Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 593
- 2,219
Waislam wa tanganyika wako juu kiakili pia wana uzoefu wa kuishi na watu wasio waislam pia Waislam wa huku hata shule sio haba sanaPolisi zanzibar ni waongo sana, hakuna sheria yoyote Zanzibar inamkataza mtu kula wakati wa ramadhani.
Miaka ya nyuma kesi zote zilizopelekwa mahakani mashitaka yalisomeka tofauti, badala ya shitaka la kula mchana wakati wa ramadhani, mashitaka yote yaliletwa mahakamani kwa kosa la uzururaji.
Hakuna sheria zozote hao watu ni wajinga tu.
Sasa hayo mataka taka ya zanzibar wanAjikuta wawo ni vituu vya mtume shida ya hicho kisiwa ni elimu duni ogopa sana uwe maskini muislam huna elimu wewe ni hatari zaidi bomu kwa jamii inayokuzunguka