Hakuna tajiri aliyekuwa tajiri kwa kuomba kwa Mungu apewe utajiri

Hakuna tajiri aliyekuwa tajiri kwa kuomba kwa Mungu apewe utajiri

Siri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!

Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.

Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.

Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.

Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.

Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.

Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]

Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!

Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.

Chukua hiyo!
Watakuja kusema mungu hayupo
Nyani Ngabu ,Kiranga

🐶🐶Nipo palee
 
Siri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!

Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.

Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.

Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.

Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.

Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.

Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]

Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!

Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.

Chukua hiyo!
Ndio maana huwezi kuta utitiri wa Makanisa ya Kilokole Masaki watu wanaamini kwenye kufanya kazi kwa bidii
 
Sema Mungu hakuna anayejua formation yake. Mimi siwezi kataza mtu asiombe utajili. Wewe ukifikia kwa Mungu omba chochote tu.

Kama Shetani anatoa utajili kwa wanao muomba, sembuse kwa Mungu huyu mwema, mwenye huruma na mwingi wa rehema.

Mungu alimpa ufalme wa dunia Nebukadreza, Dario na Koreshi, mana yeye humpa yule yoyote amtakaye, hata ukimuomba anakupa tu.

Wewe omba chochote tu, ila tanguliza kushukuru kwanza, mfano "Baba katika jina la Yesu, nashukuru kwa kunilinda na kuwalinda mfano ndugu zako, watoto nk. Mana imeandikwa, ingieni malangoni kwangu kwa kushukuru."

Mungu sio mwanadam, usijikaze moyo wako wakati unataka umuombe utajili, afu unajidai unaomba vingine, unajikaza kaza tu, hapo unakosea sana.

Mungu ukimuomba utajili, anakupa tu, akikuridhia kwa jinsi uombavyo.

Ya Mungu ni mengi, hasa Mungu huyu alie hai wa Yesu Kristo, hana upendeleo.
 
Kama unamtumikia Mungu katika roho na kweli sahau kuhusu utajili wa mali katika maisha yako otherwise uwe vuguvugu.
Umezidi kunikata maini. Vipi kuhusu Daudi? Suleiman na Sauli je? Mbona hawakuwa na njaa? Hata kama utajiri sipate na je kuhusu maisha tu mazuri? Nayo sipati?
 
Siri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!

Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.

Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.

Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.

Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.

Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.

Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]

Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!

Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.

Chukua hiyo!
Kazi na sala na ndio maana tumeambiwa,"OMBENI MTAPEWA TAFUTENI MTAPATA ".

Kuomba kuende sambamba na KUTAFUTA (maana yake kuhangaika,kujishughulisha,kujituma).
 
Katika hii Dunia omba Sana MUNGU uwe na bahati ktk maisha yako.
Ukiwa na bahati hutumii nguvu kufanikiwa.,

MUNGU ndiyo mwenye kutuwezesha na kutupokonya tulichonacho,
Bila kuwa mwenye bahati hata ufanye shughuli gani utapishana na utajiri..

MUNGU anahusuka [emoji817]% ktk maisha yetu yote hapa duniani.
Tusijidanganye..



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Katika hii Dunia omba Sana MUNGU uwe na bahati ktk maisha yako.
Ukiwa na bahati hutumii nguvu kufanikiwa.,

MUNGU ndy mwenye kutuwezesha na kutupokonya tulichonacho,,
Bila kuwa mwenye bahati hata ufanye shughuli gani utapishana na utajiri..

MUNGU anahusuka [emoji817]% ktk maisha yetu yote hapa duniani.
Tusijidanganye..



Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hata shetani anatoa bahati pia. Na anatoa utajiri.
 
Kwani huwa kuna ulazima gani kujionesha kuwa huamini uwepo wa Mungu? Kwanini usiwe wapita kimya tu?
Kwani kuna ulazima gani wa kunyamazisha watu wasitoe maoni yao?

Hoja inapingwa kwa hoja. Hujatoa hoja, unanyamazisha hoja.

Wewe unayeniambia mimi kwa nini nisiwe napita kimya tu, mbona wewe mwenyewe umeshindwa kupita kimya tu?
 
Back
Top Bottom