Hakuna Rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Hayati Magufuli (kuwalambisha asali)

Sahihi, mataga wengi akili zao zinafikiri reverse
Una maana Gani? Mi nachojua kipindi Cha jpm ndo mambo yalikuwa chini ya capeti mana vyombo vya habari vilizimwa kabisa lakini wakati huu vipo huru kuripoti chochote
 
Alitumia mabilioni ya kodi zetu kununua wapinzani uchwara,na mradi huu ndiyo umewatajirisha Polepole na Bashiru Ali,wamepiga mapanga ya hatari.
Waambie wapinzani koko waache kujiuza
 
Kila kitu kilikuwa gizani, imagine hadi yeye kuugua hakuna taarifa iliyotolewa, na waliosema anaumwa wakakamatwa
Wewe kichwani umejaa kamasi uliwai sikia wapi raisi yupo hospital taharifa zinasambazwa holela kama anayeumwa ni Mbowe,Nyerere alikaa st.Mery kafariki ila taharifa ilitolewa baada ya wiki mbili.
 
Wewe kichwani umejaa kamasi uliwai sikia wapi raisi yupo hospital taharifa zinasambazwa holela kama anayeumwa ni Mbowe,Nyerere alikaa st.Mery kafariki ila taharifa ilitolewa baada ya wiki mbili.
Wewe kichwani ndio kumejaa kinyesi, unafikiri Magufuli ndio Rais wa kwanza Tanzania? Kikwete aliugua, taifa likatangaziwa, akaombewa akapona

Hilo jitu lenu kwamba lilikuwa mungu ndio lisiumwe?
 
MAGUFULI ALIKUWA HAJUI SIASA ALIDHANI UBABE wa KUWAKAMATA KUWABAMBIKIZIA na KUWAFUNGULIA KESI WAPINZANI UNGEMFANYA ATAWALE MILELE
-ALIDHANI KUGAWA VYEO NA FEDHA KWA WAPINZANI KUNGEUA UPINZANI
-ALIDHANI KUZUIA MIKUTANO KUNGEUA VYAMA
-ALIDHANI KUWA NA WABUNGE WA CCM KUNGEUA UPINZANI
-ALIDHANI KUWAPA UBUNGE HALIMA NA WENZAKE KUNGEUA CHADEMA
MATOKEO YAKE ALISHINDWA .
 
aise
 
Utakoma kujaribu kumtetea yule marehemu inatakiwa uvute bangi kwanza
 
UPINZANI wa bongo Ni kibogoyo Sana
 
Ukweli utakuweka huru.
 
UPINZANI wa bongo Ni kibogoyo Sana
Hakuna upinzani Bongo sema ni vikundi flan vya kupiga tu hela wakitegemea suport ya wajinga flan.Yaani wao waongee ujinga majukwaaji alafu hao wajinga wao washangilie tu.
Mfano Juzi LEMA kapokewa na boda boda kutoka uwanja wa ndege,kafika jukwaani anasema kazi ya boda boda ni LAANA ,Hao hao boda boda wanashangilia kuitwa laaana,yaani ni taabu tupu.
 
Utakoma kujaribu kumtetea yule marehemu inatakiwa uvute bangi kwanza
Yule kumtete wala stokoma mana ni rais peke yake aliyewai kutuonyesha kwamba tunaweza kuishi bila kujiuza utu wetu na mali zetu na uchumi ukapanda.....Mfano mzuri kipindi cha CORONA kama ulikuwa ushazaliwa nadhani uliona nnachokimanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…