Hakuna tajiri aliyekuwa tajiri kwa kuomba kwa Mungu apewe utajiri

Hakuna tajiri aliyekuwa tajiri kwa kuomba kwa Mungu apewe utajiri

Swali lako halina mantiki, unauliza rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?

Kwa sababu wewe ni kiziwi hujui sauti, unajua rangi tu.
Swali lako pia halina mantiki kwangu. Tutakutana wakati mwingine. Lets agree to disagree.
 
Kuna watu Toka hawajazaliwa wameumbwa kuwa masikini maana Mungu amesema nakujua toka kuzaliwa kwako mpaka kufa kwako.

Je utafanyaje kupindua Meza?

Roga Baba😅😅😅

😀😀
 
Swali lako pia halina mantiki kwangu. Tutakutana wakati mwingine. Lets agree to disagree.
Agreeing to disagree is an oxymoron.

Hata hujaeleza kwa nini swali langu halina mantiki kwako.

Kwa sababu wewe ni gezageza tu, hata mantiki hujui ni nini.

Na mpaka sasa, hujaeleza unathibitishaje Mungu yupo kweli, na unajuaje kwamba hizo habari za kuwapo Mungu si hadithi tupu tu.
 
Ukisoma Biblia kuna mahali Yesu alipelekwa mlimani na shetani ili kumuonyesha utajiri wote wa Dunia. Kuna haja ya kuuliza tena nani anatoa utajiri?
 
Agreeing to disagree is an oxymoron.

Hata hujaeleza kwa nini swali langu halina mantiki kwako.

Kwa sababu wewe ni gezageza tu, hata mantiki hujui ni nini.

Na mpaka sasa, hujaeleza unathibitishaje Mungu yupo kweli, na unajuaje kwamba hizo habari za kuwapo Mungu si hadithi tupu tu.
"Kwa sababu wewe ni gezageza tu, hata mantiki hujui ni nini."
[emoji115]
Ok!
 
Ukisoma Biblia kuna mahali Yesu alipelekwa mlimani na shetani ili kumuonyesha utajiri wote wa Dunia. Kuna haja ya kuuliza tena nani anatoa utajiri?
Mkuu kuna maisha mazuri na utajiri. Huo aliooneshwa Yesu ulikuwa ni 'Utajiri wa Kutisha', yaani mkubwa sana.
 
Agreeing to disagree is an oxymoron.

Hata hujaeleza kwa nini swali langu halina mantiki kwako.

Kwa sababu wewe ni gezageza tu, hata mantiki hujui ni nini.

Na mpaka sasa, hujaeleza unathibitishaje Mungu yupo kweli, na unajuaje kwamba hizo habari za kuwapo Mungu si hadithi tupu tu.
Geza geza ndiyo nini?
 
Siri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!

Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.

Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.

Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.

Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.

Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.

Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]

Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!

Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.

Chukua hiyo!
Mimi sijawahi kuona tajiri mcha Mungu na nimekuwa mhasibu viwanda vingi tabia zao:
  1. Wabinafsi sana
  2. Hawana upendo kabisa, wengi hawana msaada kwa ndugu zao.
  3. Wauaji
Mimi nitataja wachache:
  1. Balesa - huyu kasha kula ndogo watu kibao. Ukimuibia au ukamfanyia uhuni, anakukula kiboga. Aidha, anapeleka watu kuhiji, yeye haendi, anaamini kwa mauchawi yake, akigusa maka anakufa.
  2. Rostam - huyu ni mafia, kuua nje nje, pia anashinda kwa waganga.
  3. Moo-kashaua sana maafisa wa Tihalaei wanaojifanya wakazaji. Na anawaganga na mamiungu yake makali sana. Ni mcheza kamari na malaya sana.
  4. Jiituu Patee - huyu mafia kaa mbali na hela yake au utarest in place.
  5. Marehemu Mengi: ni alikuwa mnyonyaji hatari. Wafanya kazi wake wengi wamekufa masikini. Aidha, ni mwizi sugu. Hata mtaji alitoa alipokuwa mtumishi wa uma kwenye kukagua mahesabu. Akitaka kiwanja chako, anawazee wake, anawatuma wanamqushirikina. Unajikuta umeuza bei ya kutupa.
Ushauri: Kama unataka utajiri, fanya kazi kwa bidii sana. Jiweke karibu na serikali. Usiwe mwema hasa kwa ndugu. Toa rushwa. Fanya fitina na usisahau kwenda kwa waganga. Saidia sana mayatima na wajane.

Angalizo:
Asilimia 85 ya matajiri siongelei wezi wa sadaka kina Gwajima nazungumzia kina Moo huwa hawana furaha kabisa.

Bwana Yesu alisema utafteni Ufalme wa Mungu, mengine mtazidishiwa. Hapa ndipo ilipo tabu; Mungu hayuko serious na ndoto ya wewe kuwa tajiri, yeye anataka ufanye matakwa yake kwanza ndipo akufikilie. Lakini ipo njia ya kufosi, King nimezitaja hapo juu.

Nimezungumza kwa ukweli wangu kabisa.
 
Back
Top Bottom