Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Kuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.

Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.

Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.

Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.

Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.

Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).

Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikiza.
Lile juha lilituharibia sana nchi bora tu lilivyolambishwa mchanga ,ishukuriwe corona.
 
Mkuu una ushahidi wa hizo fedha ziliwekwa account gani, maana bilion 80 hauwezi hamisha bila kuathili uchumi wa nchi. Nakushauri ungeelekeza nguvu na akili zako kutafuta mustakabali wa maisha yako kuliko kujaribu kupambana kumchafua marehemu. Kwa kufanya hivo unajipalia mkaa utakaokuchoma mwenyewe.
Jpm alitumia nguvu na akili zake zote kuliongoza taifa hadi likaingia uchumi wa kati. Kuna washenzi wanafikilia kwa kutumia matako wakaja kusema nchi iliingia uchumi wa kati kwa juhudi za awamu ya 4. Baada ya jpm kufariki nchi ikarudi uchumi wa chini hao wachumi wa michongo hawakuru kutoa analysis zao za kijinga.
Hivi unakumbuka ile 1.5 trillion iliyokosa maelezo hadi yule bwege anakwenda kaburini?
 
Aibu mgeanza kuiona nyie na chama chenu,lema katoka kwa bahasha wake huko anakuja kutwambia sisi mabodaboda kazi yetu ni LAANA,Walikataa kila kitu kipindi cha Mzee Magu leo wanapokea Ruzuku ya nini?, na wakati washasema hawana wabunge hakina mdee ni wabunge haramuu!!!!.
Wewe mhamiaji haramu lazima utafute kichaka huko CCM
 
JPM alikuwa na maono gani?

Nchi inaendeshwa kwa maono au SERA?
Alivyogundua nchi ni tajiri na tunaweza kulisha nchi nyingine ni maono yake na ni kweli. Ni ufisadi tu ndio unatuponza. Alijua ni lazima (ku-dictate) mambo ili nchi isonge mbele. Alifungua mengi kwa maono yake. He was a leader with vision. RIP baba.
 
Ila Mama anaupiga mwingi sana
Sana.
Sukari kaikuta 2800
Sasa hivi inakaribia 6000 hiyo Ni ndani ya miaka 2 by the time anaondoka sukari itakua 15,000. Petroli 15000/Lita Ila mishahara iko pale pale. Wapanda daladala habari mnaipata popote mlipo, wapanda mwendokasi jasho linawatoka mabasi hauaongezwi Ila ruti zinaongezeka kwa mabasi Yale Yale. Waha nadhani siku hizi wamepunguza kwenda kula Rid Kgm. Ila Bei ya pombe kwa Mara ya kwanza imeshuka.
 
Alivyogundua nchi ni tajiri na tunaweza kulisha nchi nyingine ni maono yake na ni kweli. Ni ufisadi tu ndio unatuponza. Alijua ni lazima (ku-dictate) mambo ili nchi isonge mbele. Alifungua mengi kwa maono yake. He was a leader with vision. RIP baba.
Acha upuuzi wewe, usitumie bando la shemeji yako ovyo.
Umesoma MEMKWA au lasaba la juzi juzi la maswali ya kuchagua?

Hujui tume ya Taifa ya TAKWIMU ndio mamlaka pekee inafanya tafiti na kuja na majibu ?
Hujui kwamba Benki kuu na Benki ya dunia ndio wana takwimu ya kiwango cha umaskini uliopo?
Unaamni tu kwamba mtu anaamka na kusema sisi ni matajiri na hapo hapo tunakuwa matajiri?

#Mungu akusaidie na shemeji yako akigundua ni wewe umeandika hivi anaweza kukurudisha karagwe.
 
Sana.
Sukari kaikuta 2800
Sasa hivi inakaribia 6000 hiyo Ni ndani ya miaka 2 by the time anaondoka sukari itakua 15,000. Petroli 15000/Lita Ila mishahara iko pale pale. Wapanda daladala habari mnaipata popote mlipo, wapanda mwendokasi jasho linawatoka mabasi hauaongezwi Ila ruti zinaongezeka kwa mabasi Yale Yale. Waha nadhani siku hizi wamepunguza kwenda kula Rid Kgm. Ila Bei ya pombe kwa Mara ya kwanza imeshuka.
mpaka tufike 2025 sukari kilo 10,000.
 
Kuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.

Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.

Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.

Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.

Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.

Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).

Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikiza.
Alihonga mamilioni ya Walipakodi.
 
Mleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
Ulikuwa bado hujazaliwa umesahau ulichosimuliwa kuhusu Magufuli.
 
Uzuri wa Enz za Magu Mambo yalikuwa wazi,leo hii kila kitu kipo chini ya kapet.
Kilikuwa wazi kwenye Nini? Yeye ndio alikataa mambo ya open government, au mnadhani tumesahau Nini?
 
Back
Top Bottom