Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.

Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.

Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.

Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.

Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.

Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).

Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikiza.
 
Mleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
 
Mleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
Ni kabla hata ya uchaguzi wa 2020, wabunge wa upinzani kuhamia CCM na uchaguzi kuitishwa upya
 
Ni kabla hata ya uchaguzi wa 2020, wabunge wa upinzani kuhamia CCM na uchaguzi kuitishwa upya
Mzee hayo mambo chanzo ni sababu ya Viongoz CDM wa ngazi za juu kukosa msimamo, wanakataa ili ila kesho wanalikubali, Wanagomea serikali ya Magu ila wanakubaliana na serikali ya Samia,wanashindwa kutambua kwamba Samia analo genge lake la viongozi ambao wengi ni waliokwisha pita kwenye ngazi za uongozi kipindi wanalilia katiba mpya.
 
Mleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
Masikini hata hujui deep down ya mamb yalivyokua yanapelekwa!!
 
Uzuri wa Enz za Magu Mambo yalikuwa wazi,leo hii kila kitu kipo chini ya kapet.
That's why naendelea kukwambia bado hujui kitu kbs! Hata hili halihitaji degree kung'amua, utawala awamu ya tano ndio utawala uliokataa uwaz na taarifa yoyote ndan ya vyombo vya hbr juu ya serikali nadhan unaelewa. Kuna mamb yalikua yanaendeshwa kwa utashi na maamuz ya Rais bila kufuata procedures, refer CAG ambae kisheria ana haki ya kuhoji matumiz ya pesa yoyote but angali kilichomkuta! Ilifanyika uharamia wa hovyo ili wapinzani wasiwepo bungeni ili wasifichue yaliyojificha, na huo ndio ukwel!!
 
That's why naendelea kukwambia bado hujui kitu kbs! Hata hili halihitaji degree kung'amua, utawala awamu ya tano ndio utawala uliokataa uwaz na taarifa yoyote ndan ya vyombo vya hbr juu ya serikali nadhan unaelewa. Kuna mamb yalikua yanaendeshwa kwa utashi na maamuz ya Rais bila kufuata procedures, refer CAG ambae kisheria ana haki ya kuhoji matumiz ya pesa yoyote but angali kilichomkuta! Ilifanyika uharamia wa hovyo ili wapinzani wasiwepo bungeni ili wasifichue yaliyojificha, na huo ndio ukwel!!
Mzee kachukue ten lako ukanywe chai kwanza.
 
Mzee hayo mambo chanzo ni sababu ya Viongoz CDM wa ngazi za juu kukosa msimamo, wanakataa ili ila kesho wanalikubali, Wanagomea serikali ya Magu ila wanakubaliana na serikali ya Samia,wanashindwa kutambua kwamba Samia analo genge lake la viongozi ambao wengi ni waliokwisha pita kwenye ngazi za uongozi kipindi wanalilia katiba mpya.
Huezi deal na adui yako! Utawala wa awamu ya tano ulionyesha waz kwa vitendo kua CDM ni adui yao no 1. Ndo maan aliapa kukiua CDM na eventually ikaanza kaz ya teka, tesa, uaaaa, filisi, wape kesi za uhujumu uchumi, Weka magerezani. Ukiogopa maumiv basi unga mkono juhudi. Vyote hiv vipo waz havihitaji kusoma darasan!!!
 
Kumbe wapinzani hujiuza na kuhongwa?

Kwa hiyo Samia anafanya muendelezo wa mtangulizi wake wa kuwarambisha asali wapinzani?

Basi hatuna upinzani nchi hii
 
Next time ukija hakikisha umejifunza kwanza mamb yanavyokwenda!! Humu ukija uje na facts na sio mihemko na mahaba kwa kiongoz!!
Kanywe chai mzee
Una maana Gani? Mi nachojua kipindi Cha jpm ndo mambo yalikuwa chini ya capeti mana vyombo vya habari vilizimwa kabisa lakini wakati huu vipo huru kuripoti chochote
Mzee mm sina neno
 
Kuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.

Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.

Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.

Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.

Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.

Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).

Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikiza.
Alitumia mabilioni ya kodi zetu kununua wapinzani uchwara,na mradi huu ndiyo umewatajirisha Polepole na Bashiru Ali,wamepiga mapanga ya hatari.
 
Mzee hayo mambo chanzo ni sababu ya Viongoz CDM wa ngazi za juu kukosa msimamo, wanakataa ili ila kesho wanalikubali, Wanagomea serikali ya Magu ila wanakubaliana na serikali ya Samia,wanashindwa kutambua kwamba Samia analo genge lake la viongozi ambao wengi ni waliokwisha pita kwenye ngazi za uongozi kipindi wanalilia katiba mpya.
Asingetumia vitisho na fedha kuwashawishi wasihamie CCM wangebaki huko huko CDM, kumbuka kila mwanasiasa ni binadamu na ana tamaa zake

Sio kila mtu anaweza kuvumilia kukamatwa na polisi au kutekwa wakati kuna option ya kwenda CCM ambako anabebwa na mbeleko ya chuma ili ashinde uchaguzi

Hata wewe ulivyo na akili hizi lazima ungehama ungehama
 
Back
Top Bottom