Hujathibitisha Mungu yupo, hujathibitisha katengeneza kitu kutoka pasipo kitu, hujathibitisha hata kama kulikuwa na mwanzo.Creation - making something out of nothing
Hapo mwanzo kulikuwako na neno, naye neno alikua kwa Mungu , Naye neno alikua ni Mungu
Vitu vyepesi km hv ukitaka kutumia akili nyingi kuvielewa utakua unapoteza muda mkuu.
Mungu yupo
Mkuu km huamini uwepo wa Mungu unaweza kunuambia Origin ya kiumbe hai km mwanadamu ni wapi?Hujathibitisha Mungu yupo, hujathibitisha katengeneza kitu kutoka pasipo kitu, hujathibitisha hata kama kulikuwa na mwanzo.
Umekariri maandiko na kuyarudia bila critical thinking.
Umechanganya argument from ignorance, argument from authority na logical non sequitur.
Sasa hapo inabidi kuelewa; Mungu alimpa hekima Suleiman (Solomoni), hiyo hekima aliyopewa ndio aliyoitumia kutafuta mali! Ni kweli kuwa muwezeshaji ni Mungu, lakini je, Mungu anatupatia pasipo kufanya chochote? Ukae tu nyumbani, halafu Mungu akuletee chakula, mavazi, fedha na mali zingine? Onyesha nia na bjdii katika kazi zako, ndipo Mungu anabariki kazi yako hiyo na kukuzalishia mara dufu! Wazazi wetu wa mwanzo, Adam na Hawa, hawakupata chakula chao bure, bali walifanya kazi bustanini na kula matunda ya humo!Wapo sana, sema uelewa wako ni finyu. Kuna huyu mwamba anaitwa Suleiman, aliomba hekima, akapewa na utajiri
Nakwambia hivi, hujathibitisha Mungu yupo. Hivyo vingine hata kama sijui chanzo chake nini, hilo halithibitishi Mungu yupo.Mkuu km huamini uwepo wa Mungu unaweza kunuambia Origin ya kiumbe hai km mwanadamu ni wapi?
Ni mechanism gan inayosababisha mbegu za kiume na yai la mwanamke vikiungana vije na outcome ya kiumbe kingine (mwanadamu) ?
Kinachofanya huu ulimwengu uendelee ku exist ni nini?
Mkuu vitu vyote unavoviona hapa ulimwenguni vina origin yake
Na sio kila kitu kinaweza kuthibitishwa kulingana na mtizamo wako
Science yenyewe kuna vitu imeshindwa kuvithibitisha kutokana na mfumo wa dunia ulivyo
Pia ayubu alipewa utajiri na Mungu.Ukisoma Biblia kuna mahali Yesu alipelekwa mlimani na shetani ili kumuonyesha utajiri wote wa Dunia. Kuna haja ya kuuliza tena nani anatoa utajiri?
AsanteSiri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!
Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.
Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.
Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.
Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.
Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.
Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]
Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!
Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.
Chukua hiyo!
Imeandikwa, NAOMBA UFANIKIWE KATIKA MAMBO YOTE, NA KUWA NA AFYA NJEMA.Kanuni za kuwa tajiri zinajulikana. Utajiri huanzia rohoni ndipo huja mwilini