Hakuna tajiri aliyekuwa tajiri kwa kuomba kwa Mungu apewe utajiri

Hakuna tajiri aliyekuwa tajiri kwa kuomba kwa Mungu apewe utajiri

Kwani kuna ulazima gani wa kunyamazisha watu wasitoe maoni yao?

Hoja inapingwa kwa hoja. Hujatoa hoja, unanyamazisha hoja.

Wewe unayeniambia mimi kwa nini nisiwe napita kimya tu, mbona wewe mwenyewe umeshindwa kupita kimya tu?
Kiranga hukuwahi kuanguka chooni kweli utotoni?
 
Unathibitishaje ulimwengu huu umeumbwa na Mungu?

Unajua kwamba ulimwengu kuwa haujajiumba wenyewe si lazima uwe umeumbwa na Mungu.
Mkuu Waswahili wanasema"Ukiona vyaelea VIMEUNDWA"

Kama unadai Ulimwengu haujaumbwa na Mungu.... Toa alternative watu waelimike., ilikuaje Ulimwengu ukatokea ??

Kuliko kuendeleza ubishani usio na mwisho.
 
Siri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!

Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.

Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.

Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.

Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.

Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.

Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]

Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!

Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.

Chukua hiyo!
wewe mungu wako ni yupi?
 
Mimi niko Dar es Salaam
Hapo Mzizima kwetu tutakutana tu.

Tatizo langu kila nikitaka kuja likizo, ndugu zangu nao wanakuja likizo huku hivyo nashindwa kuja.

Siku hizi hata kupanga miadi ya kuja naogopa uongo.
 
Hapo Mzizima kwetu tutakutana tu.

Tatizo langu kila nikitaka kuja likizo, ndugu zangu nao wanakuja likizo huku hivyo nashindwa kuja.

Siku hizi hata kupanga miadi ya kuja naogopa uongo.
Ukiweza fanya kila liwezekanalo uje huku. Miongoni mwa watu humu JF nina ndoto za kuonana nao live, wa kwanza ni wewe Kiranga.
 
Sijasoma ila kichwa juu chajieleza kua bado na mitihani yote na kheri zoote kuna watu wanajiona wanapata wanacho pata kwa akili na nguvu zao sawa muda utaongea
 
Kwanza kabisa hujathibitisha huyo Mungu yupo.
Creation - making something out of nothing


Hapo mwanzo kulikuwako na neno, naye neno alikua kwa Mungu , Naye neno alikua ni Mungu

Vitu vyepesi km hv ukitaka kutumia akili nyingi kuvielewa utakua unapoteza muda mkuu.

Mungu yupo
 
Back
Top Bottom