Hakuna sheria Zanzibar inayokataza kula mchana wakati wa ramadhani

Hakuna sheria Zanzibar inayokataza kula mchana wakati wa ramadhani

Polisi zanzibar ni waongo sana, hakuna sheria yoyote Zanzibar inamkataza mtu kula wakati wa ramadhani.

Miaka ya nyuma kesi zote zilizopelekwa mahakani mashitaka yalisomeka tofauti, badala ya shitaka la kula mchana wakati wa ramadhani, mashitaka yote yaliletwa mahakamani kwa kosa la uzururaji.

Hakuna sheria zozote hao watu ni wajinga tu.
Waislam wa tanganyika wako juu kiakili pia wana uzoefu wa kuishi na watu wasio waislam pia Waislam wa huku hata shule sio haba sana

Sasa hayo mataka taka ya zanzibar wanAjikuta wawo ni vituu vya mtume shida ya hicho kisiwa ni elimu duni ogopa sana uwe maskini muislam huna elimu wewe ni hatari zaidi bomu kwa jamii inayokuzunguka
 
Badala ya kuishi kwa matamko ya viongozi; suala la kutokula kipindi cha Ramadhan huko Zanzibar lingerasimishwa kwa kutungiwa sheria au kuingizwa kwenye katiba zote mbili - ya Zanzibar na ya Muungano ili kila mwananchi afahamu na liwe enforceable na wasimamizi wa sheria bila ukakasi.

Sio sawa kuishi kwa kuviziana.
Tatizo lao mambo yao yote lazima yaratibiwe kule dodoma.Hawana lolote hao
 
Kosa la uzururaji lenyewe ni la kizushi sana.

Kwa sababu Mtanzania kuzurura sehemu yoyote iliyo open to the pubkic Tanzania ni haki yake ya kikatiba.

Sasa, uzururaji maana yake nini? Na kwa nini kumpa mtu kosa la uzururaji wakati katiba inatoka haki ya kuzunguka nchi nzima, si kuvunja katiba?
Mkuu hao jamaa ni wahuni tu na wanatumia uhuni kwenye mgongo wa dini, kwanza hao watu wote wanakamatwa majumbani mwao wakila lunch zao, wala sio kwamba walikamatwa mitaani.Pili wazungu hawakamatwi sasa baada ya kusikia malalamiko kwamba mbona ni watanganyika tu mnakamata, wakaja na uhuni mwingine eti kuna wazungu tumewakamata na hotel walizofikia tumewalipisha faini, yaani mtu afanye kosa mitaani hotel uliofikia ipigwe faini?Huu uhuni huwezi kuwaona wale waarabu koko wakifanya.Wanaofanya ni wale wamatumbi tu kwanini?Kwanza wenyewe wanajifanya wamefunga mchana wanakwenda na chakula ndani ya maji wakivua samaki na wanakula uko
 
Kila siku tunasema hapa Muungano uvunjwe, maana upo kitapeli na kinyonyajii, kwan mama kizimkazi si auvunje tyuuh.

Watu tumeshachoka na manjegeka ya wana Paje.
Nyerere alikuwa mjanja sana Mama hawezi kuvunja muungano na hana huwezo huo kwa mazingira ya huu muungano. Mama akivunja muungano Jeshi litavunja serkali.
 
Back
Top Bottom