LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
- Thread starter
- #81
Isanga familyBei za hoteli zipoje,'na mji gani mzuri,nataka kwenda kwa week mbili kuangalia mchongo fulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isanga familyBei za hoteli zipoje,'na mji gani mzuri,nataka kwenda kwa week mbili kuangalia mchongo fulani
Ungetuambia ni deals gani ambazo ukizifanya huko SA unafanikiwa ingekua bora sana kuliko kutuambia tu twende SA.Nawashangaa sana wabongo wanaoiponda South Africa. For your information hakuna nchi nzuri ya kutafuta maisha kama South Africa.
Niambie kitu chochote unachokiogopa kuhusu South Africa nikupe solution.
Mtaani kwetu kama hujawahi kukaa Sauzi hata kwa mwezi mmoja r.i hata mademu wanakuona fala. Unaonekana sio mwanaume kamili. Unaonekana muoga muoga na usiejiamini.
If you actually want to be rich. Go to South Africa.
Nakupa hii code " According to a classified document owned by the C.I.A, the most richest country on the face of planet earth is South Africa"
Mkombe Luxury wamekurahisishia. Now you can go to South Africa by bus directly from Dar es salaam.
Namba zao ( Mkombe Luxury) ni : 0679 - 95 62 15.
Nauli ni laki 3 na ushee
Sijui kwanini wanapakimbilia huko South. Wakati bongo kuna mishe kibao. Vijana wa Rwanda, burundi, kongo, malawi, zambia wanapakubali kichizi bongo kwenye suala la utafutaji. Ukifeli bongo basi huna sehemu utakayoenda kutusuaHapo ni jozy mkuu jiji hatari kuishi pengine ni zaidi ya NY
Hamuwezi wote mkakaa sehemuSijui kwanini wanapakimbilia huko South. Wakati bongo kuna mishe kibao. Vijana wa Rwanda, burundi, kongo, malawi, zambia wanapakubali kichizi bongo kwenye suala la utafutaji. Ukifeli bongo basi huna sehemu utakayoenda kutusua
SawaHamuwezi wote mkakaa sehemu
Mmoja huko kongo,zambia,South,Brazil Iran Europe Afghanistan USA Argentina Japan Korea nk kote wako wabongo
Wanajihangaikia
Ova
Hotel zinaanzia rand 250 kuendelea mpaka rand 450 kwa siku hizo ni za kawaida na maeneo salama kwa sasa hasa Johannesburg watu wanafikia Forsburg kwa Wasomali kule hakuna mambo ya Ujambazi na ni karibu na maeneo ya manunuzi kama Macro,Dragon city, China City hata Cash n Carry ndio huko huko...
Na ripoti ni classified kama alivyosema ila ikafika mtaani kwaoYaani mtaa wenu wote mmeifanyia kazi ripoti ya CIA ?na wote mkaamua kwenda South ....?..
Hakuna shari pale taiwan mjini, hakuna shari pale indonesia mjini, na kuna pesa chafu pale, watu wanauza madini nje nje, ni wewe na mapambano yako,The same hot water which soften the potato is the same water which hardens the egg, so its all about how you are made"
" Maji yaleyale ya moto yanayo lainisha viazi ndio hayo hayo yanayo fanya yai linakuwa gumu" So it is all about what you are made.
Hizo story za mabaharia zisikutishe mdogo wangu. Sehemu yoyote yenye hela huwaga kunakuwaga na shari, unacho takiwa kufanya ni kujifunza namna ya kuishi na kuwa salama kwenye hiyo shari..
Mahospitalini kila siku watu wanakufa kwenye vitanda, watu waanze sasa kuogopa kulala kwenye vitanda?
Fear no evil
Bongo ni kweli watu wanapiga mishe ila kwenye ulipaji wagumu sana ila zipo Nchi ambazo mtu kufanya manunuzi hajiulizi mara mbili na wananunua sana vitu vipya na hizo ndio Nchi rahisi kupata pesa kama Zambia,Malawi na SA watanzania tunaamini sana katika mtumba kwa hiyo ununuzi wetu sio mkubwa sana kama hizo Nchi hasa kwa wanaonza kutafuta maisha...Sijui kwanini wanapakimbilia huko South. Wakati bongo kuna mishe kibao. Vijana wa Rwanda, burundi, kongo, malawi, zambia wanapakubali kichizi bongo kwenye suala la utafutaji. Ukifeli bongo basi huna sehemu utakayoenda kutusua
Weee jamaa,yale mavideo yanavyotisha dah!.Xenophia is nothing
Bongo biashara inahitaji uvumilivu. Bila uvumilivu hutoboi utaishia Kufungua biashara hii kesho ukafunga ukafungua nyingine. Huko kwwingine biashara inaweza kukulipa ila linapokuja suala la usalama ndio kipengere. Muhimu safety kwanza mengine baadaeBongo ni kweli watu wanapiga mishe ila kwenye ulipaji wagumu sana ila zipo Nchi ambazo mtu kufanya manunuzi hajiulizi mara mbili na wananunua sana vitu vipya na hizo ndio Nchi rahisi kupata pesa kama Zambia,Malawi na SA watanzania tunaamini sana katika mtumba kwa hiyo ununuzi wetu sio mkubwa sana kama hizo Nchi hasa kwa wanaonza kutafuta maisha...
CIA huwa wana release to the public all classified reports after 30 years. Hiyo report ni ya miaka ya 1500 mkuu sio ya jana. Na wao waliochukua kwenye maandiko ya kale ya Sumerians ( the Annunakis) Halafu kama umesoma vizuri sijasema watu wa mtaani wana act to the report. Hayo maelezo kuhusu report yana jitegemea yenyewe kama yenyewe wala hayana uhusiano wowote na mabaharia wa kitaani kwangu. So jielekeze vizuri mkuu.Na ripoti ni classified kama alivyosema ila ikafika mtaani kwao