Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
No wonder she got attached to to Mozambique wanaongea kireno huko🤣Vasco da Gama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No wonder she got attached to to Mozambique wanaongea kireno huko🤣Vasco da Gama
Wathenge hao watoto,yaani ziara ipangwe na taasisi ya rais yeye ajue kwamba Sasa inatosha akatishe ziaraUjuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!
Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Tena wanadai ka share glass na yule Nangumene!Habari zenu marafiki na maadui zangu,
Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).
Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.
Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.
Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.
Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?
Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Group Lake Lote Ni Urefu Wa KambaZiara zake zimekuwa za muda mrefu.
Inaelekea nae anazifurahia.
Jamani jamani! Mbona hata Malkia wa Sheba alikaa siku kadhaa alipotembelea Israel enzi za Mfalme Suleiman? Jee mnakumbuka faida ya ziara ile hadi leo?Tena wanadai ka share glass na yule Mmalawi!
Kuna namna pale….
Kwani baba yetu wa kambo anasemaje kuhusu mkewe kuzurula?Habari zenu marafiki na maadui zangu,
Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).
Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.
Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.
Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.
Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?
Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Wakinshauri kukaa mwezi Wana sababu..wewe unajua kwa nini kaenda!?..sababu unazoambiwa unadhani ndizo hizo tu!?Kwa hivyo akipangiwa chochote cha hovyo afanye tu kwakuwa kimetoka taasisi ya urais?!
So hata wangemshauri akae huko hata mwezi 1 kwake ni sawa tu maadam ni ushauri wa taasisi
Nchi bila rais tangu 2015Habari zenu marafiki na maadui zangu,
Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).
Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.
Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.
Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.
Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?
Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Unayo hoja.Habari zenu marafiki na maadui zangu,
Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).
Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.
Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.
Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.
Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?
Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!
Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
Amepata bwana huko......si uliona ananywesha kbsaHabari zenu marafiki na maadui zangu,
Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).
Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.
Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.
Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.
Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?
Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Agiza K-v yenye % 50. Nitumie bill pse. Nangumene baba wa kambo. Oyee👌🏿😎🤐Jamani jamani! Mbona hata Malkia wa Sheba alikaa siku kadhaa alipotembelea Israel enzi za Mfalme Suleiman? Jee mnakumbuka faida ya ziara ile hadi leo?
Basi nyamazeni, yajayo yanafurahisha atarudi tuu. Najua mnamuulizia kwa upendo tuu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Safari ya Rais ni maisha Kwa watumishi wa vitengo, ndio wakati wao wa kula maisha. Kusafiri Kwa Rais ni fursa moja tamu sana. Tuache wivu tusubiri hadi tutakapolitizama upya hapo mbeleniHabari zenu marafiki na maadui zangu,
Cheo cha Urais Tanzania siku zote kimekuwa ni cheo cha 'Rais Mtendaji' na siyo 'Ceremonial President' (msaada wa tafsiri ya Kiswahili).
Hata Marais kama Kikwete na Mwinyi ambao kidogo walichukua mlengo wa kuacha mambo yajiendeshe tofauti na Marais wengine tuliowahi kuwa nao, bado walibaki ni viongozi watendaji.
Inawezekana vyombo vyetu vya kimfumo vimekuwa vinajaribu kutumia mifumo hii miwili kwa njia ya kubadilishana ili labda kutotuchosha na aina moja ya uongozi maana "trend" inaonyesha kila baada ya Rais Mtendaji tumekuwa tunapata Rais ambaye kidogo anatumia "hands off" approach. Tukikumbuka pia taasisi hizi zimegoma kabisa mfumo wa kidemokrasia kufanya kazi nchini.
Baada ya kutoka kwenye mazishi ya Queen Elizabeth huku London, Rais Samia alielekea Msumbiji kwa ziara ya siku nne, na mpaka sasa yupo huko. Sioni umuhimu wowote wa Rais kukaa Msumbiji siku zote hizo. Tukumbuke, Rais amapokwenda sehemu, tayari majadiliano muhimu yanakuwa yameshafanyika na watendaji wa chini, Rais anakwenda tu kusaini mikataba. Vinginevyo, ni ile hali ya kuongeza tu ushirikiano kati ya nchi husika, ambapo ndiyo utaona anasaidia uzinduzi wa mradi fulani huko. Nje ya hapo, labda kuwepo na mkutano mkubwa unafanyika ambapo atahudhuria.
Sasa kama taasisi za kimfumo zimeamua Rais Samia ni ceremonial president na siyo Rais Mtendaji, maana style yake ya uongozi inaonyesha yuko hivyo, atakuwa anafanya nini siku zote nne hizo huko?
Siku nne ni nyingi saaana aisee. Itapendeza kama tukipewa mrejesho wa ratiba yake ilivyokuwa ili kama waajiri wake tujiridhishe na utumiaji wake wa muda.
Mkuu binafsi naunga mkono hoja ya mtoa mada ila hili jibu, lah! 🤣🤣🤣🤣Ujuaji hautawasaidia! HAYA ANARUDI LEO MFURAHI!
Kuna watu mmekuwa na visirani mtazani Rais anawanyonyesheni maziwa!
Ziara ya rais hupangwa na huwa kwenye ratiba, acheni ujuaji wenu bahna!
wengine wanajua na wameaminishwa kwamba raisi hufanya kazi akiwa ikulu tu. wasichokijua ni kwamba raisi wa nchi hawezi kukwepa kusafiri labda awe PUNGUANI kama yule aliyepita magufuliMwacheni Mama afanye kazi!