Ni taifa gani lisilojua linaitwaje hiyo coin inaweza kuwa feki.View attachment 3140004
Soma Hiyo Herufi ya Mwanzo imeandikwaje kwa Lugha ya Kiarabu Ni ف Yaani Fe..
Na kwa Kingereza Obvious itaitwa Palestine..
Au unasahau hata Israel Ni YISRAEL na sio Israel..
Au unasahau Msumbiji ni Wanaita wao Nchini mwao na Nchi Jirani tu ila Wao Wakiwa Nje wanatumia Jina la Kingereza ambalo ni Mozambiq..
Kama bado hujajua Hivyo vyote..
kwa Kumalizia Nitakuomba Unitofautishie kati ya James Na JacoB ni nani Yakobo kati yao😅😅
Wangekuwa wanaongea lugha ya Kikanani hapo wangekuwa Legit lakini hao ni Waarabu kutoka Hejazi katika Karne ya 7.Mzee acha story za kuokoteza mzee! Mwani we unaelewa nini unaposikia neno Taifa?
Wewe asili yako ni wapi? Namaanisha kabila lako.Wangekuwa wanaongea lugha ya Kikanani hapo wangekuwa Legit lakini hao ni Waarabu kutoka Hejazi katika Karne ya 7.
Ntajie watawala wa dola la palestina kabla ya arafati aliyezaliwa na kukulia misriHizi stories mnazoleta mnajiabisha.
Hizo himaya ulizozitaja ziliwahi ku exist wakati mmoja na kila moja iliiongoza Palestina kwa wakati wake.
Sawa hakukuwahi kuwepo na Palestina,ila je KULIWAHI KUWEPO NA ISRAEL!?
Mwaka wa kupatikana uhuru wa Palestina unajulikana na aliyeitawala Palestina anajulikana.
Je unamjua aliyeitawala Israel!?
Bora hata Palestina ilikua moja ya majimbo ya hizo caliphates and sultanates ila Israel haikuwahi ku exist.
Halafu hizo himaya usiziorodheshe kwa mafungu kana kwamba zote zilitkuwepo sehemu moja.
Kila moja ilikua na mako makuu yake na Himaya yake.
Tena kuna zingine zilitokea kwa wakati mmoja zikigombania ukuu.
quran gani hiyo?Nyuzi mujarab Facts tupu kwenye Quruani hakuna Palestina kwenye Arabic Language hakuna herufi "P"
Israel imetajwa mara nyingi sana kwenye Quruani.
Israel ni jina lingine la jacob ambao hao ni watoto wakeMakabila 12 ya wana wa israel ni haya:
Reuben, Simeon, Judah, Issachar, Zebulun, Benjamin, Dan, Naphtali, Gad, Asher, Ephraim and Manasseh.
Hakuna mazayuni hapo wala wewe mgagagigikoko haupo hapo.
Hiyo Coin imeanza Kutumika Tangu Miaka 1920 Na imetumika sana mpaka Bristish walipowanyanganya Nchi waphilisti na Kuwapa waisrael..Ni taifa gani lisilojua linaitwaje hiyo coin inaweza kuwa feki.
Cha ajabu ni kwamba Waliopo Mpaka sasa wanaoishi Israel ni Kabila la Yahud peke yake yaani Kabila la YudaIsrael ni jina lingine la jacob ambao hao ni watoto wake
Mkuu kwani issue hapa ni eneo likiloitwa Palestina au nchi ikiyoitwa Palestina? Maana kwa mipaka ya sasa ya Israel iliitwa na Palestina na Dola la Roma sehemu iliyokuwa Yudea na kuipa jina Syria-Palestina maana eneo lote lile kikikuwa makao makuu yapo Syria.Mtoa mada kakuwekea sehemu alipotoa hiki kitu kaleta hapa,sasa ugomvi wenu ni kwa mtoa mada au source ya mtoa mada ndio iko debated?
Religious point of view:there is no such thing like Palestine.However,in history there might be the so called Palestine and so do politics acknowledge presence of Palestine
Issue inakuwa ni approach gani utatumia kueleza hili jambo.Umepewa facts katika mada hii kama una-doubt yoyote onyesha weakness yoyote katika hizo facts then ntakupa majibu kwanini Palestine is real in some situations and not real in other approaches
Kweli uzi umeshushwa wenye madini kabisa.....hadi FF leo anajibu hivi, britanicca 💐💐You're right.
Kwenye hii Sarafu neno la kwenye Mabano ni YisraelView attachment 3140004
Soma Hiyo Herufi ya Mwanzo imeandikwaje kwa Lugha ya Kiarabu Ni ف Yaani Fe..
Na kwa Kingereza Obvious itaitwa Palestine..
Au unasahau hata Israel Ni YISRAEL na sio Israel..
Au unasahau Msumbiji ni Wanaita wao Nchini mwao na Nchi Jirani tu ila Wao Wakiwa Nje wanatumia Jina la Kingereza ambalo ni Mozambiq..
Kama bado hujajua Hivyo vyote..
kwa Kumalizia Nitakuomba Unitofautishie kati ya James Na JacoB ni nani Yakobo kati yao😅😅
Atakuwa msabatoHALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya
1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.
2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.
3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.
4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.
5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.
6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.
7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.
8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.
9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.
10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.
11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.
12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.
13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.
14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.
15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.
16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.
17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.
Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.
View attachment 3139944
Anaandika TAT kule Twitter (X)
Israel ndo taifa pekee wanaloongea ligha kanaan kumbuka kanaani ni group za lugha zilizokuwa wanaongea eneo hilo ila cha ajabu wapalestina hawaongei lugha ambao ni asili ya eneo lile wanaongea kiarabuHiyo Coin imeanza Kutumika Tangu Miaka 1920 Na imetumika sana mpaka Bristish walipowanyanganya Nchi waphilisti na Kuwapa waisrael..
Mimi napenda kuongea Facts always..
Nimepost Licence iliyokuwa Imeandikwa Serikali ya Palestina..
View attachment 3140010
Mazungumzo ya Kiarabu, Kiebrania Yana Herufi tofauti Na Herufi za Kilatin (Kingereza)
Sasa nataka Nikufundishe Kitu kama utakuwa tayari kuelewa..
waebrania Tangu miaka hiyo zamani hizo za BCE au BC walikuwa wakiwaita Wapalestina "פלשת" (Peleshet), wakiwa na maana watu waishio Nchi ya wafilisti au Nchi ya Wafilisti au kwa lugha ya Trump "Land of the Philistines."
jina hili Peleshet, hata kwenye Biblia Limeandikwa sana na Ndo Wayahudi wanalotumia mpaka leo kama kwenye Kitabu cha Zaburi na Isaya, where specifically describes the coastal region inhabited by the Philistines enzi hizo yaani southwestern Canaan, ambayo kwa leo ndo Gaza.
Jina hilo unalotaja wewe la Palestina halina Muda mrefu na Limeanzishwa na Greek Palaistinē (Παλαιστίνη), ambalo warumi baadae walili adopted kama Palæstina.
Ukitaka Clarification zaidi Niambie nitakueleza..
Church History na Bible History ilikuwa Speciality yangu kipindi nasoma Theology so Niko Vizuri kwa upande huo
Upo sahihi.Israel ni jina lingine la jacob ambao hao ni watoto wake
Waarabu wana Nchi 19 nusu kati ya hizo ni za kuzulumu through Islamic Conquest kwanini Israel asirejee Nyumbani?!Hiyo Coin imeanza Kutumika Tangu Miaka 1920 Na imetumika sana mpaka Bristish walipowanyanganya Nchi waphilisti na Kuwapa waisrael..
Wale makabila mengine walienda ulaya wamerudi tokea mwaka 1947Cha ajabu ni kwamba Waliopo Mpaka sasa wanaoishi Israel ni Kabila la Yahud peke yake yaani Kabila la Yuda
Hebu WEWE lete Mstari kwenye Quruani unaosema "Palestine"?! Please fanya hima.quran gani hiyo?
we endelea kusoma magazeti ya mwanaspoti na sani usijifanye kujua hizo vitu
Kondoo ni wa kuchungwa siyo wa kubishana nae.Kweli uzi umeshushwa wenye madini kabisa.....hadi FF leo anajibu hivi, britanicca 💐💐