Hakuna sababu ya Rais Samia kukaa Msumbiji kwa siku 4

Hakuna sababu ya Rais Samia kukaa Msumbiji kwa siku 4

Akikaa huko msumbiji siku mbili wewe ni kitu gani kitabadilika kwenye maisha yako unadhani?
 
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Wathenge hao watoto,yaani ziara ipangwe na taasisi ya rais yeye ajue kwamba Sasa inatosha akatishe ziara
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Tena wanadai ka share glass na yule Nangumene!
Kuna namna pale….
 
Tena wanadai ka share glass na yule Mmalawi!
Kuna namna pale….
Jamani jamani! Mbona hata Malkia wa Sheba alikaa siku kadhaa alipotembelea Israel enzi za Mfalme Suleiman? Jee mnakumbuka faida ya ziara ile hadi leo?
Basi nyamazeni, yajayo yanafurahisha atarudi tuu. Najua mnamuulizia kwa upendo tuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Kwani baba yetu wa kambo anasemaje kuhusu mkewe kuzurula?
 
Kwa hivyo akipangiwa chochote cha hovyo afanye tu kwakuwa kimetoka taasisi ya urais?!
So hata wangemshauri akae huko hata mwezi 1 kwake ni sawa tu maadam ni ushauri wa taasisi
Wakinshauri kukaa mwezi Wana sababu..wewe unajua kwa nini kaenda!?..sababu unazoambiwa unadhani ndizo hizo tu!?
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Nchi bila rais tangu 2015
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Unayo hoja.

Kama kungekuwa na matukio ya kitaifa hususan yanayohusisha engagement ya mataifa yetu huko nami ningeelewa dhima ya safari.

Labda wanazungumzia Cabo Delgado. Lakini tungeona SADC ikiwa pale
 
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!

Hakuna anayekataa kuwa anapangiwa, je anafanya nini akiwa huko?
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Amepata bwana huko......si uliona ananywesha kbsa
 
Jamani jamani! Mbona hata Malkia wa Sheba alikaa siku kadhaa alipotembelea Israel enzi za Mfalme Suleiman? Jee mnakumbuka faida ya ziara ile hadi leo?
Basi nyamazeni, yajayo yanafurahisha atarudi tuu. Najua mnamuulizia kwa upendo tuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Agiza K-v yenye % 50. Nitumie bill pse. Nangumene baba wa kambo. Oyee👌🏿😎🤐
 
Habari zenu marafiki na maadui zangu,

Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).

Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.

Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.

Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.

Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?

Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Safari ya Rais ni maisha Kwa watumishi wa vitengo, ndio wakati wao wa kula maisha. Kusafiri Kwa Rais ni fursa moja tamu sana. Tuache wivu tusubiri hadi tutakapolitizama upya hapo mbeleni
 
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!

Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Mkuu binafsi naunga mkono hoja ya mtoa mada ila hili jibu, lah! 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom