Asanta uwe kwako pia, napenda kujifunza zaidi na zaidi. Ni matumaini yangu sijakukwaza kwa namna yoyote katika mjadala huu.
Kwakuwa unapenda kujifunza zaidi na zaidi wacha ni kukumbushe baadhi ya mambo kwenye mapenzi haya.
Wanawake hawataki mambo mengi sana kutoka kwa mwanaume, wanachopenda wao kwako kikubwa ni kukojoleshwa (satisfaction) kwenye mapenzi, kujaliwa/kupendwa, kusaidiwa na kusikilizwa TU basi. Hata kama unatoka wapi na Nani kufanya nini lakini hakikisha kuwa ukirudi una zawadi yake hata kama ni soseji moja, kula chakula chake na tembea nae/sex.
Mambo yafuatayo yanaweza kusababisha uwe mpole kwenye tendo LA ndoa.
1. Njaa, chakula Cha mapenzi ni ugali, mihogo, ngano, viazi vikuu/yams, viazi vitam, Michele, nyama ya kutosha, matunda, maji Safi ya kunywa na mazoezi. Unaweza kutumia red wine kidogo nusu glass baada ya kula.
2. Uchovu mwingi
3. Usingizi, kuwa na usingizi
4. Kuwa na mawazo, msongo wa mawazo.
5. Maumivu sehemu yoyote ya mwili, maumivu tumboni na maumivu kwenye korodani.
6. Ugonjwa: upungufu wa damu mwilini, upungufu wa maji mwilini, homa, kisukari, pressure, Figo, hernia, kikohozi, kubanwa njia ya hewa kama pumu, flu.
7. Matumizi ya dawa fulanifulani kama za kisukari, pressure, zinazoleta usingizi.
8. Matumizi ya vilevi kama sigara/tumbaku, pombe nyingi, na dawa za kulevya na vinywaji vyenye caffeine nyingi sana kama kahawa, energy drinks.
9. Hormone imbalance hasa homoni za kiume (androgens).
10. Unene kupita kiasi. Kitambi ni adui mkubwa wa mapenzi.
Mambo haya ukiwa nayo hakika Mke mmoja anakutosha, hata huyo mmoja pia humuwezi ni hiyo basi unapata pahala pa kupikiwa chakula.
Mwanamke hapendi hela zako ili asitoke nje ya ndoa anataka dudu lako limkune akunike. Wewe ukimfanya pole pole kwa huruma atawatafuta wale wanaomchubua kisawasawa bila huruma, wanaomkunja na kumuingiza hata korodani ndani. Akirudi kwako anakuona kama mtoto mdongo usiyejuwa kitu.