Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Nafikiri wewe kama mkiristo uongee ya wakristo na waislamu uwaache waongee wenyewe yanayo wahusu kwani huna elimu nayo
Mfano; nikujulishe tu kuwa Quran ni imeundwa na vitabu vinne navyo ni
Taurati - ya Musa
Zaburi - ya Daudi
Injili - ya Yesu
Furkani - ya Mohamad

Hapo tunamaanisha wote waliopokea hivyo vitabu huko nyuma na wakavifuata kutokana na nyakati zao walikuwa wanafuatana taratibu za kiislam
Uislam ni kunyenyekea kwa Mungu na kufuata mafundisho yake yaliyofika kwa binadamu kupitia kwa mitutume wa Mungu
Ndugu naomba nikusahihishe Kama utapenda? Quran haijaundwa kupitia vitabu hivyo isipokuwa Allah alikuwa anafanya nukuu kwa badhii ya Mambo kwa manabii waliotangulia kabla yake yeye Muhammad!
 
Torati na Ukristo wapi na wapi ndugu?

Wakati wa Musa Ukristo ulikuwepo? Ndiyo ulivyofundishwa Sunday School?
Sawa kwenye torati hakukuwa na ukristu je kulikuwa na dini gani..Au wewe ndio wale wanaosemaga watu wote duniani walizaliwa waislamu wakati mtume muhammad amekuja kusilimu akiwa na miaka 40.
 
Ni kweli uislamu umejengwa Kwa msingi wa Ukristo na uko hapo kubishana na KRISTO, kumkataa, kumkanusha, kusema hakufa Wala si Mungu.

Yani ule ukiri utakaompatia mtu uzima wa milel, Katika uislamu unatakiwa uukanushe, alafu unapewa mambo ya kimaadili na Sheria za namna ya kuishi.

Kimsingi hili linahusu uzima wa milele dhidi ya mauti ya milele Moja Kwa Moja.

Inasemekana Mtume Muhammad alikuwa na rafiki Mkristo na ndiye aliyemfundisha haya mambo ya Kibiblia uyaonayo katika Quran.
●Mkuu biblia ni mkusanyiko tu wa vitabu, hakuna kitabu cha Mungu chenye kuitwa biblia.

●Huo unaoitwa ukristo wenye kuhusishwa na Yesu ni kitu ambacho kimekuja baada ya kuondoka Yesu.

Tatizo linakuja wakristo wamejimilikisha hivyo vitabu ndio maana inaonekana uislamu umekopy kwenye ukristo.
 
Torati na Ukristo wapi na wapi ndugu?

Wakati wa Musa Ukristo ulikuwepo? Ndiyo ulivyofundishwa Sunday School?
hawa wafuasi wa Mfalme Zumaridi na Yule anaejiiita Nabii Geordavie anaekwambia Ataenda kumpokea Yesu Airport halafu atampandisha Range Rover, wana tabu sana.

Quran inatokana na Mungu yule yule wa Torati na Biblia, ndio maana sisi Waislamu hatuvipingi vitabu hivyo na hata sheria ndio zile zile , usiue, usizini, usiibe·

Hivyo kusema Quran imekopi Biblia, ni kujidanganya na ni ukosefu wa ELIMU.

Biblia hii inayosema Yesu ni Mungu sisi tunaamini imechakachuliwa, hivyo kama kukopi mbona sisi tunakataaa kua Yesu si Mungu
 
Dini zote ni TAKATAKA, zilichokifanya ni kumkopi mtangulizi wake, ukristo ni Copy ya Imani za wagiriki+warumi ambao nao walicopy Imani kutoka Misri, ambayo nayo Misri ilicopy Imani halisi ya Uafrika katika nyakati na Falme kabla yake, ndiomana hizo stories zote za hayo mafundisho na hizo dini zinafanana sehemu fulani Fulani na baadhi ya sehemu ya hizo hadithi zinapingana.

Baada ya ukristo ndipo wakaibuka hao vilaza wa mwisho huko uarabuni waliokopi ukristo wa urumi na kuunda hiyo Quran na stories zake zilizochanganywa na tamaduni za uarabu.

Dini zote kuanzia ukristo, uislam, uhindu, rastafar, ubudha, uyahudi na TAKATAKA zifananazo zimeundwa kwa stories Moja kutoka Misri+Afrika ya kale ambayo Leo hii majambazi wa kiarabu wanaikalia kimabavu kwa kuharibu historia na kuifanya ionekane ni Yao

Pia mjue kuwa history haijaanzia Misri ya kale Bali kulikuwako Falme na staarabu mbalimbali kubwa zaidi ya hiyo Misri ambayo wazungu+waarabu wamewakalilisha kuwa hiyo ndiyo Falme pekee ya kale Afrika, kumbe zilikuwako nyingi, mfano Falme za huko Kushi, Falme za Babel ama East Afrika, Falme za Central Afrika ambayo wao kidini wamechange wanaita Israel, pia Falme za South na Central Afrika zilishakuwepo zilizokuwa na Ukubwa na utajiri wa Kila aina, kuanzia technologies ambazo kwa sasa hazipo na hatuna uwezo wa kuzifikia.

Kiufupi kizazi cha Sasa tunaishi katika UONGO by 100, maana historia ya dunia imepotoshwa Kila jambo linaelezwa ndivyo sivyo.

Historia ya muafrika imeporwa na kupewa hao wazungu+waarabu, huku sisi tukipewa sifa mbaya na historia ya uzushi waliyoitunga wao inayoanza pale walipoanza kuitawala Afrika kimabavu, lkn hawaelezi ukweli Nini kilikuwepo Afrika kabla ya utumwa,

Afrika ndiko makazi halisi ya viumbehai, Afrika ndiko kituo cha Miungu wote ambao ktk dini zenu mnawaita malaika, ambao walikuwa wakitoka ktk uhalisia wa Ulimwengu wao na kuingia duniani kupitia Afrika.

Afrika ndiko kitovu cha Maisha ya dunia na lango kuu la kuingia ktk Ulimwengu wa Miungu(mbingu), baadhi ya wazungu wanalijua hili ndiomana wanaendelea kuikalia Afrika kimabavu wakijua siku watapata Siri za Nguvu za ASILI za Ulimwengu kupitia Afrika.

Mambo haya kwa bahati mbaya hayafundishwi mashuleni maana sisi waafrika tumebaki kutegemea elimu ya mzungu ambayo ameshachuja mambo ambayo anataka tujue na yapi tusijue, bahati mbaya kwao, hivi Sasa kizazi hiki tuna bahati maana ukweli umeanza kufunuliwa.

Achaneni na hizo dini mnapotezewa muda.
Afrika hiyo unayozungumzia ilikuwa na waafrika ambao ndio sie?
 
Uislamu ni zao la Roman Catholic,uliundwa kwa lengo la kuvuruga vuguvugu la harakati za kuipinga taasisi ya RC na makasisi wake waliokuwa wanawatesa na kuuwa watu waliokuwa wanapinga uongo na upagani wa RC uliokuwa umeingizwa kwenye taratibu za ibada.
Bahati mbaya sana ni kuwa, baada ya kumpika vizuri Mudy [Mohammed]kimafunzo na akaiva, jamaa alivuruga mpango mzima wa makasisi wa RC,ambao walitaka liwe zoezi la muda mfupi, lakini mudy akajirasimishia mamlaka na kutumia nguvu kubwa sana [kwa kumwaga damu sana]ili kulazimisha watu kuwa waislamu.Makasisi wa RC walishindwa kumdhibiti huyo kijana [Mudy], ndiyo maana uislamu upo hadi sasa.
Huu ni ukweli ambao viongozi wakubwa wa RC na hata wa uislamu [baadhi]wanaujua.
Kwenye uislamu hakuna siri, kwenye uislamu labda upelekwe pelekwe kwa sababu hauna elimu ila sio kwa sababu kuna baadhi ya viongozi wanazijua siri.
 
Umeandika Ujinga, inaonyesha hukutimia akili yako vizuri. Biblia imetangulia zaidi ya miaka 500 kabla ya Quran. Iwezekane vipi Biblia ije ikopi kitu kilichokuja baada yake??
Wendo ujibu utopolo. Nimesama biblia ilizaa quran ujinga uko wapi kama siyo ukumbaff wako?
 
Wendo ujibu utopolo. Nimesama biblia ilizaa quran ujinga uko wapi kama siyo ukumbaff wako?
Screenshot_20241208-175631.jpg

Hapo mwisho kaandika nani? Ukristo ungedukua uislam upi ambao wakati Ukristo unaanzishwa Uislam ulikua haupo?? Hivi mibichwa vyenu mnahifadhigi nini ndani yake??
 
YESU KRISTO sio isa bin maryam.
Shetani amemwita prophet kwenye Quran ili kuwachanganya baadhi ya watu wasimjue Kama yeye ndiye njia ya kweli na uzima.

Na ndiyo lengo lake kubwa la kuleta hicho kitabu.

Pia kwenye hicho kitabu amewapotosha watu wasijue kuwa YESU ni mwana wa MUNGU.

Atakaye elewa na aelewe na atakaye endelea kukaza fuvu na aendelee kukaza.

Kibaya ni hatuna uhakika wa tukifa tunaenda wapi.

Kaa kwenye njia inayoeleweka, hata Kama ukifa na ukakuta YESU sio mwana wa MUNGU utakuwa hujapoteza chochote, kuliko kukaza shingo alafu ukakuta ndiyo Kweli.
 
Punguza makasiriko ndugu,pokea ukweli kisha ujitafakari/ujitathimini na uchukue hatua,utoke,mikononi mwa shetani.
YESU KRISTO anakuita ujisalimishe kwake.
Nenda kasome Ufunuo 2-12-13 utajua shetani makazi yake yako wapi.
 
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
Dini inayotetewa hata kwa uongo kwa kwli inatia shaka.
 
Bwana NERO alitawala kuanzia 13 October 54 – 9 June 68 AD
Halafu Ukristo Ukaanza kuwa Dini ya Serikali Mwaka 380 AD na baada ya Hapo hakuna Mkristo alieuliwa Tena..zaidi ya Wayahudi na wengine waliopingana na Ukristo..

Halafu from No where, How Comes Waje Kuleta Suluhisho Hao unaowaita Think Tank kwamba wautafutie Ukristo (Wakati huo tayar ni Dini ya Serkali) Mpinzani Mwaka 622 AD..(Dini ya kiislamu Ilipoanza)

Yaani Tangazo rasmi la Ukristo kuwa dini ya serikali ya Dola ya Kirumi lilitolewa mwaka 380 AD kupitia Amri ya Thesalonike (Edict of Thessalonica). Amri hii ilitolewa na Kaisari Theodosius I, pamoja na Kaisari Gratian na Valentinian II..

Nashindwa Kuconnect Dot ya Facts zako..

Yaani Logic Yako haiji kabisa..hata Kidogo yaani Tayari Ukristo Umekuwa Dini ya Kiserkali kwa Amri maalumu ya Kifalme takribani miaka 242 halafu baadae Walete dini ya Kupingana nayo..
Hapo Kiukweli Your logic is non sequitur
Back to the history just kidogo tu. Ni kweli enzi hizo Ukristo ulikua umefanywa kua ni dini ya dola but unajua baada tu ya Constantine (huyu ndio alikua mfalme wa kwanza Mkristo na ndio aliye rasimisha Ukristo kwenye dola ) kuingia kwenye ukristo ndipo hasa UKENGEUFU wa ukristo ulipoanza? Unajua why Roman Catholic na makanisa mengi ya ki protestant yalipobadiri hata namna ya kubatiza? It started that day Constantine when he was converted, ukengeufu huo ulianza ukaendelea hadi leo but kadiri siku zilivokua zinakwenda ndio ukengeufu mkubwa zaidi ulipokua unaongezeka, hali hiyo ndio ilianza kuleta ugomvi tena kati ya wale masalia wa mitume na dola, zilaanza chokochoko tena. Ile ya Martine Luther was just part 2 ya migongano ya kiimani ambayo ilianza zamani sana, lakini chanzo ni dola ya Rumi. Now sipendi kwenda into details kwenyw hili but nenda kafatilie tena kwenye historia, Ottoman empire walipiga maeneo yote ambayo yalikua ya Kikristo mwanzoni, Antokia ambapo ndipo hasa wafuasi wa Yesu walianza kuitwa WAKRISTO, dolla ya Ottoman iliteka, ulaya ya mashariki yote ilikua ya Kikristo na sasa ni mataifa ya Kiislam, Ottoman waliishia Ulaya ya Magharibi hasa baada ya kufika Italy, nini kilipelekea wakomee pale? Unadhani walizidiwa?????
 
Back
Top Bottom