Hakuna namba 6 kama Sergio Busqet!!

Hakuna namba 6 kama Sergio Busqet!!

Mimi nafatilia uchambuzi wa kila mara umu, nilichogundua uyo mtoa post (Sergio 5) anachokiamini yeye ni kua Sergio ndo namba 6 bora duniani ata mkimletea mfano wa mtu gani hatokubali. Acheni kupoteza muda kubadilisha mtu anachokiamini.

Mie nnachokijua mifumo imebadilisha sana majukumu ya wachezaji. Kwa timu zinazochezesha DMF wawili n rahic kukaba na kuchukua mipira, ukija kwa timu zinazochezesha mmoja mfano kama Barca & Real tunaona uwezo wa zile no. 6 zao znavyopga kazi.

Ila kwa sasa mtu huwezi sema flani ni bora kuliko mwingine bila kutoa statistics muhimu. Mfano ukisema Sergio ni mzuri kuliko casemiro sema kwa nn n mzur. Labda ana goli ngapi, assist ngapi, error leads to goal ngapi, pass ngapi, average rating zao kwa msimu mzima, n.k.

Hayo ni mawazo yangu tu na mie sio mtaalam sana wa mpira ila game inapoisha kuna vitu zaidi tunavi google ili kujifunza zaidi.
Umeongea vzr sana mwishoni jaribu kufuatila statistics kati ya sergio na casemiro utana ukweli hata wanapokutana sergio huwa anakimbizana rate na kina modric na sio casemiro
 
Hizo ni mbinu tu, mbona fabregas aishawah kutumika km namba 9, means torres hajui.
Tunamuongelea natural mamba 6 ambaye yupo static kwenye namba yake hayo ya fabregas hayaa saiidii kwenye huu Uzi
Ngoja nikuulize basi point yako ni ipi katika hayo maelezo yako?
 
Sergio ni miongoni mwa viungo bora wa dimba la chini kuwahi kutokea na ni CDM bora kabisa for the last decade.
Ana akili kubwa sana ya mpira.
 
Hizo ni mbinu tu, mbona fabregas aishawah kutumika km namba 9, means torres hajui.


Sasa kama kocha anawajua wote anamuacha huyu sita na huyo anampanga namba nyingne si ni uthibitisho tosha kua Segio ni zaidi ya Alonzo kwenye namba sita?
 
Back
Top Bottom