dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mada ishahama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Mungu yupo, tunamthibitisha kwa uumbaji wake. Huu ulimwengu haukujifanya wenyewe, hii mipaka ya bahari haikujiweka yenyewe, ukiona kitu kipo kuna aliye kifanya.Agreeing to disagree is an oxymoron.
Hata hujaeleza kwa nini swali langu halina mantiki kwako.
Kwa sababu wewe ni gezageza tu, hata mantiki hujui ni nini.
Na mpaka sasa, hujaeleza unathibitishaje Mungu yupo kweli, na unajuaje kwamba hizo habari za kuwapo Mungu si hadithi tupu tu.
Unathibitishaje ulimwengu huu umeumbwa na Mungu?Ndugu Mungu yupo, tunamthibitisha kwa uumbaji wake. Huu ulimwengu haukujifanya wenyewe, hii mipaka ya bahari haikujiweka yenyewe, ukiona kitu kipo kuna aliye kifanya.
Kivipi huanzia rohoni?Kanuni za kuwa tajiri zinajulikana. Utajiri huanzia rohoni ndipo huja mwilini
Mungu na akubariki. Roho yangu imeridhia mimi kuamini haya.Mimi sijawahi kuona tajiri mcha Mungu na nimekuwa mhasibu viwanda vingi tabia zao:
Mimi nitataja wachache:
- Wabinafsi sana
- Hawana upendo kabisa, wengi hawana msaada kwa ndugu zao.
- Wauaji
Ushauri: Kama unataka utajiri, fanya kazi kwa bidii sana. Jiweke karibu na serikali. Usiwe mwema hasa kwa ndugu. Toa rushwa. Fanya fitina na usisahau kwenda kwa waganga. Saidia sana mayatima na wajane.
- Balesa - huyu kasha kula ndogo watu kibao. Ukimuibia au ukamfanyia uhuni, anakukula kiboga. Aidha, anapeleka watu kuhiji, yeye haendi, anaamini kwa mauchawi yake, akigusa maka anakufa.
- Rostam - huyu ni mafia, kuua nje nje, pia anashinda kwa waganga.
- Moo-kashaua sana maafisa wa Tihalaei wanaojifanya wakazaji. Na anawaganga na mamiungu yake makali sana. Ni mcheza kamari na malaya sana.
- Jiituu Patee - huyu mafia kaa mbali na hela yake au utarest in place.
- Marehemu Mengi: ni alikuwa mnyonyaji hatari. Wafanya kazi wake wengi wamekufa masikini. Aidha, ni mwizi sugu. Hata mtaji alitoa alipokuwa mtumishi wa uma kwenye kukagua mahesabu. Akitaka kiwanja chako, anawazee wake, anawatuma wanamqushirikina. Unajikuta umeuza bei ya kutupa.
Angalizo: Asilimia 85 ya matajiri siongelei wezi wa sadaka kina Gwajima nazungumzia kina Moo huwa hawana furaha kabisa.
Bwana Yesu alisema utafteni Ufalme wa Mungu, mengine mtazidishiwa. Hapa ndipo ilipo tabu; Mungu hayuko serious na ndoto ya wewe kuwa tajiri, yeye anataka ufanye matakwa yake kwanza ndipo akufikilie. Lakini ipo njia ya kufosi, King nimezitaja hapo juu.
Nimezungumza kwa ukweli wangu kabisa.
Jibu swali na uulize swali Kiranga. Tulia uache fujo.Ulivyoweka OK ulijua ni nini?
Kuna watu kazi yao ni kuhamisha mada tu[emoji38][emoji38][emoji38]mada ishahama
Hakika wengi wanakosea sana kuyaamini haya. Wanabweteka sana.Jamaa anadhani utajiri toka kwa Mungu unashuka tu kama mvua waaaaaaaah
Sarcastic Socratic, not democraticJibu swali na uulize swali Kiranga. Tulia uache fujo.
Ndiyo umeshajibu swali kwa maelezo hayo au?Sarcastic Socratic, not democratic
This tactic not static, Colt automatic
Carbon based bipeds go nut head
Stubborn dazed go to bed before you go dead!
Wanakosea ukiwemo na wewe. Mungu anabariki kazi za mikono yako. Ndiyo maana kuna watu wanafanya kazi na hawafanikiwiHakika wengi wanakosea sana kuyaamini haya. Wanabweteka sana.
Mungu unaye mkataa akufunulie kumjua... kuna neno linasema KIBURI CHA UZIMAUnathibitishaje ulimwengu huu umeumbwa na Mungu?
Unajua kwamba ulimwengu kuwa haujajiumba wenyewe si lazima uwe umeumbwa na Mungu.
Kama vile wewe kutokuwa umejizaa mwenyewe maana yake si lazima uwe mtoto wa James Bond 007?
Sasa unaniambiaje James Bond 007 ni lazima yupo, kwa sababu wewe huwezi kuwa umejizaa mwenyewe?
Unaelewa ndicho ulichosema hapa?
Kwamba, kwa kuwa wewe huwezi kuwa umejizaa mwenyewe, basi wewe ni mtoto wa James Bond 007.
Logical non sequitur.
Soma mada yangu mkuu. Mimi sipo kwenye mrengo wa kuamini Mungu anashusha tu utajiri. NoWanakosea ukiwemo na wewe. Mungu anabariki kazi za mikono yako. Ndiyo maana kuna watu wanafanya kazi na hawafanikiwi
Hapo bora kula sadaka, ila pia inataka ujasiri sana, hivi huwa wanapata usingizi kweli baada ya kuchukua senti za wenye dhiki yatima na wajane kwa kuwarubuni kuwa wamemtolea aliye juu na watabarikiwa?Mimi sijawahi kuona tajiri mcha Mungu na nimekuwa mhasibu viwanda vingi tabia zao:
Mimi nitataja wachache:
- Wabinafsi sana
- Hawana upendo kabisa, wengi hawana msaada kwa ndugu zao.
- Wauaji
Ushauri: Kama unataka utajiri, fanya kazi kwa bidii sana. Jiweke karibu na serikali. Usiwe mwema hasa kwa ndugu. Toa rushwa. Fanya fitina na usisahau kwenda kwa waganga. Saidia sana mayatima na wajane.
- Balesa - huyu kasha kula ndogo watu kibao. Ukimuibia au ukamfanyia uhuni, anakukula kiboga. Aidha, anapeleka watu kuhiji, yeye haendi, anaamini kwa mauchawi yake, akigusa maka anakufa.
- Rostam - huyu ni mafia, kuua nje nje, pia anashinda kwa waganga.
- Moo-kashaua sana maafisa wa Tihalaei wanaojifanya wakazaji. Na anawaganga na mamiungu yake makali sana. Ni mcheza kamari na malaya sana.
- Jiituu Patee - huyu mafia kaa mbali na hela yake au utarest in place.
- Marehemu Mengi: ni alikuwa mnyonyaji hatari. Wafanya kazi wake wengi wamekufa masikini. Aidha, ni mwizi sugu. Hata mtaji alitoa alipokuwa mtumishi wa uma kwenye kukagua mahesabu. Akitaka kiwanja chako, anawazee wake, anawatuma wanamqushirikina. Unajikuta umeuza bei ya kutupa.
Angalizo: Asilimia 85 ya matajiri siongelei wezi wa sadaka kina Gwajima nazungumzia kina Moo huwa hawana furaha kabisa.
Bwana Yesu alisema utafteni Ufalme wa Mungu, mengine mtazidishiwa. Hapa ndipo ilipo tabu; Mungu hayuko serious na ndoto ya wewe kuwa tajiri, yeye anataka ufanye matakwa yake kwanza ndipo akufikilie. Lakini ipo njia ya kufosi, King nimezitaja hapo juu.
Nimezungumza kwa ukweli wangu kabisa.
Jamaa ameamua kufunguka ukweli wake wote kwa faida ya wengiHapo bora kula sadakq, ila pia inataka ujasiri sana , hivi huwa wanapata usingizi kweli baada ya kuchukua senti za wenye dhiki yatima na wajane kwa kuwarubuni kuwa wamemtolea aliye juu na watabarikiwa?
Bado una ndoto za kutajirika baada ya kuujua ukweli?Jamaa ameamua kufunguka ukweli wake wote kwa faida ya wengi
Swali gani?Ndiyo umeshajibu swali kwa maelezo hayo au?
Nimezingua. Nimesoma heading tuSoma mada yangu mkuu. Mimi sipo kwenye mrengo wa kuamini Mungu anashusha tu utajiri. No
Ndiyo, ila zipo moyoni mwangu na sitopiga magoti niombe kwa Mungu. Yeye anajua tu automatic. Vya kuomba ni uzima, afya njema, na kadhalika. Material things kama utajiri, maisha mazuri, na kadhalika, hayana ulazima wa kuomba. Anakupa tu automatically.Bado una ndoto za kutajirika baada ya kuujua ukweli?