Ni la kupuuza! Ukilipuuza litakosa mandate na nguvu ya kuendelea kuandika! Japo kwa bahati mbaya sana hizo nyuzi zinaandikwa sehemu moja na mtu au watu wasiozidi 3 na kupost JF kwa ID mbalimbaliKuna lijinga linaanzisha uzi kuhusu Mbowe kila baada ya dakika 5.
History ni muhimu sana kwa tuendako. Usimfundishe namna ya kupeleka sisa mbele, wewe usimseme Jwe,wach wanaomsema wana sababu zao, wewe huna sababu, msifieNimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.
Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.
Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.
Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
sema wewe hutachanga, wengine mbona tumechanga sana tena sanaNdugu zangu,
Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".
Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha wakijinasibu kuwa "siasa kwao si ofisi bali ni imani.Pia ikumbukwe shilingi milioni 200 zilizotolewa na Mzee Sabodo kujenga ofisi ziliyeyuka bila maelezo.Nani atawaamini tena Chadema?
Siku za karibuni amezindua kadi zenye hadhi tofauti huku ile ya hadhi ya juu ikiwa na thamani ya shilingi 200,000 huku akijinasibu kuwa makamanda hawana mshahara kwa miezi sita nani ataweza kuchangia?ikumbukwe EL ndiye alikuja na wafuasi waliokuwa na uwezo angalau kuchanga chochote lakini sio makamanda hawa tunawajua.
Halafu Mbowe alivyomjanja haya mambo ya kuchangia chama au ujenzi wa ofisi anazungumza akiwa Shinyanga anajua akizunguza haya maneno Moshi au Arusha ataambulia vitasa.
Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
Mbowe ni mtoto wa Dar. Ukija kichwa kichwa lazima akupige 😂😂.Hela za Sabodo hata rangi jengo halikupigwa
Mataga wanatafuta pa kutokea lkn mama kaamua kuwatosa mazima mazimaMataga wafu mmeona mama kawatosa sasa mnatengeneza snema la kiki kupitia mbowe mmefeli.
Naona kuna vinyuzi vimeibuka ghafla juu ya mbowe tunajua mbowe ni giant kisiasa hivyo kumgusa kwenu ni mtaji kisiasa.
MMEFELI
Babayako Jiwe kilichokuwa kinampa presha kupanda kikubwa ni Mbowe alijitahidi kummaliza mpaka kufuata kitovu chake alipozaliwa hola aliikosa katngulia mwenyeweYaani Mbowe ni mtu wa kumchukulia serious kweli? Yeye anajionaga jabali lakini ni kisisimizi fulani hivi kichwani. Waliokuwa wanamsaidia washakaa pembeni sasa qnachoongea siku hizi ndo akili yake halisi.
Hata BAVICHA hawawezi kumsafisha tena wamebaki wapambe nuksi wake tu ambao hata akinya wanaweza kula kinyesi chake.
Baba yao alicho waachia ni muendelezo wa kufanya siasa chafuMATAGA YANA IQ NDOGO NA MAMA ANAJUA AKIYAPA NAFASI YATAMHARIBIA NA MASIASA YAO YA BIFU HATAKI HATA YAMKARIBIE
sema wewe hutachanga, wengine mbona tumechanga sana tena sana
Uzuri tushawagundua kwa upande wangu nikikutana nao ni kuwatwanga spana bila huruma.Na kakikundi ka watu wasiozidi watano wenye multiple ID za kutosha ndio wanasumbua
Wa kupuuzwa sasa huyu mpuuziKwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu...
Dishi limeyumba na hajielewiWa kupuuzwa sasa huyu mpuuzi
Na kakikundi ka watu wasiozidi watano wenye multiple ID za kutosha ndio wanasumbua
Mtu mwenye akili timamu hawezi kujiunga na CCM -wauaji, watekaji, wabambikia kesi, waporaji etc etc. Lkini wewe kwa vile huna akili ni member wa CCMKamanda ndio maana nimesema hakuna mwenye akili timamu atachanga