Hakuna nchi nzuri na rahisi kutafuta maisha na kupata hela kama Afrika Kusini

Hakuna nchi nzuri na rahisi kutafuta maisha na kupata hela kama Afrika Kusini

Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.

Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.

Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.

If you actually want to be rich. Go to South Africa.

Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"


Mkombe Luxury wamekurahisishia. Now you can go to South Africa by bus directly from Dar es salaam.


Namba zao ( Mkombe Luxury) ni : 0679 - 95 62 15.

Nauli haizidi laki 3 tu wakuu.
Mkuu mimi nakubaliana na wewe lkn shida ya kule ni Zenophobia mkuu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
South africa ipi hiyo unayosemea!!?
Ile ambayo huko fb kwenye group lao masailors kila siku ni "mzee baba tanzia,mzee baba hana nauli ya kurudi,mzee baba anaumwa yu hoi"!!? au hii wanayochoma mali za wageni kila siku na kuwataka warudi makwao
Anatagaza biashara ya usafirishaji, hayo mengine aliyosema yapuuze tu
 
Mara huyu kadata mara kapigwa risasi mtu na wanakufa kila siku wabongo alafu huyu anaropoka kuafuta [emoji16][emoji16] dogo wa mbagala yule kaingi juzi yule pugu weekend ilipita na kuna mbao wamepotea hawajulikani wako wapi na kuna vidio imepostia jana kuna mtu kala shaba mbele ya hiace ulinionahiyo ni Atari
Niliiona yule jamaa wa jkt ruvu ana crow kinoma
 
South africa ipi hiyo unayosemea!!?
Ile ambayo huko fb kwenye group lao masailors kila siku ni "mzee baba tanzia,mzee baba hana nauli ya kurudi,mzee baba anaumwa yu hoi"!!? au hii wanayochoma mali za wageni kila siku na kuwataka warudi makwao
Shangaaa na wewe
South ipi anayoisema mzee baba@likud ?

South hiihii yakina shibekijijini
 
The same hot water which soften the potato is the same water which softens the egg, so its all about how you are made"

" Maji yaleyale ya moto yanayo lainisha viazi ndio hayo hayo yanayo fanya yai linakuwa gumu" So it is all about what you are made.

Hizo story za mabaharia zisikutishe mdogo wangu. Sehemu yoyote yenye hela huwaga kunakuwaga na shari, unacho takiwa kufanya ni kujifunza namna ya kuishi na kuwa salama kwenye hiyo shari..

Mahospitalini kila siku watu wanakufa kwenye vitanda, watu waanze sasa kuogopa kulala kwenye vitanda?

Fear no evil
Au hardens
 
Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.

Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.

Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.

If you actually want to be rich. Go to South Africa.

Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"


Mkombe Luxury wamekurahisishia. Now you can go to South Africa by bus directly from Dar es salaam.


Namba zao ( Mkombe Luxury) ni : 0679 - 95 62 15.

Nauli haizidi laki 3 tu wakuu.
Lipia tangazo
 
Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.

Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.

Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.

If you actually want to be rich. Go to South Africa.

Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"


Mkombe Luxury wamekurahisishia. Now you can go to South Africa by bus directly from Dar es salaam.


Namba zao ( Mkombe Luxury) ni : 0679 - 95 62 15.

Nauli haizidi laki 3 tu wakuu.
TUTOLEE UJINGA WAKO HAPA
 
Back
Top Bottom