kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Hizo nazo ni mbinu za uongozi bora, kama mpinzani ni jembe mnunue akusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana Gani? Mi nachojua kipindi Cha jpm ndo mambo yalikuwa chini ya capeti mana vyombo vya habari vilizimwa kabisa lakini wakati huu vipo huru kuripoti chochote
Hizo nazo ni mbinu za uongozi bora, kama mpinzani ni jembe mnunue akusaidie.
Kila kitu kilikuwa gizani, imagine hadi yeye kuugua hakuna taarifa iliyotolewa, na waliosema anaumwa wakakamatwaUzuri wa Enz za Magu Mambo yalikuwa wazi,leo hii kila kitu kipo chini ya kapet.
Waambie wapinzani koko waache kujiuzaAlitumia mabilioni ya kodi zetu kununua wapinzani uchwara,na mradi huu ndiyo umewatajirisha Polepole na Bashiru Ali,wamepiga mapanga ya hatari.
Hiyo biashara haramu aliondoka nayo yule mwovu aliyeko motoni sasa hiviWaambie wapinzani koko waache kujiuza
Watu wa chini yake ndo walikuwa wakifanya hivo akina bashiru
Mbona sasa nyie mwendazake FC mnalalamika upinzani umenunuliwa?Hizo nazo ni mbinu za uongozi bora, kama mpinzani ni jembe mnunue akusaidie.
Kwa hiyo sasa hivi hawajiuzi tena?Hiyo biashara haramu aliondoka nayo yule mwovu aliyeko motoni sasa hivi
Wewe kichwani umejaa kamasi uliwai sikia wapi raisi yupo hospital taharifa zinasambazwa holela kama anayeumwa ni Mbowe,Nyerere alikaa st.Mery kafariki ila taharifa ilitolewa baada ya wiki mbili.Kila kitu kilikuwa gizani, imagine hadi yeye kuugua hakuna taarifa iliyotolewa, na waliosema anaumwa wakakamatwa
Wewe kichwani ndio kumejaa kinyesi, unafikiri Magufuli ndio Rais wa kwanza Tanzania? Kikwete aliugua, taifa likatangaziwa, akaombewa akaponaWewe kichwani umejaa kamasi uliwai sikia wapi raisi yupo hospital taharifa zinasambazwa holela kama anayeumwa ni Mbowe,Nyerere alikaa st.Mery kafariki ila taharifa ilitolewa baada ya wiki mbili.
MAGUFULI ALIKUWA HAJUI SIASA ALIDHANI UBABE wa KUWAKAMATA KUWABAMBIKIZIA na KUWAFUNGULIA KESI WAPINZANI UNGEMFANYA ATAWALE MILELEKuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.
Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.
Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.
Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.
Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.
Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).
Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikiza.
aiseKuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.
Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.
Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.
Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.
Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.
Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).
Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikizaJ
Utakoma kujaribu kumtetea yule marehemu inatakiwa uvute bangi kwanzaMleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
UPINZANI wa bongo Ni kibogoyo SanaMzee hayo mambo chanzo ni sababu ya Viongoz CDM wa ngazi za juu kukosa msimamo, wanakataa ili ila kesho wanalikubali, Wanagomea serikali ya Magu ila wanakubaliana na serikali ya Samia,wanashindwa kutambua kwamba Samia analo genge lake la viongozi ambao wengi ni waliokwisha pita kwenye ngazi za uongozi kipindi wanalilia katiba mpya.
Ukweli utakuweka huru.Mleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
Hakuna upinzani Bongo sema ni vikundi flan vya kupiga tu hela wakitegemea suport ya wajinga flan.Yaani wao waongee ujinga majukwaaji alafu hao wajinga wao washangilie tu.UPINZANI wa bongo Ni kibogoyo Sana
Yule kumtete wala stokoma mana ni rais peke yake aliyewai kutuonyesha kwamba tunaweza kuishi bila kujiuza utu wetu na mali zetu na uchumi ukapanda.....Mfano mzuri kipindi cha CORONA kama ulikuwa ushazaliwa nadhani uliona nnachokimanisha.Utakoma kujaribu kumtetea yule marehemu inatakiwa uvute bangi kwanza
Labda wanajiuzia kaburi ChatoKwa hiyo sasa hivi hawajiuzi tena?