Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Nitakugeuza Shamba darasa ,uzuri Mimi nilikuwa muislamu kwahiyo hunisumbui

Ndio maana nilipokuomba utumie Quran uthibitishe Paran ni Saudia Arabia,umeshindwa sababu Quran ni kitabu cha Uongo , na ni kitabu kilichojaa uzushi na propaganda tu

Mimi nakupigia na maandiko tu ya Biblia , Parani ni Wapi kwa Mujibu wa Biblia?

Biblia (Mwanzo 21:20-21): "Mungu alikuwa pamoja na huyo mtoto, naye akakua, akakaa nyikani, akawa mpiga upinde. Akakaa katika jangwa la Parani, mama yake akamwoza mke kutoka Misri."

Andiko hili linaonyesha kuwa Ismail aliishi Parani lakini mama yake Hajir, akiwa Mmisri, alimtafutia mke kutoka Misri. Hii inathibitisha kwamba Parani si sehemu ya Misri, lakini pia haimaanishi kuwa ni Saudi Arabia ya sasa. Parani kihistoria inahusiana zaidi na eneo la Sinai, ambalo lilikuwa sehemu ya safari ya Waisraeli walipotoka Misri (Hesabu 10:12, Hesabu 12:16).

Hesabu 13:3: Parani ilikuwa karibu na Kadesh-Barnea, eneo linalojulikana kuwa sehemu ya jangwani karibu na milima ya Sinai.

Ramani ya Biblia hii hapa👇👇👇
View attachment 3178133
Parani inahusiana na eneo la milima na nyika katika Peninsula ya Sinai. Tafsiri ya Kijografia inaonyesha kuwa Parani ilikuwa kati ya Misri na nchi za Kaanani (Israel ya leo).

Saudi Arabia ya leo haijatajwa katika maandiko haya ya Biblia kuhusu Parani., Ndio maana nilipokubana Ulete basi Qurani inathibitishaje Paran ni Saudia Arabia,umebaki kulia lia tu ,


Parani kihistoria inahusishwa na Jangwa la Sinai, eneo kati ya Bahari ya Shamu (Red Sea) na Israel ya sasa.

Baadhi ya ramani za zamani zinaonyesha kuwa Parani ilikuwa ni sehemu ya milima ya Sinai inayopakana na Negev (Israel ya sasa) na maeneo mengine kama Kadesh-Barnea.


Ushahidi wa Ramani huu hapa👇👇👇
View attachment 3178134

Hakuna ushahidi wa kihistoria au wa Biblia unaoonyesha kwamba Parani ilikuwa ndani ya Saudi Arabia ya sasa.

Mkondo wa Bahari ya Shamu (Red Sea) unatenganisha Saudi Arabia na Sinai, lakini maandiko hayasemi kwamba Ismail aliishi upande wa Saudi Arabia.,

Ramani hii hapa👇👇 ,Red Sea inatenganisha Saudi Arabia na Sinai
View attachment 3178135
NAKULAMBA MASWALI AMBAYO HATA MASHEIKH WALIYAKIMBIA PALE MSIKITI WA MJIMWEMA

1. Ikiwa unadai Parani ni Saudi Arabia ya sasa, je, una andiko la Koran au Biblia linalothibitisha wazi kuwa Parani ipo upande wa pili wa Bahari ya Shamu ambapo ndio ilipo Saudi Arabia?


2. Historia inathibitishaje kwamba Ismail na Hajir walihamia upande wa Saudi Arabia wakati Biblia inasema walikaa Jangwa la Sinai (karibu na Kadesh-Barnea)?
Nilikuwa najua kuwa hauwezi kujibu Jangwa la Parani ambako Ishmael aliishi ndio nchi gani Kwa Sasa Kwa sababu wewe ni kafiri na siku zote kafiri kazi yake ni kupinga ukweli unao husu mambo ya Mungu muumba mbingu na aridhi

Ila nilikuwa nataka udharirike mbele ya wagalatia wenzanko na umefharirika vya kutosha
maana sidhani kama Kuna mkristo katika Dunia ambaye haijui kuwa Ishmael na kizazi chake waliishi katika nchi ya Saudi Arabia ila wewe umekuwa bubu katika hilo
Eti haujui Ishmael aliishi nchi gani

Natoa hitimisho la andiko la habakuki ambalo Lili mtabiri MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hapo Mungu ametumia Land mark mbili katika huo utabiri Mji wa Tema na mlima Parani
maana anajua tabia za makafiri ni kupinga maandiko na kugeuza geuza

Parani ndio eneo ambalo Ishmael aliishi
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.

Temani ni mji ambao unatoka na jina la mtoto wa Nabii Ishmael aliyeitwa Tema

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Ona hapo Mungu alivyo fundi jina la Tema lipo Moja tu katika Bibilia mzima maana wengekuwa kina Tema wengi mngesema Tema aliyezungumziwa hapa sio Tema mtoto wa Nabii Ishmael kama ulivyoruka ruka kuhu eneo la Parani

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia hapo chini kukuonyesha kuwa huo mji wa Tema upo ndani ya Saudi Arabia

Katika hiyo ramani ya kale hapo Kuna Mji wa Tema, Dumah na Dedani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii bado upo katika nchi ya Saudi Arabian

Pia nakuwekea ramani nyingine ya kale ya bibilia inaonyesha watoto wengi wa Ishmael akiwepo Qedar ambaye kizazi chake ndio amepatikana mtume Muhammad

Pia nakuwekea chati ya family tree ya Ishmael Ili kukuonyesha kuwa mtume Muhammad ametoka na uzao wa Nabii Ishmael kupitia Kwa mtoto Qedar

Tukikuambieni nyinyi wagalatia mmepotea na mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu muwe mnatuelewa

Sasa wewe kafiri endelea kupinga maandiko ya Bibilia pamoja na ramani zake Ili uendelee kuthibitisha ukafiri wako
 

Attachments

  • Screenshot_20241216-181639.jpg
    Screenshot_20241216-181639.jpg
    427.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241215-215915.jpg
    Screenshot_20241215-215915.jpg
    433.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241215-221922.jpg
    Screenshot_20241215-221922.jpg
    303.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241216-190633.jpg
    Screenshot_20241216-190633.jpg
    283.2 KB · Views: 3
Nilikuwa najua kuwa hauwezi kujibu Jangwa la Parani ambako Ishmael aliishi ndio nchi gani Kwa Sasa Kwa sababu wewe ni kafiri na siku zote kafiri kazi yake ni kupinga ukweli unao husu mambo ya Mungu muumba mbingu na aridhi

Ila nilikuwa nataka udharirike mbele ya wagalatia wenzanko na umefharirika vya kutosha
maana sidhani kama Kuna mkristo katika Dunia ambaye haijui kuwa Ishmael na kizazi chake waliishi katika nchi ya Saudi Arabia ila wewe umekuwa bubu katika hilo
Eti haujui Ishmael aliishi nchi gani

Natoa hitimisho la andiko la habakuki ambalo Lili mtabiri MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hapo Mungu ametumia Land mark mbili katika huo utabiri Mji wa Tema na mlima Parani
maana anajua tabia za makafiri ni kupinga maandiko na kugeuza geuza

Parani ndio eneo ambalo Ishmael aliishi
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.

Temani ni mji ambao unatoka na jina la mtoto wa Nabii Ishmael aliyeitwa Tema

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Ona hapo Mungu alivyo fundi jina la Tema lipo Moja tu katika Bibilia mzima maana wengekuwa kina Tema wengi mngesema Tema aliyezungumziwa hapa sio Tema mtoto wa Nabii Ishmael kama ulivyoruka ruka kuhu eneo la Parani

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia hapo chini kukuonyesha kuwa huo mji wa Tema upo ndani ya Saudi Arabia

Katika hiyo ramani ya kale hapo Kuna Mji wa Tema, Dumah na Dedani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii bado upo katika nchi ya Saudi Arabian

Pia nakuwekea ramani nyingine ya kale ya bibilia inaonyesha watoto wengi wa Ishmael akiwepo Qedar ambaye kizazi chake ndio amepatikana mtume Muhammad

Pia nakuwekea chati ya family tree ya Ishmael Ili kukuonyesha kuwa mtume Muhammad ametoka na uzao wa Nabii Ishmael kupitia Kwa mtoto Qedar

Tukikuambieni nyinyi wagalatia mmepotea na mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu muwe mnatuelewa

Sasa wewe kafiri endelea kupinga maandiko ya Bibilia pamoja na ramani zake Ili uendelee kuthibitisha ukafiri wako
Hakuna dini Ina hoja nyepesi na dhaifu kama uislamu, rukaruka weee Kuna maswali nimeuliza huko juu, miaka yote unatembeaga na hako karamani kakuungaunga na hiyo tree chart ya kutengenezwa, ndio maana huwezi na hutaweza kuleta ushahidi wa Muhammad na kizazi chake kuwa ni Ishamael kupitia Qurani


Kama kawaida Mimi nitaendelea kufanya shamba darasa

Maandiko yanasema wazi kuwa Ishmaeli aliishi katika jangwa la Parani:

Mwanzo 21:20-21: "Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde. Akakaa katika jangwa la Parani."
Jangwa la Parani linatajwa katika Biblia kama eneo lililokuwa karibu na Sinai, si sehemu moja tu maalum. Hakuna uthibitisho wa moja kwa moja kwamba jangwa hili lilihusiana moja kwa moja na eneo la Saudi Arabia ya sasa.,nimeshathibitisha huko juu


Pia, Mwanzo 21:21 inataja kuwa Ishmaeli alioa mke kutoka Misri. Hii inaonyesha kuwa eneo alipoishi halikuwa mbali sana na Misri.

Kuhusu Tema na Mlima Parani, nimeshathibitisha huko mada zilizopita

Unamkurupukia Habakuki,kwanza uliwahi kumsikia hata kwenye Quran?😂😂😂

Habakuki 3:3: "Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye Mtakatifu kutoka mlima Parani."

hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kuunganisha mlima Parani au mji wa Tema moja kwa moja na Uislamu au Mtume tapeli Muhammad.

Umekuja na hoja ya kuungaunga Kuhusu Kizazi cha Ishmaeli

Kwa mujibu wa Mwanzo 25:12-18, watoto wa Ishmaeli waliishi katika maeneo mbalimbali, lakini maandiko hayajiwekei kikomo kusema kuwa kizazi cha Ishmaeli kilihusiana moja kwa moja na Mtume Muhammad:

Mwanzo 25:18: "Wakakaa toka Havila hata Shuri, iliyo mbele ya Misri, kando ya njia ya kwenda Ashuru."
Hii inaonyesha kuwa walienea katika maeneo mengi ya Mashariki ya Kati. Hata hivyo, Biblia haitaji popote kwamba kizazi cha Ishmaeli kitazaa Mtume tapeli Muhammad au kuhusiana na dini nyingine.

Habakuki 3:3 haina mahusiano na utabiri wa Mtume Muhammad:

Habakuki 3:3-6 ni maelezo ya Mungu mwenye utukufu, akielezea maajabu ya kazi zake za uumbaji na ukombozi. Haionyeshi wala haitaji majina ya watu au matukio ya baadaye kama unavyodai.Hii hoja ilishakufa kifo cha mende


Biblia haitaji popote kuwa tapeli Mtume Muhammad ni mtume wa Mungu. Badala yake, Biblia inasisitiza kuwa wokovu upo kwa kupitia Yesu Kristo pekee,na tujihadhali na mitume na manabii wa Uongo kama Mwamposa na Muhammad.

Yohana 14:6: "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."


Hakuna maandiko yanayohusiana na dini nyingine au nabii mwingine nje ya Yesu Kristo kama njia ya wokovu., Muhammad ni tapeli tu
 
Nilikuwa najua kuwa hauwezi kujibu Jangwa la Parani ambako Ishmael aliishi ndio nchi gani Kwa Sasa Kwa sababu wewe ni kafiri na siku zote kafiri kazi yake ni kupinga ukweli unao husu mambo ya Mungu muumba mbingu na aridhi

Ila nilikuwa nataka udharirike mbele ya wagalatia wenzanko na umefharirika vya kutosha
maana sidhani kama Kuna mkristo katika Dunia ambaye haijui kuwa Ishmael na kizazi chake waliishi katika nchi ya Saudi Arabia ila wewe umekuwa bubu katika hilo
Eti haujui Ishmael aliishi nchi gani

Natoa hitimisho la andiko la habakuki ambalo Lili mtabiri MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hapo Mungu ametumia Land mark mbili katika huo utabiri Mji wa Tema na mlima Parani
maana anajua tabia za makafiri ni kupinga maandiko na kugeuza geuza

Parani ndio eneo ambalo Ishmael aliishi
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.

Temani ni mji ambao unatoka na jina la mtoto wa Nabii Ishmael aliyeitwa Tema

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Ona hapo Mungu alivyo fundi jina la Tema lipo Moja tu katika Bibilia mzima maana wengekuwa kina Tema wengi mngesema Tema aliyezungumziwa hapa sio Tema mtoto wa Nabii Ishmael kama ulivyoruka ruka kuhu eneo la Parani

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia hapo chini kukuonyesha kuwa huo mji wa Tema upo ndani ya Saudi Arabia

Katika hiyo ramani ya kale hapo Kuna Mji wa Tema, Dumah na Dedani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii bado upo katika nchi ya Saudi Arabian

Pia nakuwekea ramani nyingine ya kale ya bibilia inaonyesha watoto wengi wa Ishmael akiwepo Qedar ambaye kizazi chake ndio amepatikana mtume Muhammad

Pia nakuwekea chati ya family tree ya Ishmael Ili kukuonyesha kuwa mtume Muhammad ametoka na uzao wa Nabii Ishmael kupitia Kwa mtoto Qedar

Tukikuambieni nyinyi wagalatia mmepotea na mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu muwe mnatuelewa

Sasa wewe kafiri endelea kupinga maandiko ya Bibilia pamoja na ramani zake Ili uendelee kuthibitisha ukafiri wako
Umekuwa ukidanganya watu humu na hako kapicha kako ka family tree kauongo na hizo raman za kuungaunga

Nikisema UISLAMU UMEJENGWA KWA UONGO NA PROPAGANDA namaanisha ,ndio maana hoja nyingi za Uislamu ni za kuungaunga tu,mfano eti adamu alikuwa muislamu 🤣🤣🤣

Ona hii Ramani ya kutungatunga ili mradi tu ionekane Paran ni Saudia 🤣🤣
FB_IMG_1734373819603.jpg

Kwamba Saudia Arabia ipo karibu na Misri

Ndio maana nasema UISLAMU NI DINI ILIYOJENGWA KWA UONGO NA PROPAGANDA


Saudia Arabia Leo kwenye Raman ukiangalia ,na Safari ya waisraeli ilivyokuwa unaona kabisa ni Uzushi na uongo mkubwa kusema Paran ni Saudia Arabia

Ramani hii hapa👇👇
FB_IMG_1734373894159.jpg


Halafu unadanganya hapa kuwa Waisraeli walivuka Shamu wakingia Saudia wakavuka Tena Shamu wakarudi kuingia kaanani ,maana unadanganya kuwa Paran ni Saudia Arabia

Parani ipo kusini mwa Israel hapo

Nakusubiria uje na Ngojera zako, za Family tree🤣🤣
 
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
Ndo maana yake. Hakuna mkono wa kulia bila mkono wa kushoto
 
Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia hapo chini kukuonyesha kuwa huo mji wa Tema upo ndani ya Saudi Arabia

Nafyeka Tena hiki kichaka chako kingine

Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.

images (18).jpeg
 
Natoa hitimisho la andiko la habakuki ambalo Lili mtabiri MTUME MUHAMMAD
ANDIKO PEKEE LILILOMTABIRI TAPELI MUHAMMAD NI HILI HAPA 👇👇👇

Mathayo 7

15 “Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, unaweza kuchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye michongoma? 17 Vivyo hivyo mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbaya huzaa matunda mabaya. 18 Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya na mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa katwa na kutupwa motoni. 20 Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao.”
 
Ishu ni kuwa ukiristu umekuwepo miaka 600 kabla ya Islam. Ila Hawa jamaa wanakuambia uislam ulianza tangu kuumbwa kwa ulimwengu
Inawezekana kwani Uislam uliletwa na shetani ila ulikuwa implemented wakati wa Muddy Kwani yeye ndiye alikuwa mtumishi wake mkuu hapa duniani.
 
Hakuna dini Ina hoja nyepesi na dhaifu kama uislamu, rukaruka weee Kuna maswali nimeuliza huko juu, miaka yote unatembeaga na hako karamani kakuungaunga na hiyo tree chart ya kutengenezwa, ndio maana huwezi na hutaweza kuleta ushahidi wa Muhammad na kizazi chake kuwa ni Ishamael kupitia Qurani


Kama kawaida Mimi nitaendelea kufanya shamba darasa

Maandiko yanasema wazi kuwa Ishmaeli aliishi katika jangwa la Parani:

Mwanzo 21:20-21: "Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde. Akakaa katika jangwa la Parani."
Jangwa la Parani linatajwa katika Biblia kama eneo lililokuwa karibu na Sinai, si sehemu moja tu maalum. Hakuna uthibitisho wa moja kwa moja kwamba jangwa hili lilihusiana moja kwa moja na eneo la Saudi Arabia ya sasa.,nimeshathibitisha huko juu


Pia, Mwanzo 21:21 inataja kuwa Ishmaeli alioa mke kutoka Misri. Hii inaonyesha kuwa eneo alipoishi halikuwa mbali sana na Misri.

Kuhusu Tema na Mlima Parani, nimeshathibitisha huko mada zilizopita

Unamkurupukia Habakuki,kwanza uliwahi kumsikia hata kwenye Quran?😂😂😂

Habakuki 3:3: "Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye Mtakatifu kutoka mlima Parani."

hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kuunganisha mlima Parani au mji wa Tema moja kwa moja na Uislamu au Mtume tapeli Muhammad.

Umekuja na hoja ya kuungaunga Kuhusu Kizazi cha Ishmaeli

Kwa mujibu wa Mwanzo 25:12-18, watoto wa Ishmaeli waliishi katika maeneo mbalimbali, lakini maandiko hayajiwekei kikomo kusema kuwa kizazi cha Ishmaeli kilihusiana moja kwa moja na Mtume Muhammad:

Mwanzo 25:18: "Wakakaa toka Havila hata Shuri, iliyo mbele ya Misri, kando ya njia ya kwenda Ashuru."
Hii inaonyesha kuwa walienea katika maeneo mengi ya Mashariki ya Kati. Hata hivyo, Biblia haitaji popote kwamba kizazi cha Ishmaeli kitazaa Mtume tapeli Muhammad au kuhusiana na dini nyingine.

Habakuki 3:3 haina mahusiano na utabiri wa Mtume Muhammad:

Habakuki 3:3-6 ni maelezo ya Mungu mwenye utukufu, akielezea maajabu ya kazi zake za uumbaji na ukombozi. Haionyeshi wala haitaji majina ya watu au matukio ya baadaye kama unavyodai.Hii hoja ilishakufa kifo cha mende


Biblia haitaji popote kuwa tapeli Mtume Muhammad ni mtume wa Mungu. Badala yake, Biblia inasisitiza kuwa wokovu upo kwa kupitia Yesu Kristo pekee,na tujihadhali na mitume na manabii wa Uongo kama Mwamposa na Muhammad.

Yohana 14:6: "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."


Hakuna maandiko yanayohusiana na dini nyingine au nabii mwingine nje ya Yesu Kristo kama njia ya wokovu., Muhammad ni tapeli tu
Unazidi kujidharirisha Yani hata ulichoandika hakieleweki
hiki kitanzi kipo shingoni kwako na Kila ukikukuruka ndio kina zidi kubana shingo yako

Leo hi mandiko ya Bibilia na Ramani zake yamegeuka kuwa ya kuunga unga

Nini ambacho hajaelewa hapa sio unalia Lia tu

Natoa hitimisho la andiko la habakuki ambalo Lili mtabiri MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hapo Mungu ametumia Land mark mbili katika huo utabiri Mji wa Tema na mlima Parani
maana anajua tabia za makafiri ni kupinga maandiko na kugeuza geuza

Parani ndio eneo ambalo Ishmael aliishi
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.

Temani ni mji ambao unatoka na jina la mtoto wa Nabii Ishmael aliyeitwa Tema

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Ona hapo Mungu alivyo fundi jina la Tema lipo Moja tu katika Bibilia mzima maana wengekuwa kina Tema wengi mngesema Tema aliyezungumziwa hapa sio Tema mtoto wa Nabii Ishmael kama ulivyoruka ruka kuhusu eneo la Parani

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia hapo chini kukuonyesha kuwa huo mji wa Tema upo ndani ya Saudi Arabia

Katika hiyo ramani ya kale hapo Kuna Mji wa Tema, Dumah na Dedani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael (Mwanzo 21:13)

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii bado upo katika nchi ya Saudi Arabian

Pia nakuwekea chati ya family tree ya Ishmael Ili kukuonyesha kuwa mtume Muhammad ametoka na uzao wa Nabii Ishmael kupitia Kwa mtoto Qedar

Tukikuambieni nyinyi wagalatia mmepotea na mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu muwe mnatuelewa

Nimeweka ushahidi wa mandiko na ramani ya Bibilia

Unatakiwa upinge hicho nilichokiweka hapo Kwa ushahidi wa mandiko na ramani sio unaleta mahubiri

Mahubiri peleka huko kanisani mnapo danganyana

Attachments​

 

Attachments

  • Screenshot_20241216-181639.jpg
    Screenshot_20241216-181639.jpg
    427.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241215-215915.jpg
    Screenshot_20241215-215915.jpg
    433.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241216-190633.jpg
    Screenshot_20241216-190633.jpg
    283.2 KB · Views: 2
Nafyeka Tena hiki kichaka chako kingine

Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.

View attachment 3178326
Unasema mji wa Tema haupo Saudi Arabia?
Inamaana hizo ramani hauoni hapo hiyo Tema lipo

Nimekuambia hiki kitanzi kipo shingoni kwako na ukikukuruka kinazidi kukaza

Sasa ona hapo Nabii Isaya anakuambia kuwa mji wa Tema upo Uarabuni

Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.

Nabii Isaya hapo na yeye ametaja mji wa Tema na Denani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael baadae ndio yakawa majina ya miji

Yani Sasa hata wagalatia wenzanko wanakushangaa

Angalia ramani ya Saudi Arabia hapo chini inaonyesha mji wa Tema na Dedani
 

Attachments

  • Screenshot_20241216-181639.jpg
    Screenshot_20241216-181639.jpg
    427.9 KB · Views: 2
Unazidi kujidharirisha Yani hata ulichoandika hakieleweki
hiki kitanzi kipo shingoni kwako na Kila ukikukuruka ndio kina zidi kubana shingo yako

Leo hi mandiko ya Bibilia na Ramani zake yamegeuka kuwa ya kuunga unga

Nini ambacho hajaelewa hapa sio unalia Lia tu

Natoa hitimisho la andiko la habakuki ambalo Lili mtabiri MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hapo Mungu ametumia Land mark mbili katika huo utabiri Mji wa Tema na mlima Parani
maana anajua tabia za makafiri ni kupinga maandiko na kugeuza geuza

Parani ndio eneo ambalo Ishmael aliishi
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.

Temani ni mji ambao unatoka na jina la mtoto wa Nabii Ishmael aliyeitwa Tema

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Ona hapo Mungu alivyo fundi jina la Tema lipo Moja tu katika Bibilia mzima maana wengekuwa kina Tema wengi mngesema Tema aliyezungumziwa hapa sio Tema mtoto wa Nabii Ishmael kama ulivyoruka ruka kuhusu eneo la Parani

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia hapo chini kukuonyesha kuwa huo mji wa Tema upo ndani ya Saudi Arabia

Katika hiyo ramani ya kale hapo Kuna Mji wa Tema, Dumah na Dedani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael (Mwanzo 21:13)

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii bado upo katika nchi ya Saudi Arabian

Pia nakuwekea chati ya family tree ya Ishmael Ili kukuonyesha kuwa mtume Muhammad ametoka na uzao wa Nabii Ishmael kupitia Kwa mtoto Qedar

Tukikuambieni nyinyi wagalatia mmepotea na mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu muwe mnatuelewa

Nimeweka ushahidi wa mandiko na ramani ya Bibilia

Unatakiwa upinge hicho nilichokiweka hapo Kwa ushahidi wa mandiko na ramani sio unaleta mahubiri

Mahubiri peleka huko kanisani mnapo danganyana

Attachments​

Maandiko yanasema wazi kuwa Ishmaeli aliishi katika jangwa la Parani:

Mwanzo 21:20-21: "Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde. Akakaa katika jangwa la Parani."
Jangwa la Parani linatajwa katika Biblia kama eneo lililokuwa karibu na Sinai, si sehemu moja tu maalum. Hakuna uthibitisho wa moja kwa moja kwamba jangwa hili lilihusiana moja kwa moja na eneo la Saudi Arabia ya sasa.,nimeshathibitisha huko juu


Pia, Mwanzo 21:21 inataja kuwa Ishmaeli alioa mke kutoka Misri. Hii inaonyesha kuwa eneo alipoishi halikuwa mbali sana na Misri.

Kuhusu Tema na Mlima Parani, nimeshathibitisha huko mada zilizopita

Unamkurupukia Habakuki,kwanza uliwahi kumsikia hata kwenye Quran?😂😂😂

Habakuki 3:3: "Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye Mtakatifu kutoka mlima Parani."

hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kuunganisha mlima Parani au mji wa Tema moja kwa moja na Uislamu au Mtume tapeli Muhammad.

Umekuja na hoja ya kuungaunga Kuhusu Kizazi cha Ishmaeli

Kwa mujibu wa Mwanzo 25:12-18, watoto wa Ishmaeli waliishi katika maeneo mbalimbali, lakini maandiko hayajiwekei kikomo kusema kuwa kizazi cha Ishmaeli kilihusiana moja kwa moja na Mtume Muhammad:

Mwanzo 25:18: "Wakakaa toka Havila hata Shuri, iliyo mbele ya Misri, kando ya njia ya kwenda Ashuru."
Hii inaonyesha kuwa walienea katika maeneo mengi ya Mashariki ya Kati. Hata hivyo, Biblia haitaji popote kwamba kizazi cha Ishmaeli kitazaa Mtume tapeli Muhammad au kuhusiana na dini nyingine.

Habakuki 3:3 haina mahusiano na utabiri wa Mtume Muhammad:

Habakuki 3:3-6 ni maelezo ya Mungu mwenye utukufu, akielezea maajabu ya kazi zake za uumbaji na ukombozi. Haionyeshi wala haitaji majina ya watu au matukio ya baadaye kama unavyodai.Hii hoja ilishakufa kifo cha mende


Biblia haitaji popote kuwa tapeli Mtume Muhammad ni mtume wa Mungu. Badala yake, Biblia inasisitiza kuwa wokovu upo kwa kupitia Yesu Kristo pekee,na tujihadhali na mitume na manabii wa Uongo kama Mwamposa na Muhammad.

Yohana 14:6: "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."


Hakuna maandiko yanayohusiana na dini nyingine au nabii mwingine nje ya Yesu Kristo kama njia ya wokovu., Muhammad ni tapeli tu
 
Unasema mji wa Tema haupo Saudi Arabia?
Inamaana hizo ramani hauoni hapo hiyo Tema lipo

Nimekuambia hiki kitanzi kipo shingoni kwako na ukikukuruka kinazidi kukaza

Sasa ona hapo Nabii Isaya anakuambia kuwa mji wa Tema upo Uarabuni

Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.

Nabii Isaya hapo na yeye ametaja mji wa Tema na Denani hayo yote ni majina ya watoto wa Ishmael baadae ndio yakawa majina ya miji

Yani Sasa hata wagalatia wenzanko wanakushangaa

Angalia ramani ya Saudi Arabia hapo chini inaonyesha mji wa Tema na Dedani
Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
 

Attachments

  • images (17).jpeg
    images (17).jpeg
    43.3 KB · Views: 2
Sababu ya uelewa mdogo na kukosa elimu,na haijaanza Leo

Kipindi cha kina Petro ,watu walikuwa hivo hivo wanapotosha maandiko hasa ya mtume Paulo

Ikabidi Petro atoe onyo

2 Petro 3
15 Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;

16 vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.

17 Basi, wapenzi mkitangulia kujua hayo, jilindeni nafsi zenu, msije mkachukuliwa na kosa la hao wahalifu mkaanguka na kuuacha uthibitifu wenu.
Kila upande unaweza kujitetea kama hivyo ila kama utatizama vizuri utaona shida sio watu kutoelewa vizuri na kukosa elimu tu bali biblia yenyewe ilivyo ndio yenye shida.
 
Kila upande unaweza kujitetea kama hivyo ila kama utatizama vizuri utaona shida sio watu kutoelewa vizuri na kukosa elimu tu bali biblia yenyewe ilivyo ndio yenye shida.
Biblia Haina shida ,wenye shida ni watu
 
Biblia Haina shida ,wenye shida ni watu
Mfano We siku ukiona mada watu wanabishana kuhusu Yesu kwamba ni Mungu/mtoto wa Mungu au si Mungu basi jaribu kufuatilia kwa makini hiyo mada bila kuchagia. Hapo utaona shida za watu na shida ya biblia yenyewe.

Kuna mambo yanajulikana ndio uelewa au ndivyo wakristo wabavyoamini ila unakuja kukuta huo uelewa umejengwa katika msingi wa tafsiri zisizo sahihi za maandiko ya biblia.
 
Mfano We siku ukiona mada watu wanabishana kuhusu Yesu kwamba ni Mungu/mtoto wa Mungu au si Mungu basi jaribu kufuatilia kwa makini hiyo mada bila kuchagia. Hapo utaona shida za watu na shida ya biblia yenyewe.

Kuna mambo yanajulikana ndio uelewa au ndivyo wakristo wabavyoamini ila unakuja kukuta huo uelewa umejengwa katika msingi wa tafsiri zisizo sahihi za maandiko ya biblia.
Shida ni watu wenyewe ,Yesu ana majina ana Sifa nyingi kutokana na muktadha husika, Yesu kama Mungu ana Sifa zote za Umungu, Yesu kama mwana wa Mungu kaelezewa pia,

Kama mwanadamu wa kawaida kaelezewa pia ,

Sasa ukikutana na Mfano Muislamu yeye anaegemea Yesu ni mwanadamu ,Mkristo atajikita kwenye Uungu au uwana
 
Shida ni watu wenyewe ,Yesu ana majina ana Sifa nyingi kutokana na muktadha husika, Yesu kama Mungu ana Sifa zote za Umungu, Yesu kama mwana wa Mungu kaelezewa pia,

Kama mwanadamu wa kawaida kaelezewa pia ,

Sasa ukikutana na Mfano Muislamu yeye anaegemea Yesu ni mwanadamu ,Mkristo atajikita kwenye Uungu au uwana
Kama hilo suala la Yesu hata wakristo wenyewe hutofautiana na wote hutumia maandiko.
 
Leo Nimeahidi nitakugeuza Shamba darasa ,nataka nikufundishe Tena kwa njia ya darasani kabisa ya mtoto wa Jiografia darasa la 6 au 7

Nitatumia mlinganisho wa kijiografia kwa kutumia umbali wa safari kati ya Misri, Paran, na Saudi Arabia.

Biblia inaonyesha wazi kuwa safari ya Wana wa Israeli ilifuata njia ya karibu zaidi kuelekea Nchi ya Ahadi, jambo linalowiana na jiografia ya Paran kuwa kusini-magharibi mwa Kanaani, si Saudi Arabia.

Naweka Ramani hapa 👇 👇 huo mstari mwekundu ni NJIA WALIPOPITA WANA WA ISRAEL,
View attachment 3178153

So isingewezekana wapite kwa kuvuja Bahari ya Shamu waingie Saudia Tena wavuke mara ya pili Bahari warudi upande wa pili hakuna kitu kama hicho ...

NAKUPA HII MAANA ULIKUWA HUJUI

Umbali wa Misri hadi Saudi Arabia ni Mrefu Sana

Kutoka Misri (Rameses au Gosheni) hadi Jangwa la Paran (Rasi ya Sinai): Umbali wa takriban 250-300 km.,na ndio walipita Wana wa Israel

Hii ni safari inayoweza kufanyika kwa miguu kwa muda wa siku 7-10 kwa kundi kubwa kama Wana wa Israeli, wakipumzika na kusafiri taratibu (Kutoka 12:37-39).


Halafu Kutoka Misri hadi Saudi Arabia (eneo la Midiani, kama Madian karibu na Mlima Sinai wa kisasa),ambapo ndio UNATAKA KUDANGANYA WATU KUWA NI PARANI, Umbali wake ni takriban 1,000-1,200 km, ukihusisha kuvuka Bahari ya Shamu tena.

Angalia Ramani hii hapa👇👇 ,Huo mstari mwekundu ni NJIA WALIPOPITA WANA WA ISRAEL
View attachment 3178154
Safari hii ingekuwa ngumu zaidi na ingetumia muda mrefu sana, isiyowiana na muktadha wa safari ya Wana wa Israeli.


Paran Ilikuwa Njia ya Moja kwa Moja Kuelekea Kanaani

Kutoka Misri hadi Saudi Arabia kungehitaji kuelekea mashariki, mbali na mwelekeo wa Kanaani (kaskazini).

Paran iko njiani kuelekea Kadesh-Barnea na Kanaani, na hii inalingana na mwelekeo wa safari yao (tazama Hesabu 13:26).


Safari Haikuhusisha Kuingia Saudi Arabia

Kutoka 13:17-18 inaonyesha Mungu aliwazungusha Wana wa Israeli kwa njia ya bahari ili wasipite njia ya Wafilisti. Njia hii iliwapeleka kusini kuelekea Sinai na Paran, si mashariki hadi Saudi Arabia.

Kufika Saudi Arabia, wangekuwa wamepoteza muda mwingi na kufuata njia isiyo na mantiki, hasa kwa kundi kubwa lenye watoto, wanyama, na mizigo.

UNATAKIWA UELEWE HIVI👇👇
Safari ya Misri hadi Paran ilikuwa rahisi zaidi, ya haraka, na ya moja kwa moja, yenye umbali wa takriban 250-300 km.
Kinyume chake, kwenda Saudi Arabia kungehitaji safari ndefu ya zaidi ya 1,000 km, jambo ambalo si la kiuhalisia katika mazingira ya Wana wa Israeli walipoondoka Misri. Hii inathibitisha kuwa Paran haiwezi kuwa Saudi Arabia., NDIO MAANA NILIKWAMBIA LETA USHAHIDI WA QURAN,UKABAKI UNALALAMIKA TU,

HAPA NIMEKUPELEKA SHULE NDOGO TU
Hongera kwa somo zuri.
 
Back
Top Bottom