Hakuna nchi nzuri na rahisi kutafuta maisha na kupata hela kama Afrika Kusini

Kumbe ni tangazo?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Mzee Isanga family kama hutojali hili jambo kauliza mdau hapa tusaidie maoni yako, kuanzia kuhusu risk taker huyo mwenye vidola na shule kidogo
 
Tunashukuru Kwa Tangazo 🤣🤣

Kama unataka Kufa mapema nenda south Africa.Kwa miezi 3 ya mwaishi wa mwaka zaidi ya watu 700 wamekufa kutokana na social problems na hao wapo wachache kushinda Tzn na Linchi ni kubwa ila usalama ni zero.
 
Lengo ikikuwa kutabgaza [emoji590] bus la mkombe sio sasa tangazo limekuwa lefu sana anyway umeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…