Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

😂😂😂
 
Hujui Wala hujasoma Quran.
Zaidi ya kumtaja Yesu (Issa bin Mariam) hakuna lolote lingine Toka kwa Paulo na Biblia ya King Constantine wala King James.
Kilichopo ni nukuu chache za uumbwaji zinazo shabiana na Torah ya Wayahudi.
Sasa nusu ya biblia ya Constantine na James ni full copy and paste ya Torah
Fika hujui Torah ni kitabu cha nani na wenye kitabu chao hawamtambui wala kumkubali bwana Yesu.
 
Nimegundua Jf wengi hawana elimu kuhusu dini zao, sio wakristo wala waislamu, wengi wanakurupuka kwa mihemko na chuki dhidi ya waumini wa dini tofauti na zao.
Humu JF basi tu tunatumia kupoteza muda...na kusoma habari mpya
Lakini Kumejaa vilaza na mbulula kwa zaidi ya 98%....sio tena sehemu ya kujadiliana kwa hoja zenye mantiki kama miaka ya mwanzoni.....
 
Ukristo umeanzia hapa.

Yohana 14: 1 - 3

Yohana 14:6

Na kitabu cha Yohana hakijaandikwa na Paulo.
 
Kwa jinsi ndugu zetu mnavyo hangaika na Uislamu hadi nawaonea huruma. Muende mkatibiwe mtakuwa mnaumwa si bure.
Uislamu ni dini yetu haiwahusu. Nyie mna dini yenu, tuacheni na dini yetu.
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1731990701892.jpg
    87 KB · Views: 2
Ukiristo wenyewe umecopy na kupaste
 
Sio kweli. ..
 
Toa rejea Yako acha maneno ya inasemekana
 

Nafikiri wewe kama mkiristo ungeongelea ya wakristo ambayo una elimu nayo; ya Waislamu uwaache waongee wenyewe kwani huna elimu nayo.....

Mfano; nikujulishe tu kuwa, Quran ni imeundwa na vitabu vinne navyo ni;
Taurati - ya Musa
Zaburi - ya Daudi
Injili - ya Yesu
Furkani - ya Mohamad

Hapo tunamaanisha wote waliopokea hivyo vitabu huko nyuma na wakavifuata kutokana na nyakati zao walikuwa wanafuatana taratibu za kiislam
Uislam ni kunyenyekea kwa Mungu na kufuata mafundisho yake yaliyofika kwa binadamu kupitia kwa mitume wa Mungu kwa nyakati tofauti tofauti
 
nimewahi kusikia Quran ni MKUSANYIKO WA SIMULIZI za yale yaliyotokea kipindi hicho. ni kama vile ipite miaka 100 kutokea sasa hlf mtu akupe stori za wkt huu ulivyokuwa. hio inayosemwa imeandikwa na mungu mwenyewe, hiyo🤔watuache kwanza
Quran ni biblia iliyoandikwa kishairi na Biblia ni Quran iliyoandikwa kwenye prose. Simpo
 
Husomi hivyo vitabu, biblia haisemi kama adam ni mtu wa kwanza bali palikua na watu wengine,pia inasema adam alikua bustanini duniani, Quran iko wazi adam alikua wa kwanza na bustani ile ni moja ya bustani peponi

Quran inasema Mungu ni mmoja hana mfano wala mshirika, bible inadai Mungu yupo kama binadam,maana alimuumba kwa mfano wake,sijui kama ana korodani na koromeo
 

Attachments

  • FB_IMG_1733216872355.jpg
    53.8 KB · Views: 3
nimewahi kusikia Quran ni MKUSANYIKO WA SIMULIZI za yale yaliyotokea kipindi hicho. ni kama vile ipite miaka 100 kutokea sasa hlf mtu akupe stori za wkt huu ulivyokuwa. hio inayosemwa imeandikwa na mungu mwenyewe, hiyo🤔watuache kwanza
Kwamba umesikiasikia tu nawe ukabeba
 

Attachments

  • FB_IMG_1733216872355.jpg
    53.8 KB · Views: 1
Umeandika Ujinga, inaonyesha hukutimia akili yako vizuri. Biblia imetangulia zaidi ya miaka 500 kabla ya Quran. Iwezekane vipi Biblia ije ikopi kitu kilichokuja baada yake??
 
Rabbish from kafiri
Punguza makasiriko ndugu,pokea ukweli kisha ujitafakari/ujitathimini na uchukue hatua,utoke,mikononi mwa shetani.
YESU KRISTO anakuita ujisalimishe kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…