Hakuna sababu ya Rais Samia kukaa Msumbiji kwa siku 4

Hakuna sababu ya Rais Samia kukaa Msumbiji kwa siku 4

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
 
Pengine wanaona nafuu zaidi asipokuwepo nchini kuliko akiwepo ama akiwepo asipokuwepo yote sawa tu.
 
Ziara zake zimekuwa za muda mrefu.

Inaelekea nae anazifurahia.
 
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
 
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Baada ya hizo siku nne, anaunganisha hadi Marekani na huko sijui hata atakaa siku ngapi. Mara ya mwisho kama sikosei ilikuwa kwenye Royal Tour na unakumbuka pia malalamiko ya wakati ule.
 
Mimi kama Adui yako sitaki salamu yako.
Na kwa Uzi nisingependa kuingia kwa undani.
 
akiwepo na asipokuwepo mambo ni yaleyale tu,vitu vinapanda bei kwa kasi sana maisha yanakua magumu zaidi kwa wananchi wa hali ya chini.kwa siku mtu unafatwa na watu zaidi ya wawili wanakulalamikia ugumu wa maisha wanataka ufumbuzi.
 
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Mleta mada anahoja ila wewe unaleta mipasho.
 
Pengine wanaona nafuu zaidi asipokuwepo nchini kuliko akiwepo ama akiwepo asipokuwepo yote sawa tu.
Samia ni mara 1000 ya yule KAYAFA mtesaji mkuu.

Aisee KAYAFA alikua laana kwa nchi hata wewe ulichakaa sana enzi zake nikikumbuka tule tuwigi twa elf 5 twa kariakoo ulitokua ukituvaa ni tofauti na sasa!! Kuna siku nilikuona pale Lumumba naona umetakataaaa!! Hata yale mabaka ya mkorogo siku hizi sikuoni nayo tena.

Big halla kwa Samia akeee.
 
Inaonesha kuna pressure kubwa sana kwenye uongozi wake toka kwa 'walaji'.
Inabidi atafute pa kupumulia.
 
Ananyweshana juice na mwenyeji wake. Muache mama aitangaze nchi.
Mama anaupiga mwingi. Soon tutakuwa na United Republic of Tanzanique.
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Unataka tufanye nini sasa?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Leo amehudhuria kongamano la Chama Tawala Frelimo na alikuwa mgeni rasmi aliyealikwa kutoa mada.
 
Back
Top Bottom