Hakuna nchi nzuri na rahisi kutafuta maisha na kupata hela kama Afrika Kusini

Hakuna nchi nzuri na rahisi kutafuta maisha na kupata hela kama Afrika Kusini

LIKUD
Kwanza naomba utuambie ni kwanini ndugu zetu kila siku wanakufa na vifo vyao ni
1. Kupigwa risasi
2. Kuchomwa kisu
Hivi ndio vifo vyao vikubwa.
Kuna mtoto wa jirani nilipokulia alipigwa shaba, walileta maiti tukazika. Mtoto wa mama yangu mkubwa kaondoka 2012 pamoja na huyo aliyepigwa chuma, jirani na jirani mwingine hawajarudi mpaka leo na hata hatuoni wamefanya nini mtaani.
Mtoto wa uncle wake na dingi (younger than my dad) na huyo dogo alichomwa kisu wamerudisha maiti tukaenda kuzika kijijini.
Lakini niseme, hao wote tabia zao hazikuwa nzuri mtaani, frankly speaking, more or less walikua na magenge ya wavuta bangi.

Pili tueleze, ili mtu kama mimi ambaye ni risk taker nina shule kidogo na pesa kama $500-1,000 au hata $2,000 huko nikienda nianzie wapi?
Mishe gani za kuruka nazo?
Jimbo gani la kukaa kulingana na mishe husika. Jo'burg, Mpumalanga, Pretoria, Capetown etc.

Otherwise hunitoi hapa bongo. Nna kistationery kinanipa mpaka 50,000 kwa siku less kula dada wa stationery na operational expenses.
Mwanangu 1 ana kimgahawa uchwara pale Magufuli Terminal anaingiza mpaka 80,000 after kuwalipa wadada wa kazi na operational costs daily. Amekosa kosa 50 hivi. Na hamna kodi analipa, ni ushuru tu wa stand.
Hebu tuambie.
 
Bongo biashara inahitaji uvumilivu. Bila uvumilivu hutoboi utaishia Kufungua biashara hii kesho ukafunga ukafungua nyingine. Huko kwwingine biashara inaweza kukulipa ila linapokuja suala la usalama ndio kipengere. Muhimu safety kwanza mengine baadae
Hakika
 
LIKUD
Kwanza naomba utuambie ni kwanini ndugu zetu kila siku wanakufa na vifo vyao ni
1. Kupigwa risasi
2. Kuchomwa kisu
Hivi ndio vifo vyao vikubwa.
Kuna mtoto wa jirani nilipokulia alipigwa shaba, walileta maiti tukazika. Mtoto wa mama yangu mkubwa kaondoka 2012 pamoja na huyo aliyepigwa chuma, jirani na jirani mwingine hawajarudi mpaka leo na hata hatuoni wamefanya nini mtaani.
Mtoto wa uncle wake na dingi (younger than my dad) na huyo dogo alichomwa kisu wamerudisha maiti tukaenda kuzika kijijini.
Lakini niseme, hao wote tabia zao hazikuwa nzuri mtaani, frankly speaking, more or less walikua na magenge ya wavuta bangi.

Pili tueleze, ili mtu kama mimi ambaye ni risk taker nina shule kidogo na pesa kama $500-1,000 au hata $2,000 huko nikienda nianzie wapi?
Mishe gani za kuruka nazo?
Jimbo gani la kukaa kulingana na mishe husika. Jo'burg, Mpumalanga, Pretoria, Capetown etc.

Otherwise hunitoi hapa bongo. Nna kistationery kinanipa mpaka 50,000 kwa siku less kula dada wa stationery na operational expenses.
Mwanangu 1 ana kimgahawa uchwara pale Magufuli Terminal anaingiza mpaka 80,000 after kuwalipa wadada wa kazi na operational costs daily. Amekosa kosa 50 hivi. Na hamna kodi analipa, ni ushuru tu wa stand.
Hebu tuambie.
Isanga family
 
Vifo vingi vinatokana na Watanzania kujichanganya sana na Wazulu,Warangirangi au Wakhosa sasa hawa ndugu zetu ni watu wasiopenda maendeleo ya wageni kabisa huku wao wakiwa wavivu wa kutafuta pesa unakuta mgeni anaishi maeneo mimi huwa nayaita hatarishi kama Soweto,Hillbrow,Khayelitsha,Philipi,Nyanga,Cross road,Guguletu, Mamelodi,Mitchell's Plain,Wynberg, Thembisa au Jeepe yapo maeneo mengine pia ni hatari sana sijaorodhesha haya maeneo kupigwa risasi au kisu ni kitu cha kawaida mno na mtu akiuawa polisi wakishabeba maiti kama ni Tarven wanaendelea na pombe kama kawaida kama hakuna kitu kilitokea...ukiishi kama Mzulu SA ni hatari sana kuliko hatari yenyewe..
 
G
Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.

Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.

Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.

If you actually want to be rich. Go to South Africa.

Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"

Mkombe Luxury wamekurahisishia. Now you can go to South Africa by bus directly from Dar es salaam.
Go and return ticket bei gani
 
Vifo vingi vinatokana na Watanzania kujichanganya sana na Wazulu,Warangirangi au Wakhosa sasa hawa ndugu zetu ni watu wasiopenda maendeleo ya wageni kabisa huku wao wakiwa wavivu wa kutafuta pesa unakuta mgeni anaishi maeneo mimi huwa nayaita hatarishi kama Soweto,Hillbrow,Khayelitsha,Philipi,Nyanga,Cross road,Guguletu, Mamelodi,Mitchell's Plain,Wynberg, Thembisa au Jeepe yapo maeneo mengine pia ni hatari sana sijaorodhesha haya maeneo kupigwa risasi au kisu ni kitu cha kawaida mno na mtu akiuawa polisi wakishabeba maiti kama ni Tarven wanaendelea na pombe kama kawaida kama hakuna kitu kilitokea...ukiishi kama Mzulu SA ni hatari sana kuliko hatari yenyewe..
mh south noma nasikia wazungu wanatafutia pesa lakini wanaishi nchi nyengine
 
Kuna jamaa yng mmoja nilimuonya kuhusu south hakunisikia,

Sasa ni mwaka wa 8 bado yupo huko,,mkewe na mtoto kamwacha tanzania ,,Hana matunzo wala chochote,, vijana wa mjini wanamsaidia kumpunguzia mkewe hisia za mapenzi,,

Jamaa anatamani kurudi lakini anashindwa atakujaje Tanzania na hana kitu?


nawaonya vijana kwamba kama una shughuli yako ya maana ya kipato japo 20000 kwa siku basi ni bora ukaendelea nayo kuliko kwenda kujitafutia matatizo south Africa.

80% ya watanzania wanaoishi south Africa ni wahalifu na wanashiriki uhalifu kwa njia moja au nyingne.
 
Sauzi hapafai mimi mdogo wangu alienda sauz since 2015 mpaka leo hajawahi kurudi na hakuna cha maana alichofanya na kuna mmoja ni jirani yetu alienda akakaa miaka 20 alirudishwa hajitambui kaparalyze baada ya kupata ajali yupo mpaka leo haongei yaaani sauz hawa ndugu zetu wakienda wanajisahau sana nikimkuta mtu anaenda sauz naona anapotea tu.

Ila kuna wabongo wengine mbona wametoboa?!
 
Vifo vingi vinatokana na Watanzania kujichanganya sana na Wazulu,Warangirangi au Wakhosa sasa hawa ndugu zetu ni watu wasiopenda maendeleo ya wageni kabisa huku wao wakiwa wavivu wa kutafuta pesa unakuta mgeni anaishi maeneo mimi huwa nayaita hatarishi kama Soweto,Hillbrow,Khayelitsha,Philipi,Nyanga,Cross road,Guguletu, Mamelodi,Mitchell's Plain,Wynberg, Thembisa au Jeepe yapo maeneo mengine pia ni hatari sana sijaorodhesha haya maeneo kupigwa risasi au kisu ni kitu cha kawaida mno na mtu akiuawa polisi wakishabeba maiti kama ni Tarven wanaendelea na pombe kama kawaida kama hakuna kitu kilitokea...ukiishi kama Mzulu SA ni hatari sana kuliko hatari yenyewe..
Sean Paul
 
Au Botswana.
Nchi yenye Uchumi mkubwa kama SA ni rahisi kupata pesa kuliko hizi zenye uchumi mdogo hata hiyo SA pana majimbo mzunguko mdogo wa pesa pia kupata pesa sio rahisi hao Watswana na wengine kutoka Maseru wengi wanakamatawa hawana vibali vya kuingia SA na muda mwingine wanatumia njia za panya kufika..SA ni SA pamoja na crime rate yao kuwa juu ila pana vitu vingi ukitulia utafanya kitu...
 
mh south noma nasikia wazungu wanatafutia pesa lakini wanaishi nchi nyengine
Wazungu wanaishi hapo hapo SA wana maeneo yao kukanyaga mtu mweusi ni ngumu labda mfanyakazi pana Suburb moja inaitwa Irene Suburb ipo katikati ya Pretoria na Johannesburg mbele ya midland watu wanaishi kama wapo Nchi nyingine ndani ya SA hapo na maeneo kama hayo yapo mengi kwa Wazungu na pia kwenye Mall zao vitu vingi wanauziana bei ya kawaida na vinapatikana kuliko Mall zenye makazi ya watu weusi..
 
Nchi yenye Uchumi mkubwa kama SA ni rahisi kupata pesa kuliko hizi zenye uchumi mdogo hata hiyo SA pana majimbo mzunguko mdogo wa pesa pia kupata pesa sio rahisi hao Watswana na wengine kutoka Maseru wengi wanakamatawa hawana vibali vya kuingia SA na muda mwingine wanatumia njia za panya kufika..SA ni SA pamoja na crime rate yao kuwa juu ila pana vitu vingi ukitulia utafanya kitu...
Ila Bostwana kumetulia sana. I wish niende kutalii siku moja.
 
Ila Bostwana kumetulia sana. I wish niende kutalii siku moja.
Zimbabwe,Botswana,Namibia,Eswatini na Lesotho zote hizo zinatumia Rand ya SA ni kama vile makoloni ya SA mashamba makubwa na Tenda kubwa za majengo kipindi cha nyuma kaburu ndio alikua anajenga hiyo Eswathin bara bara zake zote zimejengwa na zinasimamiwa na SA...
Yap Fransictown, Pahalapye,Mahalapye,Nata hata Gaborone zimetulia sana sio kidogo wana sheria yao magari makubwa siku za week end yanatakiwa kupark mapema ili Wabotswana wakilewa wasipate ajali mbaya na bado hiyo sheria inasimamiwa mpaka kesho kuanzia Ijumaa mpaka Jumapili siku za week end watu wana enjoy Life kweli...
 
Zimbabwe,Botswana,Namibia,Eswatini na Lesotho zote hizo zinatumia Rand ya SA ni kama vile makoloni ya SA mashamba makubwa na Tenda kubwa za majengo kipindi cha nyuma kaburu ndio alikua anajenga hiyo Eswathin bara bara zake zote zimejengwa na zinasimamiwa na SA...
Yap Fransictown, Pahalapye,Mahalapye,Nata hata Gaborone zimetulia sana sio kidogo wana sheria yao magari makubwa siku z week end yanatakiwa kupark mapema ili Wabotswana wakilewa wasipate ajali mbaya na bado inasimamiwa mpaka kesho kuanzia Ijumaa mpaka Jumapili siku za week end watu wana enjoy Life kweli...
Ntaenda bostwana siku moja if God wishes. Botswana, Swaziland or Namibia nazikubali sana hizi nchi
 
South africa ipi hiyo unayosemea!!?
Ile ambayo huko fb kwenye group lao masailors kila siku ni "mzee baba tanzia,mzee baba hana nauli ya kurudi,mzee baba anaumwa yu hoi"!!? au hii wanayochoma mali za wageni kila siku na kuwataka warudi makwao
Huyo kaweka tangazo la biashara ya usafiri, mwelewe hivyo
 
Back
Top Bottom