Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kibunda kiasi gani kinaweza kua kizuri kuanzia maisha kwa madibaš¤nsije nkaenda na $2000 nkaishia zimbabwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola 2000 !!! Hela nyingi sana hiyo mkuu kuna watu wanafika South na dola 50 na wanatusua. Ila kama unayo hiyo, things will be even more easierKibunda kiasi gani kinaweza kua kizuri kuanzia maisha kwa madibaš¤nsije nkaenda na $2000 nkaishia zimbabwe
Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.
Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.
Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.
If you actually want to be rich. Go to South Africa.
Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"
Okay
Mara huyu kadata mara kapigwa risasi mtu na wanakufa kila siku wabongo alafu huyu anaropoka kuafuta [emoji16][emoji16] dogo wa mbagala yule kaingi juzi yule pugu weekend ilipita na kuna mbao wamepotea hawajulikani wako wapi na kuna vidio imepostia jana kuna mtu kala shaba mbele ya hiace ulinionahiyo ni AtariSouth africa ipi hiyo unayosemea!!?
Ile ambayo huko fb kwenye group lao masailors kila siku ni "mzee baba tanzia,mzee baba hana nauli ya kurudi,mzee baba anaumwa yu hoi"!!? au hii wanayochoma mali za wageni kila siku na kuwataka warudi makwao
Swala sio uoga waliotusua ni wale walioenda enzi za makaburu na Mandela kula shavu kwa Sasa ni kilio tuu!Kuwa mkweli ili watu waurithi ukweli wako Damu Yao Mungu ataitaka kwakoAcha uoga
Amani na umaskini havikai pamoja mkuuHii unayo iona.
Napakubaligi sanaDola 2000 !!! Hela nyingi sana hiyo mkuu kuna watu wanafika South na dola 50 na wanatusua. Ila kama unayo hiyo, things will be even more easier
Kama hiyo ni point mkuu basi usipande gari kwa sababu kuna watu wanapanda Magari wanakufa kwa ajali.Mara huyu kadata mara kapigwa risasi mtu na wanakufa kila siku wabongo alafu huyu anaropoka kuafuta [emoji16][emoji16] dogo wa mbagala yule kaingi juzi yule pugu weekend ilipita na kuna mbao wamepotea hawajulikani wako wapi na kuna vidio imepostia jana kuna mtu kala shaba mbele ya hiace ulinionahiyo ni Atari
Mara huyu kadata mara kapigwa risasi mtu na wanakufa kila siku wabongo alafu huyu anaropoka kuafuta [emoji16][emoji16] dogo wa mbagala yule kaingi juzi yule pugu weekend ilipita na kuna mbao wamepotea hawajulikani wako wapi na kuna vidio imepostia jana kuna mtu kala shaba mbele ya hiace ulinionahiyo ni Atari
Anza wewe kukaa huko!Kama hiyo point mkuu usipande gari kwa sababu kuna watu wanapanda Magari wanakufa kwa ajali.
Tatizo wewe muoga. Ukiwa muoga hata Arusha au Dar huwezi kwenda kuishi. Utaenda kuishi malampaka huko au NangurukuruHuko Nina jamaa kila siku wanalalama warudi hawana nauli!Mwingine walitandika risasi za kichwa hata jeneza lake halikufunguliwa,asiwapotoshe vijana kabisa
Ungekuwa south africa mda huu ,labda kwenu ila kwenu watu wanaenda kama wanavyokuja Dar ...Tushazika sana na dogo fulani alihojiwa kuunguliwa na jengo huko south Africa akiwa na familia yake kwa sasa hana makazi, kwa vile wabongo wengi na home boys wamemshika mkono.
Kiufupi hakuna maisha labda uwe msomi sana ila kule kupigwa chuma saa ana kweupe unapigwa hata na polisi..