Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Uzuri wa Enz za Magu Mambo yalikuwa wazi,leo hii kila kitu kipo chini ya kapet.

Nimecheka kwa nguvu, eti wakati wa Magufuli kila kitu kilikuwa kipo wazi. Serikali ya Magufuli si ndio ilijitoa kwenye open government? Akawa anatishia na kufungia vyombo vya habari vilivyokuwa vinaweka wazi ukweli asioupenda? Kama alifanikiwa kukubrain wash ww na ndugu zako sio wote boss.
 
Nimecheka kwa nguvu, eti wakati wa Magufuli kila kitu kilikuwa kipo wazi. Serikali ya Magufuli si ndio ilijitoa kwenye open government? Akawa anatishia na kufungia vyombo vya habari vilivyokuwa vinaweka wazi ukweli asioupenda? Kama alifanikiwa kukubrain wash ww na ndugu zako sio wote boss.
Sisi tunamaono mzee...Subirini siku ya wanawake Duniani ndo utajua namanisha nini?
 
Kuna watu wanadai eti Magufuli alikuwa anataka upinzani imara tofauti na Samia ambaye inadaiwa amewalambisha asali.

Napenda kuwakumbusha hawa wenye kumbukumbu fupi kuwa hakuna rais aliyetumia nguvu kubwa ili wamsifie kama Magufuli.

Magufuli alikuwa akinunua madiwani na wapinzani kwenda CCM na kuwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama.

Wanahongwa na kutishwa kujiuzulu kwenye chama chao na kuhamia CCM ambapo walipitishwa bila kura za maoni.

Hapo unafanyika uchaguzi wa marudio unaogharimu wastani wa bilioni 3 kila uchaguzi.

Wengine kama Lipumba na Mtatiro, Mbatia walikuwa wakohongwa fedha nyingi japo hawakuwahi kujiuzulu.
Wengine walikuwa wakijiuzulu na kuhamia vyama vingine huku wakilipwa mishahara na posho za ubunge wakiwa sio wabunge (Cecil Mwambe).

Inakadiriwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli, serikali ilitumia bilioni 80 kwa ajili ya kuhonga wapinzani, kufanya chaguzi za marudio, na kuendesha kesi za kubambikiza.
Mkuu una ushahidi wa hizo fedha ziliwekwa account gani, maana bilion 80 hauwezi hamisha bila kuathili uchumi wa nchi. Nakushauri ungeelekeza nguvu na akili zako kutafuta mustakabali wa maisha yako kuliko kujaribu kupambana kumchafua marehemu. Kwa kufanya hivo unajipalia mkaa utakaokuchoma mwenyewe.
Jpm alitumia nguvu na akili zake zote kuliongoza taifa hadi likaingia uchumi wa kati. Kuna washenzi wanafikilia kwa kutumia matako wakaja kusema nchi iliingia uchumi wa kati kwa juhudi za awamu ya 4. Baada ya jpm kufariki nchi ikarudi uchumi wa chini hao wachumi wa michongo hawakuru kutoa analysis zao za kijinga.
 
Mzee hayo mambo chanzo ni sababu ya Viongoz CDM wa ngazi za juu kukosa msimamo, wanakataa ili ila kesho wanalikubali, Wanagomea serikali ya Magu ila wanakubaliana na serikali ya Samia,wanashindwa kutambua kwamba Samia analo genge lake la viongozi ambao wengi ni waliokwisha pita kwenye ngazi za uongozi kipindi wanalilia katiba mpya.
Uone aibu kuna mambo yalifanyika yanatia aibu kabisa.
 
Kama kuandika kwa ufasaha ni kigezo kaandike Risala ya chama chako siku ya wanawake Duniani.
Unadhani kila mtu anafuatilia kwa bashasha hiyo mikutano ya kukutana na viongozi wa CCM?
 
Uone aibu kuna mambo yalifanyika yanatia aibu kabisa.
Aibu mgeanza kuiona nyie na chama chenu,lema katoka kwa bahasha wake huko anakuja kutwambia sisi mabodaboda kazi yetu ni LAANA,Walikataa kila kitu kipindi cha Mzee Magu leo wanapokea Ruzuku ya nini?, na wakati washasema hawana wabunge hakina mdee ni wabunge haramuu!!!!.
 
Kuna sehemu Magufuli alifanya vizuri si kwq kumuongelea huku

RIP
 
Mleta mada hacha kupotosha watu, Chadema waligomea uchaguzi, wakagomea Bunge na nchi kama nchi haiwezi kataa kuendesha mambo yake kisa chama fulani kimegoma. Viongozi wa chini wa CDM ni wao tu waliamua kujiunga na chama ili familia zao zipate mkate na mahitaji mengine.
Ndugu Rwankomezi hujui lolote..

Nyamaza kimya tu kwenye hili na utajitendea haki mno mwenyewe....
 
Unadhani kila mtu anafuatilia kwa bashasha hiyo mikutano ya kukutana na viongozi wa CCM?
Hili ni jukwaa la siasa na ukiingia huku wewe unafatilia siasa tu,Vinginevyo nenda kwenye magroup ya Akina Agrey huko.
 
Hii ni thread ya milioni mbili kumnanga Magufuli ila bado hamjafanikiwa kutubadili mawazo.
 
Hili ni jukwaa la siasa na ukiingia huku wewe unafatilia siasa tu,Vinginevyo nenda kwenye magroup ya Akina Agrey huko.
Tenganisha kufuatilia siasa na kufuatilia hilo tukio.
 
Nimecheka kwa nguvu, eti wakati wa Magufuli kila kitu kilikuwa kipo wazi. Serikali ya Magufuli si ndio ilijitoa kwenye open government? Akawa anatishia na kufungia vyombo vya habari vilivyokuwa vinaweka wazi ukweli asioupenda? Kama alifanikiwa kukubrain wash ww na ndugu zako sio wote boss.
Achana na Chawa Hawa hawajui kitu
 
Kumbe wapinzani hujiuza na kuhongwa?

Kwa hiyo Samia anafanya muendelezo wa mtangulizi wake wa kuwarambisha asali wapinzani?

Basi hatuna upinzani nchi hii
Yule jamaa alikuwa mshamba tu,wapinzani wa ukweli walimdindiaa!!Najua wafuasi wake mnaumia sana kwa hili analolifanya Mama!!kwani anazidi kulifanya shetani lile lizidi kusahaulika kabisa.
 
MAGUFULI ALIKUWA HAJUI SIASA ALIDHANI UBABE wa KUWAKAMATA KUWABAMBIKIZIA na KUWAFUNGULIA KESI WAPINZANI UNGEMFANYA ATAWALE MILELE
-ALIDHANI KUGAWA VYEO NA FEDHA KWA WAPINZANI KUNGEUA UPINZANI
-ALIDHANI KUZUIA MIKUTANO KUNGEUA VYAMA
-ALIDHANI KUWA NA WABUNGE WA CCM KUNGEUA UPINZANI
-ALIDHANI KUWAPA UBUNGE HALIMA NA WENZAKE KUNGEUA CHADEMA
MATOKEO YAKE ALISHINDWA .
Mpaka keo mnapambana na kivuli chake huge aliyeshindwa du
 
Hakuna upinzani Bongo sema ni vikundi flan vya kupiga tu hela wakitegemea suport ya wajinga flan.Yaani wao waongee ujinga majukwaaji alafu hao wajinga wao washangilie tu.
Mfano Juzi LEMA kapokewa na boda boda kutoka uwanja wa ndege,kafika jukwaani anasema kazi ya boda boda ni LAANA ,Hao hao boda boda wanashangilia kuitwa laaana,yaani ni taabu tupu.
Anzisheni upinzani makini mtapata wafuasi wengi sana
 
Back
Top Bottom