Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Ni taifa gani lisilojua linaitwaje hiyo coin inaweza kuwa feki.
 
Ntajie watawala wa dola la palestina kabla ya arafati aliyezaliwa na kukulia misri
 
Mtoa mada kakuwekea sehemu alipotoa hiki kitu kaleta hapa,sasa ugomvi wenu ni kwa mtoa mada au source ya mtoa mada ndio iko debated?

Religious point of view:there is no such thing like Palestine.However,in history there might be the so called Palestine and so do politics acknowledge presence of Palestine

Issue inakuwa ni approach gani utatumia kueleza hili jambo.Umepewa facts katika mada hii kama una-doubt yoyote onyesha weakness yoyote katika hizo facts then ntakupa majibu kwanini Palestine is real in some situations and not real in other approaches
 
Ni taifa gani lisilojua linaitwaje hiyo coin inaweza kuwa feki.
Hiyo Coin imeanza Kutumika Tangu Miaka 1920 Na imetumika sana mpaka Bristish walipowanyanganya Nchi waphilisti na Kuwapa waisrael..

Mimi napenda kuongea Facts always..

Nimepost Licence iliyokuwa Imeandikwa Serikali ya Palestina..




Mazungumzo ya Kiarabu, Kiebrania Yana Herufi tofauti Na Herufi za Kilatin (Kingereza)

Sasa nataka Nikufundishe Kitu kama utakuwa tayari kuelewa..

waebrania Tangu miaka hiyo zamani hizo za BCE au BC walikuwa wakiwaita Wapalestina "פלשת" (Peleshet), wakiwa na maana watu waishio Nchi ya wafilisti au Nchi ya Wafilisti au kwa lugha ya Trump "Land of the Philistines."

jina hili Peleshet, hata kwenye Biblia Limeandikwa sana na Ndo Wayahudi wanalotumia mpaka leo kama kwenye Kitabu cha Zaburi na Isaya, where specifically describes the coastal region inhabited by the Philistines enzi hizo yaani southwestern Canaan, ambayo kwa leo ndo Gaza.

Jina hilo unalotaja wewe la Palestina halina Muda mrefu na Limeanzishwa na Greek Palaistinē (Παλαιστίνη), ambalo warumi baadae walili adopted kama Palæstina.

Ukitaka Clarification zaidi Niambie nitakueleza..

Church History na Bible History ilikuwa Speciality yangu kipindi nasoma Theology so Niko Vizuri kwa upande huo
 
Mkuu kwani issue hapa ni eneo likiloitwa Palestina au nchi ikiyoitwa Palestina? Maana kwa mipaka ya sasa ya Israel iliitwa na Palestina na Dola la Roma sehemu iliyokuwa Yudea na kuipa jina Syria-Palestina maana eneo lote lile kikikuwa makao makuu yapo Syria.
 
Kwenye hii Sarafu neno la kwenye Mabano ni Yisrael
 
Atakuwa msabato
 
Israel ndo taifa pekee wanaloongea ligha kanaan kumbuka kanaani ni group za lugha zilizokuwa wanaongea eneo hilo ila cha ajabu wapalestina hawaongei lugha ambao ni asili ya eneo lile wanaongea kiarabu
 
Hiyo Coin imeanza Kutumika Tangu Miaka 1920 Na imetumika sana mpaka Bristish walipowanyanganya Nchi waphilisti na Kuwapa waisrael..
Waarabu wana Nchi 19 nusu kati ya hizo ni za kuzulumu through Islamic Conquest kwanini Israel asirejee Nyumbani?!

Mpaka Juzijuzi Saadam Hussein alikuwa akiwanyang'anya Wakurdi Ardhi na kuwapa Waarabu.
 
Cha ajabu ni kwamba Waliopo Mpaka sasa wanaoishi Israel ni Kabila la Yahud peke yake yaani Kabila la Yuda
Wale makabila mengine walienda ulaya wamerudi tokea mwaka 1947
Kumbuka yeremia alitabiri wataenda ulaya kama adhabu kipindi cha mfalme sedekia na watarudi ndo kilichotokea mwaka 1947
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…