Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mkuu mimi nakubaliana na wewe lkn shida ya kule ni Zenophobia mkuu.Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.
Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.
Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.
If you actually want to be rich. Go to South Africa.
Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"
Mkombe Luxury wamekurahisishia. Now you can go to South Africa by bus directly from Dar es salaam.
Namba zao ( Mkombe Luxury) ni : 0679 - 95 62 15.
Nauli haizidi laki 3 tu wakuu.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app