoja na sipingi vile vile
Hata mimi siungi mkono hoja.Siungi mkono hoja na sipingi vile vile
Nakazia japo watakuja kukupingaHata mimi siungi mkono hoja.
Ni ukosefu wa nidhamu na muda mwingine ni maamuzi ya mtu. Mtu mwenye nidhamu hawezi kuwa na wanawake wengi.
TupoNdio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
I wanna marry you.Hata mimi siungi mkono hoja.
Ni ukosefu wa nidhamu na muda mwingine ni maamuzi ya mtu. Mtu mwenye nidhamu hawezi kuwa na wanawake wengi.
Unaongea mashudu mtupu sio kila mtu anapenda zinaa kama wew mkuundu guyanguNdio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
Mimi na watano na bado siridhika,tumeumbwa tule kwa jashoNdio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
So umeninote?Nimekaa hapa na daftari..
Na note wanaume wazinzi.. wasio ridhika..
Na nina note wanafki ambao wanasema hawachitigi..
Na nina note wale wakweli..
Nina macho ya rohoni.. nawaona mpaka ndani ya miandiko yenu ππ
Ni kweli ama utani tu?I wanna marry you.
π€£ππ€£