Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Ndiyo maana mnapewa malimbwata ili msiwe na tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko sahihi kabisa mkuu, kuna ile pia mtu akiona kwa upande wake yuko hivi anadhani wote wako hivyo sometimes ukiona kuna negative kwako za kutosha hujue kwa mwenzako kuna positivity za kutosha, sioni mantiki ya watu kufanana matabia ya hovyokama ndoa imetulia watu wanakosa cha kuizungumzia tofauti na ndoa yenye makesi kesi...
kwenye mambo ya mahusiano watu wana 'negativity bias'
ndo maana mapwiloka hawaskiki
Wanaume wanaoridhika na mwanamke mmoja wapo wa kutosha 💗Huko mbinguni mnasemaje?
Wanaume wanaoridhika na mwanamke mmoja wapo wa kutosha 💗
UKO SAHIHI SANA. MWAUME ALIYETIMAMU KUWA NA MKE MOJA NI UWONGO. HAIWEZEKANI HATA KJDOGO.Ndio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
Wagalatia 5 (Biblia Takatifu)Ndio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
Hebu mchukue huyo wa home mpeleke lodge au hata gesti na utumie style mpya. Utagundua kwamba huyo mkeo Ni mtamu kuliko maelezo.Mke huwa ni mmoja...anatulia home...
Wengine wakupiga na kuacha ..maana wengi wataka mali tu
Afu unakuta wanasema oh mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja.. yuko na kibamia chake kazi kujidhalilisha anavyokichungulisha kwa watu mbalimbali 🤣🤣🤭mwanaume mimi naridhika na mwanamke mmoja....natoka kwenye hiyo list yako.
jithamini, thamini utu na uchi wako wewe ni wathamani.