Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Nakuja na Ushahidi mwingine zaidi wa kimaandiko kuwa NABII YULE sio tapeli Muhammad,Ni Yesu .,hii hoja hata waislamu wenzako kina Mazinge wameshaiacha kwenye mijadala ,maana walishaelewa

NABII YULE NI NANI?

Hoja yako kubwa umejenga kupitia unabii wa nabii Musa (Hazrat Musa) katika Kumb-torati 18 na Yohana 1, 14 na 16 katika kumbashiri Muhammad, nami nitaanzia hapo hapo tuone ukweli wa mambo.

TUANZE NA YOHANA SURA YA KWANZA.

Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani? Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo. Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La. Basi wakamwambia, U nani? Tuwape majibu wale waliotupeleka. Wanenaje juu ya nafsi yako? Akasema, Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, Inyosheni njia ya Bwana! Kama vile alivyonena nabii Isaya. Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo. Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule? Yohana 1:19-25

Hapo umejenga hoja kuwa kuna watu watatu ambao Wayahudi wanamuulizia Yohana kama ni mmoja wao, na hao ni Kristo, Eliya na Nabii yule. Yohana Mbatizaji akakataa na kuwajibu vinginevyo. Najua hauna vita na hoja ya Kristo ni nani ama Eliya, vita inakuja katika mtu anayeitwa nabii yule ambaye kwa asili ameongelewa katika Kumb 18 ambayo pia nitakuja kuibanisha kwa kina. Kifupi Kristo na Nabii yule ni mtu mmoja yule yule, shida tu ilikuwa katika mtazamo wa Kifarisayo, maana hata huyo Eliya kiroho ni Yohana Mbatizaji, ingawa Wayahudi waliamini Eliya atarudi kibinafsi, kumbe atakuja mtu mwenye roho ya Eliya. Katika Luka 1:17 Malaika akimtabiri Yohana Mbatizaji alisema:

Naye atatangulia mbele zake katika ROHO YA ELIYA, na nguvu zake, ili kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto, na kuwatilia waasi akili za wenye haki, na kumwekea Bwana tayari watu waliotengenezwa.

Hivyo basi tumepata picha halisi juu ya Eliya, kwahiyo tusidumu kukataa jambo kupitia kutokujua kwa viongozi wa dini ya Kiyahudi maana hata Yesu walimkataa kuwa si Kristo aliye tabiriwa na manabii kwa kuona hatimizi vigezo vyao (criteria). Kwahiyo juu ya nabii yule maandiko yapo wazi kuwa ni Yesu. Watu wa zama za Yesu kulingana na unabii wa Musa katika Kumb 18 walijua dhahiri sharti nabii yule awe kama Musa atendaye miujiza na mwenye ujumbe wa pekee, na walikuwa sahihi…maana nabii yule ni nabii mfano wa Musa na sharti atokee miongoni mwao na si nje yao. Katika maandiko yafuatayo tunasoma:

“Hata alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakisema, Ni nani huyu? Makutano wakasema, Huyu ni YULE NABII, YESU, WA NAZARETI YA GALILAYA. Mathayo 21:10,11

Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni NABII YULE AJAYE ULIMWENGUNI. Yohana 6:14

Basi wengine katika mkutano walipoyasikia maneno hayo, walisema, HAKIKA HUYU NDIYE NABII YULE. Yohana 7:40

Biblia inatuambia ujumbe wa mashaidi watatu ndio kweli, lakini kwa upande wa Muhamad alijiita na kujitangaza kuwa nabii jambo ambalo linatia shaka, maana nabii ajibainishi kwa kujiita, bali kazi zake ndizo zitamfunua kuwa yeye ni nani hasa. Hivyo basi tunapata hakika kuwa nabii yule ni Yesu mwenyewe, ingawa Waislam mnadai kuwa sisi Wakristo tunamwita Yesu kuwa Mungu ama Mwana wa Mungu, iweje tena tumwite nabii?. Swali zuri sana hilo, kuhusu Yesu maandiko yanamsema hivi:

“…..bali Kristo ni yote, na katika yote. Wakolosai 3:11

Hivyo Yesu ana vyeo vingi sana mfano: Kristo, Mwana wa Adamu, Mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli, Mwana – Kondoo, Simba wa Yuda, Mwana wa Mungu, mkuu wa wafalme wa dunia, mshauri wa ajabu, Shina la Yese, na mengine mengi. Hivyo anatimiza kazi zote hizo kulingana na wito wa jina husika. Nabii yule ni ofisi ambayo inahusika na nabii kama Musa, ingawa kulikuwa na wingi wa manabii lakini kulikuwa na nabii mkuu ambaye ni Musa na yule ajaye aliye kama Musa ambaye atafunga historia ya Maandiko matakatifu na kazi ya Mungu kwa ujumla.

Mwisho kwa mujibu wa hoja katika Yohana 1 ni kwamba Kristo, Eliya na nabii yule "wanabatiza? kama Muhamad ndiye nabii yule je alibatiza? na Waislamu leo wanabatizwa? hili ni swali nimeweka. Hivyo mwalimu wa Kislamu atakayekuja ajibu swali hili katika uchambuzi wake.

HOJA JUU YA KUMBUKUMBU LA TORATI 18

Imeandikwa, "Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru. Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake." Kumb 18:18-19

Ndugu yangu kama ni kweli maneno ya kumb 18:18 uongea habari za Muhammad, kwanini katika zama za Yesu walisema kuwa Yesu ndiye aliyekuwa akitajwa katika mstari huo? Katika Yohana 1:45 tunasoma:

"" Filipo akamwona Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na manabii, Yesu, mwana wa Yusufu, mtu wa Nazareti.

Pia watu walioishi na Kristo walipoiona miujiza aliyotenda Yesu walisema hivi "" Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni.(Yohana 6:14).

Na Bwana Yesu aliwambia hivi Marabi waliokuwa wanatwist maandiko kwa matamanio yao,

""Kwa maana kama mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu, (Yohana 5:46).

Hata mitume wa Yesu walifundisha unabii wa Kumb 18 ulimlenga Kristo, kama Kristo mwenyewe alivyosema rejea Matendo 3:22-24, 7:37.

Kwahiyo Nabii yule na Kristo ni Bwana Yesu kwa mujibu wa maandiko. Mafarisayo (marabi) walikuwa hawana ujuzi sahihi wa unabii huo ila wachache pamoja na wale waliokuwa wanamcha Mungu kwa moyo safi kama mzee Zacharia, Simioni, Nicodemo, Yusufu wa Arimasaya, Nathanael nk, ukijenga mantiki ya unabii huo juu ya matashi yao unapotea bayana.

• Bwana Yesu aliwambia marabi hivi...

Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia, (Yohana 5:39).

Kwahiyo maandiko yanamshuhudia Kristo ila marabi walipindisha ndimi zao juu yake kwa matamanio yao. Tena Bwana Yesu aliwakemea hivi kwa kupindisha kwao,

"Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu. Maana Musa alisema, Waheshimu baba yako na mama yako, na, Amtukanaye babaye au mamaye kufa na afe. Bali ninyi husema, Mtu akimwambia babaye au mamaye, Ni Korbani, yaani, wakfu, kitu changu cho chote kikupasacho kufaidiwa nacho, huwa basi; wala hammruhusu baada ya hayo kumtendea neno babaye au mamaye; huku mkilitangua neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyopokeana; tena mwafanya mambo mengi yaliyo sawasawa na hayo.(Marko 7:8-12)

Sasa twende kwenye suala la kulinganisha Musa na Muhamad na Bwana Yesu. Umetoa dondoo za maandiko zilizo sawai lakini maantiki ya ulinganifu si sawia.

1. Kwa mfano wakati wa Musa, Waisrael walikuwa wanatawaliwa na Wamisri na mfalme wa Misri aliwaua watoto wote kiume wa Kiebrania, kwa kuhofia madaraka yake (Kut 1:22). Je hii ilitokea wakati wa Muhamad? La haikutokea. Na wakati wa Bwana Yesu Waisrael walikuwa wanatawaliwa na Warumi, na mfalme Herode aliwaua watoto wa kiume kuhofia madaraka yake (Mathayo 2:16,17).

2. Musa aliishi katika jumba la mfalme wa Misri kwa kuhepa kifo, na Bwana Yesu alikimbizwa Misri kuhepa kifo, Musa alitoka Misri ili kutimiza huduma (Waebrania 11:27), na Bwana Yesu alitoka Misri kutimiza huduma yake. Kutoka Misri nalimwita mwanangu (Mathayo 2:15). Muhamad hajawai ishi Misri.

3. Musa aliwakomboa Waisrael toka katika utumwa wa Farao, na Bwana Yesu anakomboa watu wake toka katika utumwa wa dhambi ""Mathayo 1:21 ‘Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. Muhamad si mwokozi wala hawezi kuokoa (Quran 46:9)

4. Musa aliongea na Mungu bayana hata akapewa jina "mwongeaji na Mungu" Quran 19:51,52, 4:164, na biblia inasema hivi "" Naye BWANA akasema na Musa uso kwa uso, kama vile mtu asemavyo na rafiki yake (Kut 33:11) na Waisrael walisikia sauti ya Mungu kama ngurumo katika zama za Musa. Lakini Muhamad hakuongea na Mungu bali alipata wahyi kupitia malaika Jibril na hajawai mwona Mungu. Lakini Bwana Yesu aliongea na Mungu na alimwona Mungu, na katika zama zake watu walisikia sauti ya Mungu kama ngurumo, Biblia inasema hivi:

"Baba, ulitukuze jina lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena. Basi mkutano uliosimama karibu wakasikia, walisema ya kwamba kumekuwa ngurumo...(Yohana 12:28,29).

Na Bwana Yesu alimwona Mungu: “Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba. (Yohana 6:46).

5. Musa alifanya ishara kubwa na maajabu. "Wala hajainuka tena katika Israeli nabii kama Musa, ambaye BWANA alimjua uso kwa uso; katika ishara zote na maajabu yote, ambayo BWANA alimtuma kuyatenda katika nchi ya Misri, kwa Farao, na kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote; na katika ule mkono wa nguvu wote, tena katika ule utisho mkuu wote, alioutenda Musa machoni pa Israeli wote. Kumb 34:10-12.

Lakini Muhammad hakufanya mujiza wowote mpaka katika zama zake watu walimuliza hivi:

"....Mbona hakupewa kama aliyo pewa Musa?...Quran 28:48.

Kwa hoja hiyo iweje Muhamad awe nabii mfano wa Musa? Tafakari.

Sehemu nyingine imeandikwa. “Na walisema mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa mola wake? Sema miujiza iko kwake mwenyezi mungu tu akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi nami hakika ni muonyaji mbainishaji (dhahiri tu). Quran 29:50

Lakini kwa Bwana Yesu miujiza kwake ilikuwa kama pumzi tu mpaka watu wakastajabu: “Na ilipokuwa sabato, alianza kufundisha katika sinagogi; wengi waliposikia wakashangaa, wakisema, Huyu ameyapata wapi haya? Na, Ni hekima gani hii aliyopewa huyu? Na, Ni nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake? Marko 6:2

MIUJIZA YA MUSA NA YESU KATIKA USHABIANO MPAKA WATU WAKATAMBUA YESU NDIYE NABII YULE..

1. Musa alitenda mujiza katika bahari "" Kut 14:21 Musa; akanyosha mkono wake juu ya bahari; BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki, usiku kucha, akaifanya bahari kuwa nchi kavu, maji yakagawanyika. Bwana Yesu pia alifanya mujiza juu ya bahari "" Marko 4:39 Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu. Watu wakastajabu kwa kusema hivi "" ...Ni nani huyu, basi hata upepo na bahari humtii? aya ya 41.

2. Musa aliwalisha Waisrael mikate na nyama ya kware kimujiza (Kutoka 16:13-15) na Bwana Yesu aliwalisha Waisrael mkate na samaki kimujiza mpaka wakastajabu (Yoh 6:10-13)"" na katika aya ya 14 wakasema ""Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni. Muhamad hajawai fanya hivo milele

3. Musa na Bwana Yesu wote waling'aa sura zao mbele za wafuasi wao ila kwa Muhammad haijawai tokea kamwe.
....hapo (Musa) aliposhuka katika mlima, Musa hakujua ya kuwa ngozi ya uso wake iling’aa kwa sababu amesema naye. Basi Haruni na wana wote wa Israeli walipomwona Musa, tazama, ngozi ya uso wake iling’aa; nao wakaogopa kumkaribia (Kut 34:29,30). "Yesu"akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang’aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru. (Mathayo 17:2)

NDUGU WA MUSA

Waislamu: Mnadai kwamba Ndugu za Musa atakaye tokea nabii yule katika Kumb 18:15-18 ni waarabu?

Jibu ni Waisraeli, maana Musa ni nabii aliyetokea katika kabila la Lawi lililoteuliwa na Mungu kushika majukumu ya kiroho, kwahiyo ndugu za Walawi ni makabila 11 ya wana Waisrael. Biblia inasema "Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za BWANA zifanywazo kwa moto, na urithi wake. Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; BWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.( Kumb 18:1,2)
Ukija aya ya 15 na 18 katika Kumb 18 tunapata picha kuwa ndugu wa Walawi aliyekuwa anaongelewa hapo katika unabii, ni kabila lingine miongoni mwa Israeli. Andiko linasema hivi.

‘Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake. (Kut 2:11).

Sasa Muhammad (mwarabu) lini amekuwa ndugu za Musa Mlawi?. Msemo" ndugu zao" katika biblia unamanisha wana wa Israel na si vinginevyo, Biblia inasema hivi,

"Lakini Benyamini hawakukubali kuisikia sauti ya NDUGU ZAO WANA WA ISRAELI. (Waamuzi 20:13).

Na ukirejea Kumb 17:15, Mungu anapiga marufuku kumweka mgeni asiye ndugu wa wana waisrael kuwa Mfalme wao. Kwahiyo Ishmail si ndugu wa Israel (Yakobo) bali Isaac, Wana wa Israel wanamwita Ishmael Babu na si ndugu (brethren), na ni babu wa kando, ingekuwa na mantiki kama Muhamad angetokea kwa Esau aliye kaka yake Yakobo (Israel) na hata hivo ukoo wa Esau(Edom) hukuwai kutoa nabii. Biblia inasema, ‘Usimchukie Mwedomi; kwa kuwa ni ndugu (brother) yako….(Kumb 23:7). Hakuna sehemu waarabu wameitwa ndugu (brother) wa Waisraeli.

UADUI KATI YA WAISRAELI NA WAARABU

Na waarabu walikuwa maadui na wana wa Israel "Lakini ikawa, Sanbalati, na Tobia, na WAARABU, na Waamoni, na Waashdodi, waliposikia ya kuwa kazi ya kuzitengeneza kuta za Yerusalemu inaendelea, na ya kuwa mahali palipobomoka panaanza kuzibwa, basi wakaghadhibika mno; wakafanya shauri wote pamoja kuja kupigana na Yerusalemu, na kufanya machafuko humo. ( Nehemia 4:7,8.). Na walipigana vita sana na Waisrael zama hizo kama zilivyo zama hizi na Mungu aliwasaidia Waisrael dhidi yao (2 Nyakati 22:1, 26:7). Hata katika Quran sijaona aya inayobainisha kuwa waarabu ni ndugu (brothers) za Waisrael zaidi ya kuwapiga marufu waarabu (waislam) wasiwe na urafiki na Wayahudi nduug za Musa. Quran 5:82

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: ‘Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislamu pekee.’ Muslim. Rejea pia Bulugh Al Maramu uk. 496

197 Abu Huraira amesimulia Mtume amesema Allah awalaani Mayahudi na Wakristo……Bulugh al Maram uk. 110

Hitimisho: Ndugu ya Musa Mlawi aliyepokea unabii na agano ni Bwana Yesu aliyetokea katika kabila la Yuda (Luka 3:33 na Waebrania 7:14). Musa Mlawi alikuwa mjumbe wa agano la kale "" Musa akaitwaa ile damu, akawanyunyizia watu, akasema, Hii ndiyo damu ya agano alilolifanya BWANA pamoja nanyi katika maneno haya yote. (Kut 24:8). Na Bwana Yesu Myuda ndugu ya Musa Mlawi ni mjumbe wa agano jipya ""..(Yesu) akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.(Luka 22:20)
We jamaa unaandika sana unajua Kwa Nini? Ni Kwa sababu unatetea uongo kwahiyo ni lazima uweke polojo nyingi kuliko facts Ili uwadanganye wagalatia wenzanko

Nimeona katika hilo garazeti lako unasema nabii yule ni Yesu ila mafarisayo hawajui mandiko unachekesha sana soma vizuri bibilia Ili ujue mafarisayo ni akina nani
Yani wewe ujue mandiko ya manabii kuliko mafarisayo? Unachekesha

Twende kwenye point za muhimu unasema Parani haiko Saudi Arabia
Ngoja nikufundishe

Kwanza kabisa Ishmael ndio mtoto aliyeishi jangwa la Parani Baada ya kuondoka Jerusalem

Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
Mwanzo 21:21
Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.

Ishmael ndio aliayoanzisha kizazi katika Jangwa la Parani na kuza watoto 12 ambao ndio wasaudi Arabia wa Leo
Na si Dhani kama Kuna mtu anapinga kuwa warabu wa Saudi Arabia sio kizazi Cha Ishmael labda wewe mbumbu

Zamani kabisa lilikuwa linaitwa Jangwa la Parani Baada ya watoto wa Ishmael kuzaana na kuwa wengi likaitwa Jangwa la Arabu

So Jangwa la Parani ndio Jangwa la Arabu

Angalia ramani hapo chini

Tumesha ona hapo katika ramani Parani ipo Saudi Arabia na hapo ndipo vilipo vizazi vya nabii Ishmael

Je Mungu anasemaje kupitia manabii wa kale kuhusu kuhusu eneo la Parani

Kumbukumbu la Torati 33:2
Akasema, BWANA alitoka Sinai, Akawaondokea kutoka Seiri; Aliangaza katika kilima cha Parani, Akaja Meribath-kadeshi. Upande wa mkono wake wa kuume Palikuwa na sheria ya moto-moto kwao.

Sinai nabii Musa, Seiri nabii Yesu na Parani ni nabii Muhammad
Na hilo neno Sheria moto moto linawakilisha kitabu Cha Quran

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hilo andiko linamuhu nabii Muhammad peke yake

Labda utoe ushahidi Parani alitoka mtume gani zaidi ya mtume Muhammad?
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-150645.jpg
    Screenshot_20241215-150645.jpg
    453.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241215-150919.jpg
    Screenshot_20241215-150919.jpg
    459.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241215-154538.jpg
    Screenshot_20241215-154538.jpg
    420 KB · Views: 3
We jamaa unaandika sana unajua Kwa Nini? Ni Kwa sababu unatetea uongo kwahiyo ni lazima uweke polojo nyingi kuliko facts Ili uwadanganye wagalatia wenzanko

Nimeona katika hilo garazeti lako unasema nabii yule ni Yesu ila mafarisayo hawajui mandiko unachekesha sana soma vizuri bibilia Ili ujue mafarisayo ni akina nani
Yani wewe ujue mandiko ya manabii kuliko mafarisayo? Unachekesha

Twende kwenye point za muhimu unasema Parani haiko Saudi Arabia
Ngoja nikufundishe

Kwanza kabisa Ishmael ndio mtoto aliyeishi jangwa la Parani Baada ya kuondoka Jerusalem

Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
Mwanzo 21:21
Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.

Ishmael ndio aliayoanzisha kizazi katika Jangwa la Parani na kuza watoto 12 ambao ndio wasaudi Arabia wa Leo
Na si Dhani kama Kuna mtu anapinga kuwa warabu wa Saudi Arabia sio kizazi Cha Ishmael labda wewe mbumbu

Zamani kabisa lilikuwa linaitwa Jangwa la Parani Baada ya watoto wa Ishmael kuzaana na kuwa wengi likaitwa Jangwa la Arabu

So Jangwa la Parani ndio Jangwa la Arabu

Angalia ramani hapo chini

Tumesha ona hapo katika ramani Parani ipo Saudi Arabia na hapo ndipo vilipo vizazi vya nabii Ishmael

Je Mungu anasemaje kupitia manabii wa kale kuhusu kuhusu eneo la Parani

Kumbukumbu la Torati 33:2
Akasema, BWANA alitoka Sinai, Akawaondokea kutoka Seiri; Aliangaza katika kilima cha Parani, Akaja Meribath-kadeshi. Upande wa mkono wake wa kuume Palikuwa na sheria ya moto-moto kwao.

Sinai nabii Musa, Seiri nabii Yesu na Parani ni nabii Muhammad
Na hilo neno Sheria moto moto linawakilisha kitabu Cha Quran

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Hilo andiko linamuhu nabii Muhammad peke yake

Labda utoe ushahidi Parani alitoka mtume gani zaidi ya mtume Muhammad?
Unaokoteza sana ,unaungaunga sana ,nipo hapa Leo utaelewa vizuri sana ,

Twende taratibu tu

Unasema Mafarisayo walijua maandiko vizuri kuliko Yesu. Biblia inatoa ushahidi kwamba Mafarisayo walikuwa na mapungufu makubwa katika kuelewa maandiko:

Yesu aliwakaripia Mafarisayo mara nyingi kwa unafiki na kutokuelewa kweli za maandiko.
Yesu alisema:

“Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa maana mnajenga makaburi ya manabii, na kuwapamba waliotakaswa, na kusema, Kama tungalikuwa siku za baba zetu, hatungalikuwa washirika wao katika damu ya manabii.” (Mathayo 23:29-30)

Pia alisema:

“Mwapotea, kwa kuwa hamjui maandiko wala uweza wa Mungu.” (Mathayo 22:29)


Yesu alithibitisha kwamba Mafarisayo walikuwa na elimu ya maandiko lakini waliikosa tafsiri sahihi. Ujuzi wao ulikuwa wa juu juu, si wa kiroho.

Unasema Parani iko Saudi Arabia, na unatetea kwamba ni sehemu ya Nabii Muhammad. Hata hivyo, Biblia haionyeshi kuwa Parani iko Saudi Arabia. Tafsiri ya eneo la Parani inahitajika kueleweka katika muktadha wa maandiko:

Biblia inaonyesha kwamba Parani iko karibu na Sinai, sio mbali sana kutoka Misri.
Ishmaeli alikaa katika jangwa la Parani, lakini maandiko hayaonyeshi kwamba Parani ilikuwa Saudi Arabia. Soma maandiko haya:

“Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke kutoka Misri.” (Mwanzo 21:21)


Historia pia inaonyesha kwamba Parani iko katika eneo linalojulikana leo kama Negev, karibu na Sinai, siyo katikati ya Saudi Arabia.

Ramani za kihistoria zinaonyesha Parani iko upande wa magharibi wa Saudi Arabia, karibu na Misri na Israel, sio ndani kabisa ya jangwa la Arabia.

Nabii Muhammad katika Kumbukumbu la Torati 33:2 na Habakuki 3:3

Hoja zako kwamba maandiko haya yanamhusu Muhammad hayana msingi thabiti kwa sababu:

Kumbukumbu la Torati 33:2

“Bwana alitoka Sinai, akawaondokea kutoka Seiri; aliangaza katika kilima cha Parani...”
Hapa Bwana anatajwa, si Muhammad. Tafsiri ya Kiebrania inaonyesha kuwa maandiko haya yanazungumzia ufunuo wa Mungu kwa Musa, Yesu, na watu wake. Hakuna mahali yanamtaja Muhammad.


Habakuki 3:3

“Mungu alikuja kutoka Temani, yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani...”
Habakuki anaeleza ufunuo wa Mungu kutoka Sinai na Parani kama ishara ya nguvu zake kwa Israeli. Hakuna muktadha unaounga mkono kuwa andiko hili linamhusu Muhammad.

Unasema sheria moto-moto ni Quran, lakini Biblia haionyeshi hivyo. Sheria hii inahusiana na agano la Musa kwenye Mlima Sinai, ambapo Mungu alitoa Amri Kumi (Kutoka 19:18-19). Quran haikuwahi kutajwa katika Biblia.
 
Zamani kabisa lilikuwa linaitwa Jangwa la Parani Baada ya watoto wa Ishmael kuzaana na kuwa wengi likaitwa Jangwa la Arabu

So Jangwa la Parani ndio Jangwa la Arabu

Angalia ramani hapo chini
Kaa utulie upate elimu,maana Uislamu umejengwa kwa Propaganda na uongo ,

Ili kuthibitisha kwamba Parani siyo Saudi Arabia, nitachambua hoja hii kwa kutumia Biblia, historia ya kihistoria ya maeneo, na hata maelezo kutoka vyanzo vya Kiislamu.

Parani katika Maandiko ya Biblia

Biblia inatoa ushahidi wa kijiografia unaoonyesha kwamba Parani haiko Saudi Arabia:

(a) Parani ni Sehemu Karibu na Sinai

Mwanzo 21:21

“Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke kutoka Misri.”
Ishmaeli alihamia Parani baada ya kuondoka na mama yake kutoka Kanaan, lakini maandiko yanaonyesha kuwa mama yake, Hagar, alimtwaa mke kutoka Misri. Hii inamaanisha Parani ilikuwa karibu na Misri, si mbali kama Saudi Arabia.

(b) Mahali pa Kutembea kwa Wana wa Israeli

Hesabu 10:12

“Nao wana wa Israeli wakaondoka wakatoka mahali pa mlima wa Bwana, wakaenda safari zao hata jangwa la Parani...”
Parani inatajwa kama moja ya maeneo ambayo wana wa Israeli walipitia baada ya kuondoka Sinai. Historia ya safari ya Wana wa Israeli inaonyesha kuwa walitembea katika maeneo ya karibu na Sinai (eneo la Negev), si mbali kama Saudi Arabia.

(c) Kutoka kwa Biblia, Parani ni Karibu na Edomu

Kumbukumbu la Torati 1:1

“Haya ndiyo maneno aliyowaambia Musa Israeli wote ng'ambo ya Yordani, bara ya Araba, kulikabili Sufu, kati ya Parani, na Tofeli, na Labani, na Hazerothi, na Dizahabu.”
Hii inaonyesha Parani iko karibu na maeneo ya Tofeli, Hazerothi, na Labani, ambayo ni magharibi ya Kaanani na Sinai, si katika kina cha jangwa la Saudi Arabia.

Ushahidi wa Kihistoria

(a) Jangwa la Parani Lilijulikana Kama Eneo la Sinai

Ramani za kale zinaonyesha Parani iko katika eneo la Negev na karibu na Mlima Sinai. Historia ya majangwa inahusisha Parani na maeneo ya Sinai kutokana na ukaribu wake na Kanaan.

(b) Saudi Arabia Iliitwa Arabu, Siyo Parani

Katika historia ya kale, Saudi Arabia ilijulikana kama "Arabu" au "Jangwa la Arabia." Hakuna rekodi ya kihistoria inayohusisha Saudi Arabia na jina "Parani."

(c) Ushahidi wa Wana wa Ishmaeli

Ingawa Waismaeli walienea katika jangwa, kizazi chao kilihusiana na maeneo ya karibu na Kanaan, siyo sehemu za mbali za Saudi Arabia. Hii inathibitishwa na ndoa za Ishmaeli zilizoanzia Misri (Mwanzo 21:21).


Ushahidi Kutoka Kwa Vyanzo vya Kiislamu

(a) Tafsiri za Kiislamu Kuhusu Parani

Watafsiri wa Kiislamu kama Ibn Kathir na wengine mara nyingi walitaja Parani kwa jina lake la Kibiblia. Hata hivyo, tafsiri zao hazikuonyesha kuwa Parani iko katikati ya Saudi Arabia, bali walichukua tafsiri ya kihistoria inayosema iko Sinai.


(b) Maelezo ya Hajir na Ishmael

Quran inataja safari ya Hajir na Ishmael (Quran 14:37), lakini haina jina la Parani. Vyanzo vya hadithi za Kiislamu kama Hadithi za Ibn Ishaq vilielezea Makkah na maeneo ya Saudi Arabia, lakini hazikuonyesha moja kwa moja kuwa Makkah ni Parani.


Kusema Parani ni Saudi Arabia,ni ukosefu wa Elimu au ni dhana ya Uislamu kama kawaida yenu kujishobokesha kwa Uyahudi,kwanini nasema hivo?

(a) Umbali wa Safari ya Hajir na Ishmael

Biblia inataja Hajiri akienda na mtoto wake Ishmael kutoka Kanaan hadi Parani na kisha kurudi Misri kutafuta mke (Mwanzo 21:21). Safari ya kwenda na kurudi ingekuwa karibu na maeneo ya Negev au Sinai, si mbali kama Saudi Arabia.


(b) Mahali Walipotembea Wana wa Israeli

Wana wa Israeli walitembea kutoka Sinai kwenda Parani. Hii inamaanisha Parani ilikuwa sehemu ya maeneo yaliyopitiwa kati ya Kanaan na Sinai. Haikuwezekana kwao kufika Saudi Arabia wakati wa safari yao.
images (8).jpeg
 
Zamani kabisa lilikuwa linaitwa Jangwa la Parani Baada ya watoto wa Ishmael kuzaana na kuwa wengi likaitwa Jangwa la Arabu

1. Biblia: Maandiko yanaonyesha Parani iko karibu na Sinai, si Saudi Arabia.

2. Historia: Rekodi za kihistoria zinaonyesha Parani ni sehemu ya Negev au karibu na Mlima Sinai, si katika jangwa la Arabia.


3. Vyanzo vya Kiislamu: Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kutoka vyanzo vya Kiislamu vinavyohusisha Parani na Saudi Arabia.


Kwa mujibu wa ushahidi wa Biblia, historia, na hata vyanzo vya Kiislamu, Parani iko Sinai au Negev, si Saudi Arabia.
images (12).jpeg
 
1. Biblia: Maandiko yanaonyesha Parani iko karibu na Sinai, si Saudi Arabia.

2. Historia: Rekodi za kihistoria zinaonyesha Parani ni sehemu ya Negev au karibu na Mlima Sinai, si katika jangwa la Arabia.


3. Vyanzo vya Kiislamu: Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kutoka vyanzo vya Kiislamu vinavyohusisha Parani na Saudi Arabia.


Kwa mujibu wa ushahidi wa Biblia, historia, na hata vyanzo vya Kiislamu, Parani iko Sinai au Negev, si Saudi Arabia.
View attachment 3177330
Hadi Sasa sijajua unabishana na nani

Bibilia inasema Ishmael aliishi katika Jangwa la Parani wewe unabisha
Lazima ubishe maana hiyo ndio sifa ya makafiri kupinga maandiko ya Mungu

ISHMAEL ALIISHI PARANI
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
Mwanzo 21:21
Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.

ISHMAEL AMEZAA WATOTO AKIWA HAPO PARANI
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Nakuwekea ramani ya kale kukuonyesha watoto wa Ishmael wakiwa katika Jangwa la Parani

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha kuwa hilo Jangwa la Parani lipo katika nchi ya Saudi Arabia
Na Kuna baadhi ya miji Hadi Leo ipo Saudi Arabia ukiwepo mji wa Tyma

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Huo ni utabiri wa Mtume Muhammad
Tema ni jina la mtoto nabii Ishmael na Kwa Sasa ni jina la mji na huo mji Hadi Leo hii upo Saudi Arabia

Parani ipo Saudi Arabia hilo Jangwa la Parani linaanzia mpakani kati ya Saudi Arabia na Jordan kuteremka huku chini kama unakuja katika miji ya Maka na Madina

Kwa kuwa kazi ya kafiri ni kupinga maandiko ya Mungu wewe endelea tu kupinga

Haya mandiko umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha

By the way Mimi napenda sana ubishi wako maana ndio unawafanya wagalatia wenzanko waelewe ukweli zaidi kuhusu mtume Muhammad
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-213828.jpg
    Screenshot_20241215-213828.jpg
    519.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241215-221922.jpg
    Screenshot_20241215-221922.jpg
    303.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241215-215915.jpg
    Screenshot_20241215-215915.jpg
    433.5 KB · Views: 2
Hadi Sasa sijajua unabishana na nani

Bibilia inasema Ishmael aliishi katika Jangwa la Parani wewe unabisha
Lazima ubishe maana hiyo ndio sifa ya makafiri kupinga maandiko ya Mungu

ISHMAEL ALIISHI PARANI
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
Mwanzo 21:21
Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.

ISHMAEL AMEZAA WATOTO AKIWA HAPO PARANI
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Nakuwekea ramani ya kale kukuonyesha watoto wa Ishmael wakiwa katika Jangwa la Parani

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha kuwa hilo Jangwa la Parani lipo katika nchi ya Saudi Arabia
Na Kuna baadhi ya miji Hadi Leo ipo Saudi Arabia ukiwepo mji wa Tyma

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Huo ni utabiri wa Mtume Muhammad
Tema ni jina la mtoto nabii Ishmael na Kwa Sasa ni jina la mji na huo mji Hadi Leo hii upo Saudi Arabia

Parani ipo Saudi Arabia hilo Jangwa la Parani linaanzia mpakani kati ya Saudi Arabia na Jordan kuteremka huku chini kama unakuja katika miji ya Maka na Madina

Kwa kuwa kazi ya kafiri ni kupinga maandiko ya Mungu wewe endelea tu kupinga

Haya mandiko umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha

By the way Mimi napenda sana ubishi wako maana ndio unawafanya wagalatia wenzanko waelewe ukweli zaidi kuhusu mtume Muhammad
Uzuri Mimi Sifanyi mipasho ,Mimi nakuchapa tu na maandiko na historia ambayo ipo wazi, wala siungiungi kama wewe ili umpachike tapeli Muhammad

Majibu ya Kupinga na Hoja za Maandiko:

Biblia Inayojulikana ni ya Ukristo na Haizungumzi Kumpa Mtume Muhammad Sifa Maalum
Mwanzo 21:20-21 inathibitisha kuwa Ishmael aliishi jangwa la Parani, lakini Biblia haijatoa mwelekeo wowote unaohusiana na unabii wa Mtume Muhammad au dini ya Uislamu. Katika maandiko haya, Ishmael alibarikiwa kama mmoja wa watoto wa Abrahamu, lakini haimaanishi alizaliwa kwa misingi ya kufanikisha dini nyingine.
Habakuki 3:3 haitaji Mtume Muhammad kwa jina. Hapa, inaelezea utukufu wa Mungu wa Israeli akitoka Temani na Parani, inavyotafsiriwa katika muktadha wa Kiyahudi na Kikristo, ina maana ya kuonyesha uweza wa Mungu, sio unabii wa Muhammad.

Maana ya Parani na Ramani
Jangwa la Parani linatajwa kijiografia na kihistoria katika Biblia likiwa karibu na Sinai, na hakuna ushahidi wa maandiko wa moja kwa moja unaounganisha eneo hili na miji ya kisasa ya Saudi Arabia au kuwepo kwa miji ya Kiislamu wakati huo.
Ramani za sasa haziwezi kutumika kuonyesha maana za maandiko ya kale isipokuwa kwa kuzingatia tafiti za kihistoria na tafsiri zilizo wazi. Tafsiri ya Uislamu ya kuunganisha Parani na Saudi Arabia ni ya mtazamo wa Kiislamu lakini haithibitishwi ndani ya Biblia.
saudi_arabia_arrow_map.png

Katika Biblia, hakuna sehemu inayomtaja Mtume Muhammad moja kwa moja, na tafsiri ya "utakatifu kutoka Parani" kama kumhusu yeye ni ya kidhanifu bila msaada wa maandiko. Habakuki 3:3 inaelezea ukuu wa Mungu wa Israeli kwa muktadha wa Waisraeli.

Ingawa maandiko yanasema Ishmael alikaa Parani na kuwa na watoto, hayaonyeshi uhusiano wa moja kwa moja na unabii wowote wa baadaye wa Muhammad. Hii ni hadithi ya kizazi cha Ishmael ndani ya Biblia, lakini maandiko ya Kiislamu yana tafsiri yenu ya kubumbabumba

Acha kuikurupukia Biblia , Biblia na Quran ni maandiko mawili tofauti yenye mitazamo tofauti kuhusu historia, unabii, na maana ya Ishmael. Wakati Quran inampa Ishmael nafasi kubwa ya kiunabii, Biblia inamwona kama baba wa mataifa makubwa, lakini si mhusika mkuu katika mpango wa ukombozi wa Mungu.,Ishamael hana historia yoyote katika Uyahudi na Ukristo, Mungu amejitaja sana Yeye ni Mungu wa Ibrahimu, isaka na Yakobo

ujibu haya maswali

Ikiwa Habakuki 3:3 ni utabiri wa Mtume Muhammad, mbona hakutajwa kwa jina waziwazi kama ilivyo kwa manabii wengine kwenye Biblia?

Je, kuna maandiko ya wazi kabisa katika Quran yanayothibitisha kuwa Parani ni Saudi Arabia?naomba uje ujibu hili swali

Ikiwa Jangwa la Parani linaunganishwa na miji ya Saudi Arabia, mbona historia ya Biblia haielezi kuhusu maisha ya Waislamu kabla ya Muhammad?
 
Hadi Sasa sijajua unabishana na nani

Bibilia inasema Ishmael aliishi katika Jangwa la Parani wewe unabisha
Lazima ubishe maana hiyo ndio sifa ya makafiri kupinga maandiko ya Mungu

ISHMAEL ALIISHI PARANI
Mwanzo 21:20
Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
Mwanzo 21:21
Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.

ISHMAEL AMEZAA WATOTO AKIWA HAPO PARANI
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Nakuwekea ramani ya kale kukuonyesha watoto wa Ishmael wakiwa katika Jangwa la Parani

Pia nakuwekea ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kukuonyesha kuwa hilo Jangwa la Parani lipo katika nchi ya Saudi Arabia
Na Kuna baadhi ya miji Hadi Leo ipo Saudi Arabia ukiwepo mji wa Tyma

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Huo ni utabiri wa Mtume Muhammad
Tema ni jina la mtoto nabii Ishmael na Kwa Sasa ni jina la mji na huo mji Hadi Leo hii upo Saudi Arabia

Parani ipo Saudi Arabia hilo Jangwa la Parani linaanzia mpakani kati ya Saudi Arabia na Jordan kuteremka huku chini kama unakuja katika miji ya Maka na Madina

Kwa kuwa kazi ya kafiri ni kupinga maandiko ya Mungu wewe endelea tu kupinga

Haya mandiko umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha

By the way Mimi napenda sana ubishi wako maana ndio unawafanya wagalatia wenzanko waelewe ukweli zaidi kuhusu mtume Muhammad
UISLAMU NI DINI ILIYOJENGWA KWA UONGO, PROPAGANDA NA KUUNGAUNGA HUKU NA KULE NDIO MAANA NI RAHISI KUGUNDUA KUWA UISLAMU NI DINI YA UONGO

Wanazuoni wa kiislamu wanakiri Paran sio Saudia Arabia, wewe upo hapa unakazania ili utetee dini kama kawaida yenu kutumia Taqia

Kitabu: "Atlas of the Quran" cha Dr. Shauqi Abu Khalil: Kinatoa ramani zinazohusiana na maeneo yaliyotajwa katika Qur'an na historia ya Kiislamu. Kitabu hiki kinadokeza kuwa Paran inaweza kuwa eneo karibu na Sinai au Petra, badala ya Makka moja kwa moja.

Kitabu: "Arabs and Israel For Beginners" cha Ron David: Kinachunguza asili ya majina ya maeneo kama Paran kutoka kwenye kumbukumbu za Kiyahudi, Kikristo, na Kiislamu. Paran inaonekana kuhusiana zaidi na maeneo ya kaskazini mwa Hijaz.
images (8).jpeg


Maoni ya Wanazuoni wa Kiislamu

Wanazuoni wa Kiislamu kama Dr. Muhammad Hamidullah na Sheikh Imran Hosein wamependekeza kuwa Paran inaweza kuwa karibu na maeneo ya kaskazini mwa Hijaz kutokana na uhusiano wa kihistoria kati ya Hajir, Ismail, na maeneo ya Misri na Palestina. Hii inaungwa mkono na:

Ukaribu wa Mlima Sinai na Paran kama ilivyotajwa katika Biblia.

Hadithi za Ismail zilizoenea kati ya Waarabu wa Petra kabla ya Uislamu.


Kwa kifupi, rejea za vitabu vya Kiislamu na historia zinaonyesha kuwa Paran kuwa eneo nje ya Saudi Arabia, likiwa na uhusiano wa kihistoria na Palestina, Sinai, au Petra.

Na uhakika huwezi kutumia Quran maana ni nyeupe pee, unakimbilia kwenye biblia usiyoiamini unaungaunga maneno
saudi_arabia_arrow_map.png
 
Yesu ni Mungu na Mwana wa Mungu, kama inavyofundishwa katika Biblia.

1. Yesu ni Mungu - John 1:1-14

Katika Injili ya Yohana 1:1-14, maandiko yanaelezea wazi kwamba Yesu (ambaye anajulikana kama "Neno") ni Mungu mwenyewe:

"Hapo mwanzo kulikuwapo Neno, na Neno alikuwapo kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu." (Yohana 1:1)

Hii ni tafsiri wazi kwamba Neno (Yesu) ni Mungu. Katika Yohana 1:14, tunapata zaidi ya ufafanuzi huu:

"Neno alikua mwili, akakaa kati yetu, na sisi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee wa Baba, mwenye neema na kweli." (Yohana 1:14)

Hii inaonyesha kuwa Yesu, kama Neno, alikuja duniani kama Mungu aliye mwili, na hivyo anathibitishwa kuwa Mungu katika Biblia.

2. Yesu ni Mwana wa Mungu - Yohana 10:36

Katika Yohana 10:36, Yesu mwenyewe anajitambulisha kama Mwana wa Mungu:

"Mimi, ambaye Baba alitakasa na kutuma duniani, je, ni dhambi kusema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu’?" (Yohana 10:36)

Yesu alikubali na kusema wazi kwamba yeye ni Mwana wa Mungu, na hii inathibitisha wazi uhusiano wake na Baba (Mungu). Ikiwa Yesu alikiri kuwa yeye ni Mwana wa Mungu, basi haifai kusema kwamba Yeye si Mwana wa Mungu.

3. Yesu na Baba ni mmoja - Yohana 10:30

Yesu pia alisema wazi kuwa yeye na Baba ni mmoja:

"Mimi na Baba tu mmoja." (Yohana 10:30)

Hii ni kauli ya wazi ya Yesu kuhusu umoja wake na Baba. Yesu alikiri kuwa yeye na Baba ni mmoja, ikithibitisha uungu wake na uhusiano wa kipekee na Mungu Baba.

4. Yesu ndiye aliyeumba vitu vyote - Kolosai 1:16-17

Katika Kolosai 1:16-17, Paulo anasema:

"Kwa maana kwa yeye vitu vyote viliumbiwa, vilivyo mbinguni na vilivyo duniani, vyenye kuonekana na visivyoonekana, ikiwa ni viti vya enzi, au mamlaka, au wakuu, au wakuu wa enzi; vyote viliumbiwa kwa njia yake na kwa ajili yake." (Kolosai 1:16)

Hii inathibitisha kwamba Yesu ni Muumba wa vitu vyote, na kama vile Mungu alivyounda ulimwengu, Yesu anathibitishwa kuwa ni Mungu.

5. Yesu alikubali ibada - Mathayo 28:9, Ufunuo 5:8-14

Katika Mathayo 28:9, Yesu anapokutana na wanawake baada ya kufufuka, wanamwabudu:

"Wakamshika miguuni mwake, wakamsujudia." (Mathayo 28:9)

Vilevile, katika Ufunuo 5:8-14, Yesu anapokea ibada kutoka kwa viumbe wote wa mbinguni:

"Na kila kiumbe kilichomo mbinguni, na kilichomo duniani, na kilichoko chini ya dunia, na vilivyo baharini, vikisema, 'Ametukuzwa yeye aliye juu ya kiti cha enzi na Mwana-kondoo.'" (Ufunuo 5:13)

Kama Yesu angekuwa si Mungu, asingekubali ibada hii, lakini inavyoonekana kutoka kwa maandiko, Yesu alikubali ibada hii kwa sababu yeye ni Mungu.

6. Yesu ni Mungu aliyetumwa duniani - 1 Timotheo 3:16

Katika 1 Timotheo 3:16, Paulo anaandika:

"Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu: Mungu alionekana katika mwili, alithibitishwa kuwa mwenye haki katika Roho, alionekana kwa malaika, alihubiriwa kwa mataifa, aliaminika ulimwenguni, alichukuliwa juu katika utukufu." (1 Timotheo 3:16)

Hii inaonyesha wazi kuwa Mungu mwenyewe alionekana katika mwili, na alifanya hivyo kupitia Yesu Kristo. Hivyo, Yesu ni Mungu ambaye alikuja duniani kama mwanadamu.

Maandiko ya Biblia yanasema wazi kwamba Yesu Kristo ni Mungu na Mwana wa Mungu. Yesu si tu Mwana wa Mungu, bali pia ni Mungu mwenyewe, kama ilivyoonyeshwa katika Yohana 1, Yohana 10:36, Kolosai 1:16-17, Mathayo 28:9, na Ufunuo 5:13. Madai kwamba Yesu si Mungu wala Mwana wa Mungu ni ya kupinga waziwazi mafundisho ya Biblia.
Wewe ni mwehu wa ufahamu, hayo ni maneno ya paulo, ndio maana
Wakristo wengi hawajui kuhusu dini yao na hii nadhani hata kwa Waislam pia. Unazaliwa unakuta baba na mama ni dini fulani unafuata mkumbo tu, hutaki kujua kasoro za dini yako bali unafundishwa mazuri tu na kasoro za dini nyingine. Usiposhtuka unakuwa mbumbumbu hadi uzeeni 😛

Iko hivi; Kuna hizi dini wanaziita Abrahamic religions ambazo ni Judaism, Christian na Islam. Hizi dini zina muunganiko fulani wa kiimani lakini kila iliyotangulia haiamini iliyofuata.

Judaism ya Waisrael ndio ilianza na kitabu chao kitakatifu Torah kupitia Mussa/Moses, humu ndani kuna sheria kali hadi za kuuliwa pale ufanyapo kosa kama la kuzini ama kukatwa mkono ukiiiba pia kutokula kitimoto, wanyama wasio na kwato n.k

Baadae akaja Bwana Yesu, akadai hakuja kuitengua Torati bali kuindeleza (akimaanisha yeye ni muendelezo wa Torah) japokuwa baadhi ya sheria zile kali akazitengua kama ukizinii uuliwe, hukumu ya mwizi n.k. Hata hivyo Wayahudi walimkataa na hawakuamini kama ndiye Messiah wanayemsubiri, hadi leo Wayahudi hawaamini katika Ukristo ila kuna Wakristo kama wewe mnaamini Wayahudi mwanzo walimkana Yesu ila walijutia na kumkubali baada ya kumuua (nadhani ile movie ya Yesu imekujenga hivi bwana mdogo) uhalisia ni kwamba Wayahudi hawaamini kabisa kuhusu Ukristo wala Yesu.

Mwisho akaja Mtume Muhammad, naye pia akasema yeye ni muendelezo wa wale wooote waliotangulia na yeye ndio katumwa na Mungu kukamilisha maandiko na ndio maana Waislam wanaamini Muhammad ndio mtume wa mwisho japokuwa Wakristo bado wanafyatua mitume na manabii hadi leo. Vilevile kwenye Qur'an kuna maandiko ya vitabu vilivyopita vile vya Wayahudi na Wakristo lakini Watangulizi (Wayahudi na Wakristo) hawaamini muendelezo huu.

Elewa kitu hizi dini zilizofuata baada ya Judaism (Ukristo na Uislam) zinaamini zilikuwepo tangu kuumbwa kwa binadamu wa kwanza (Adam) sababu wanaamini wale mitume na manabii wa kwanza kabla walikuwa ni watangulizi wao lakini kila aliyetangulia haamini aliyefuata.

Kabla ya Judaism zilishapita dini kibao huko nyuma na Wayahudi kuna namna ya kuabudu wameiga toka kwa dini za kale kabla yao.
Maneno mengi uelewa ki dogo
 
1.Kuhusu YESU jibu ni YESU ndiye MUNGU muumbaji.

2.Hakuna mfalme aliyekataa mafundisho ya Paulo, na inabidi uelewe kuwa kabla ya Paulo kuongoka, alikuwa akiwaua Wakristo, na kuongoka kwake ni baada ya Yeye kukutana na YESU na kupigwa upofu na akaenda kuombewa ndipo akapona na habari ya injili yake ikaanzia pale.
Sasa eka ahadi hapa Niki leta maandiko yenye ushahidi kutoka Ktk bibilia utafanya nini?, ikiwa YESU ndiye mungu muumbaji basi MARIA asingemkimbiza ili asiuliwe na mfalme, yaani MUNGU anakimbia asi uliwe 😂😂😂😂😂😂😂, lofa wa elimu wewe, Niwekee ahadi hapa
 
Mkuu, unajua ninyi ndugu zangu mnapeñda kumezeshana vitu Ili kujifariji, chuki yenu Iko Kwa mtume Paulo katika BIBLIA TAKATIFU mtume Paulo aliandika vitabu 13 tu na hizo nyingi zilikuwa barua.

Sasa wewe unasema BIBLIA yote ni ya Mtume Paulo (jambo ambalo si kweli) na hushangai Mbona Quran yote ni ya Muhammad.
Mkuu soma huu uzi vizuri utagundua kuwa nyinyi wa kristo mnategemea maneno ya Paulo ili ku halalisha UUNGU wa YESU, lakini never never ever huyo YESU hakuwahi kujiita yeye ni MUNGU,

kama kuna andiko ktk bibilia yenu ambayo YESU himself kajiita yeye kwa maneno yake mwenyewe ni Mungu basi weka hapa, hiyo sio dini ya ukweli
 
Mkuu, unajua ninyi ndugu zangu mnapeñda kumezeshana vitu Ili kujifariji, chuki yenu Iko Kwa mtume Paulo katika BIBLIA TAKATIFU mtume Paulo aliandika vitabu 13 tu na hizo nyingi zilikuwa barua.

Sasa wewe unasema BIBLIA yote ni ya Mtume Paulo (jambo ambalo si kweli) na hushangai Mbona Quran yote ni ya Muhammad.
Quraan ni maneno ya Allah ushahidi upo, lakini kiini cha bibilia ni maneno ya Paulo na ndio mnayo yatumia ku mfanya YESU ni Mungu, yaani YESU yupo hai hakusema kuwa yeye ni MUNGU Eti kafa ndio ka pachikwa UUNGU,

Kama YESU angekuwa ni Mungu basi mama yake MARIA asinge mkimbiza ili mfalme asi muue, yaani MUNGU ana ogopa kufa, tena ana muogopa mwanadamu, ukristo umejaa uongo uongo mwingi
 
UISLAMU NI DINI ILIYOJENGWA KWA UONGO, PROPAGANDA NA KUUNGAUNGA HUKU NA KULE NDIO MAANA NI RAHISI KUGUNDUA KUWA UISLAMU NI DINI YA UONGO

Wanazuoni wa kiislamu wanakiri Paran sio Saudia Arabia, wewe upo hapa unakazania ili utetee dini kama kawaida yenu kutumia Taqia

Kitabu: "Atlas of the Quran" cha Dr. Shauqi Abu Khalil: Kinatoa ramani zinazohusiana na maeneo yaliyotajwa katika Qur'an na historia ya Kiislamu. Kitabu hiki kinadokeza kuwa Paran inaweza kuwa eneo karibu na Sinai au Petra, badala ya Makka moja kwa moja.

Kitabu: "Arabs and Israel For Beginners" cha Ron David: Kinachunguza asili ya majina ya maeneo kama Paran kutoka kwenye kumbukumbu za Kiyahudi, Kikristo, na Kiislamu. Paran inaonekana kuhusiana zaidi na maeneo ya kaskazini mwa Hijaz.
View attachment 3177686

Maoni ya Wanazuoni wa Kiislamu

Wanazuoni wa Kiislamu kama Dr. Muhammad Hamidullah na Sheikh Imran Hosein wamependekeza kuwa Paran inaweza kuwa karibu na maeneo ya kaskazini mwa Hijaz kutokana na uhusiano wa kihistoria kati ya Hajir, Ismail, na maeneo ya Misri na Palestina. Hii inaungwa mkono na:

Ukaribu wa Mlima Sinai na Paran kama ilivyotajwa katika Biblia.

Hadithi za Ismail zilizoenea kati ya Waarabu wa Petra kabla ya Uislamu.


Kwa kifupi, rejea za vitabu vya Kiislamu na historia zinaonyesha kuwa Paran kuwa eneo nje ya Saudi Arabia, likiwa na uhusiano wa kihistoria na Palestina, Sinai, au Petra.

Na uhakika huwezi kutumia Quran maana ni nyeupe pee, unakimbilia kwenye biblia usiyoiamini unaungaunga maneno
View attachment 3177687

Wewe ramani uliyoiweka inaonyesha Nyika ya Parani maana yake ni misitu ya parani na Mimi ramani niliyokuwekea inaonyesha Wildness of Parani maana yake ni Jangwa la Parani

Ukitoka Israel kuelekea Saudi Arabia utaanza kuukuta huo msitu wa Parani ukiisha msitu wa Parani utakutana na milima ya parani ukimaliza milima ya parani ndio unakutana na Jangwa la Parani na ndio Saudi Arabia ya Sasa
Mbona ramani zipo wazi na nimekuwekea

Nakuwekea tena majina ya watoto wa Ishmael yakiwa yametapakaa katika hilo Jangwa la Parani pamoja na ramani zinazothibitisha kuwa Jangwa la Parani ndio lipo Saudi Arabia ya Sasa

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16

Sasa wewe jibu hili swali maana unapingana na mandiko pamoja na ramani

Jangwa la Parani sehemu ambayo aliishi Ishmael na kizazi chake Kwa Sasa ndio nchi gani?
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-150645.jpg
    Screenshot_20241215-150645.jpg
    453.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241215-221922.jpg
    Screenshot_20241215-221922.jpg
    303.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241215-215915.jpg
    Screenshot_20241215-215915.jpg
    433.5 KB · Views: 2
Wewe ramani uliyoiweka inaonyesha Nyika ya Parani maana yake ni misitu ya parani na Mimi ramani niliyokuwekea inaonyesha Wildness of Parani maana yake ni Jangwa la Parani

Ukitoka Israel kuelekea Saudi Arabia utaanza kuukuta huo msitu wa Parani ukiisha msitu wa Parani utakutana na milima ya parani ukimaliza milima ya parani ndio unakutana na Jangwa la Parani na ndio Saudi Arabia ya Sasa
Mbona ramani zipo wazi na nimekuwekea

Nakuwekea tena majina ya watoto wa Ishmael yakiwa yametapakaa katika hilo Jangwa la Parani pamoja na ramani zinazothibitisha kuwa Jangwa la Parani ndio lipo Saudi Arabia ya Sasa

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16

Sasa wewe jibu hili swali maana unapingana na mandiko pamoja na ramani

Jangwa la Parani sehemu ambayo aliishi Ishmael na kizazi chake Kwa Sasa ndio nchi gani?
Biblia imeeleza vzr sana na Ina ramani ya kipindi hicho, acha kubumbabumba ,

Kwa mujibu wa Biblia, Jangwa la Parani lilikuwa karibu na Mlima Sinai na linaweza kuwekwa katika ukanda wa Sinai wa sasa (kati ya Misri, Palestina, na Jordan). Quran, kwa upande mwingine, haitaji moja kwa moja Parani, lakini inahusisha Ismail na bonde la Makkah.

Historia inaonyesha kuwa jina "Parani" halijawahi kutumiwa kumaanisha Saudi Arabia nzima, bali linahusishwa na eneo dogo karibu na Peninsula ya Sinai. Tafsiri yoyote inayohusisha Jangwa la Parani na Saudi Arabia nzima inahitaji ushahidi wa ziada wa kihistoria au kijiografi

Leta ushahidi wa Quran
saudi_arabia_arrow_map_updated.png
 
Sasa eka ahadi hapa Niki leta maandiko yenye ushahidi kutoka Ktk bibilia utafanya nini?, ikiwa YESU ndiye mungu muumbaji basi MARIA asingemkimbiza ili asiuliwe na mfalme, yaani MUNGU anakimbia asi uliwe 😂😂😂😂😂😂😂, lofa wa elimu wewe, Niwekee ahadi hapa
Unajua wewe kuniita lofa wa Elimu haithibitishi kuwa Mimi ni lofa.

Na Siko hapa kukuonesha kuwa Mimi ni mjuvi sana wa mambo flani.

Na sina kitu chochote Cha kuwekeana ahadi na wewe sababu hainidhuru Kwa vyovyote.

Cha kufanya hapa unapaswa KUJUA hatufahamiani, na hivyo kiwango Cha uzoefu wa maisha(life experience) achana na mambo ya Elimu ya darasani kwanza, tunatofautiana.

Je, wewe hapo umewahi kuzungumza na viumbe visivyo na mwili na ukaongea navyo kubadilishàna mawazo?

Nafkri kuna jamaa kaweka Uzi huko kumhusu Bikira Maria, ndio amekuchajisha umekuja Kwa kuniita lofa.

Sasa mwamuzi mzuri na WA haki juu ya haya tuaminiyo ni KIFO, Kwa hivyo tunapoondoka hapa kila Mmoja kwa wakati wake tunapata mara moja majibu ya misimamo ya Imani zetu.

Unahisi ni kwanini dini Moja kazi yake ni kupingana na Ukristo klla kukicha, na kuna watu wanaabudu ng'ombe, sijui paka, Yani sisi tunakula nyama ya ng'ombe wao wanaabudu ng'ombe na husikii hiyo dini ikipingana na watu wa aina hiyo...

Kaa chini ufikirie sawa sawa, Mungu kaamua kuuvaa mwili wa kibinadamu na aishi kibinadamu Kwa kutimiza lengo lake Sasa unauliza...

Hivi umesoma BIBLIA kuona maisha ya YESU KRISTO yalikuwaje na hata kuondoka kwake hapa duniani?

Sio Kila mtu mitandaoni ana Nia ya kuelimisha mwingine kazi yake ni kupoteza watu.
 
Kwanza, ni jambo jema kuwa umekiri vitabu vya BIBLIA TAKATIFU vimo katika QURAN.

Hakuna kitabu ndani ya BIBLIA TAKATIFU kilikuwepo kabla ya Ukristo ni wewe mkuu hujapata kuelewa nini maana ya Ukristo...

YESU alienda mlima wa kugeuzwa sura akatokewa na Musa na Eliya, najaribu kukuonesha kuwa hakuna kitabu ndani ya BIBLIA TAKATIFU hakina uhusiano na KRISTO...
Qur'an si mkusanyiko wa vitabu sasa utasemaje kuna vitabu vya biblia? Biblia ina hadi barua za watu humo ndani. Qur'an haina vitabu vyengine ni kitabu chenye kujitegemea.

Halafu mimi sizungumzii maana ya ukristo au wakristo wanavyoamini kuhusu ukristo, hata mimi naweza kuanzisha dini yangu mwaka huu 2024 nikaiita Tanganyika. Sasa maana ya hilo jina Tanganyika au historia kuhusu hilo jina haifanyi kuwa dini yangu hiyo ilikuwepo kabla ya mwaka 2024.
 
Biblia imeeleza vzr sana na Ina ramani ya kipindi hicho, acha kubumbabumba ,

Kwa mujibu wa Biblia, Jangwa la Parani lilikuwa karibu na Mlima Sinai na linaweza kuwekwa katika ukanda wa Sinai wa sasa (kati ya Misri, Palestina, na Jordan). Quran, kwa upande mwingine, haitaji moja kwa moja Parani, lakini inahusisha Ismail na bonde la Makkah.

Historia inaonyesha kuwa jina "Parani" halijawahi kutumiwa kumaanisha Saudi Arabia nzima, bali linahusishwa na eneo dogo karibu na Peninsula ya Sinai. Tafsiri yoyote inayohusisha Jangwa la Parani na Saudi Arabia nzima inahitaji ushahidi wa ziada wa kihistoria au kijiografi

Leta ushahidi wa Quran View attachment 3177857
Jibu swali
Taurati inasema Ishmael na kizazi chake waliishi Jangwa la Parani

Ushahidi wa ramamani za Bibilia hapo chini unadhihirisha kuwa kuwa Ishmael na kizazi chake waliishi Saudi Arabia ya Sasa wewe unapinga

Sio unajizungusha na kuleta porojo ambazo hazina maana
Jibu swali hilo Jangwa la Parani ambako kunapatikana vizazi vya Ishmael Kwa Sasa ni nchi gani?
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-222726.jpg
    Screenshot_20241215-222726.jpg
    429.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241215-215915.jpg
    Screenshot_20241215-215915.jpg
    433.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241215-150429.jpg
    Screenshot_20241215-150429.jpg
    509.3 KB · Views: 4
Qur'an si mkusanyiko wa vitabu sasa utasemaje kuna vitabu vya biblia? Biblia ina hadi barua za watu humo ndani. Qur'an haina vitabu vyengine ni kitabu chenye kujitegemea.

Halafu mimi sizungumzii maana ya ukristo au wakristo wanavyoamini kuhusu ukristo, hata mimi naweza kuanzisha dini yangu mwaka huu 2024 nikaiita Tanganyika. Sasa maana ya hilo jina Tanganyika au historia kuhusu hilo jina haifanyi kuwa dini yangu hiyo ilikuwepo kabla ya mwaka 2024.
Kwani Juzuu ni kitu gani?
 
Yesu ni Mungu na Mwana wa Mungu, kama inavyofundishwa katika Biblia.

1. Yesu ni Mungu - John 1:1-14

Katika Injili ya Yohana 1:1-14, maandiko yanaelezea wazi kwamba Yesu (ambaye anajulikana kama "Neno") ni Mungu mwenyewe:

"Hapo mwanzo kulikuwapo Neno, na Neno alikuwapo kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu." (Yohana 1:1)

Hii ni tafsiri wazi kwamba Neno (Yesu) ni Mungu. Katika Yohana 1:14, tunapata zaidi ya ufafanuzi huu:

"Neno alikua mwili, akakaa kati yetu, na sisi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee wa Baba, mwenye neema na kweli." (Yohana 1:14)

Hii inaonyesha kuwa Yesu, kama Neno, alikuja duniani kama Mungu aliye mwili, na hivyo anathibitishwa kuwa Mungu katika Biblia.

2. Yesu ni Mwana wa Mungu - Yohana 10:36

Katika Yohana 10:36, Yesu mwenyewe anajitambulisha kama Mwana wa Mungu:

"Mimi, ambaye Baba alitakasa na kutuma duniani, je, ni dhambi kusema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu’?" (Yohana 10:36)

Yesu alikubali na kusema wazi kwamba yeye ni Mwana wa Mungu, na hii inathibitisha wazi uhusiano wake na Baba (Mungu). Ikiwa Yesu alikiri kuwa yeye ni Mwana wa Mungu, basi haifai kusema kwamba Yeye si Mwana wa Mungu.

3. Yesu na Baba ni mmoja - Yohana 10:30

Yesu pia alisema wazi kuwa yeye na Baba ni mmoja:

"Mimi na Baba tu mmoja." (Yohana 10:30)

Hii ni kauli ya wazi ya Yesu kuhusu umoja wake na Baba. Yesu alikiri kuwa yeye na Baba ni mmoja, ikithibitisha uungu wake na uhusiano wa kipekee na Mungu Baba.

4. Yesu ndiye aliyeumba vitu vyote - Kolosai 1:16-17

Katika Kolosai 1:16-17, Paulo anasema:

"Kwa maana kwa yeye vitu vyote viliumbiwa, vilivyo mbinguni na vilivyo duniani, vyenye kuonekana na visivyoonekana, ikiwa ni viti vya enzi, au mamlaka, au wakuu, au wakuu wa enzi; vyote viliumbiwa kwa njia yake na kwa ajili yake." (Kolosai 1:16)

Hii inathibitisha kwamba Yesu ni Muumba wa vitu vyote, na kama vile Mungu alivyounda ulimwengu, Yesu anathibitishwa kuwa ni Mungu.

5. Yesu alikubali ibada - Mathayo 28:9, Ufunuo 5:8-14

Katika Mathayo 28:9, Yesu anapokutana na wanawake baada ya kufufuka, wanamwabudu:

"Wakamshika miguuni mwake, wakamsujudia." (Mathayo 28:9)

Vilevile, katika Ufunuo 5:8-14, Yesu anapokea ibada kutoka kwa viumbe wote wa mbinguni:

"Na kila kiumbe kilichomo mbinguni, na kilichomo duniani, na kilichoko chini ya dunia, na vilivyo baharini, vikisema, 'Ametukuzwa yeye aliye juu ya kiti cha enzi na Mwana-kondoo.'" (Ufunuo 5:13)

Kama Yesu angekuwa si Mungu, asingekubali ibada hii, lakini inavyoonekana kutoka kwa maandiko, Yesu alikubali ibada hii kwa sababu yeye ni Mungu.

6. Yesu ni Mungu aliyetumwa duniani - 1 Timotheo 3:16

Katika 1 Timotheo 3:16, Paulo anaandika:

"Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu: Mungu alionekana katika mwili, alithibitishwa kuwa mwenye haki katika Roho, alionekana kwa malaika, alihubiriwa kwa mataifa, aliaminika ulimwenguni, alichukuliwa juu katika utukufu." (1 Timotheo 3:16)

Hii inaonyesha wazi kuwa Mungu mwenyewe alionekana katika mwili, na alifanya hivyo kupitia Yesu Kristo. Hivyo, Yesu ni Mungu ambaye alikuja duniani kama mwanadamu.

Maandiko ya Biblia yanasema wazi kwamba Yesu Kristo ni Mungu na Mwana wa Mungu. Yesu si tu Mwana wa Mungu, bali pia ni Mungu mwenyewe, kama ilivyoonyeshwa katika Yohana 1, Yohana 10:36, Kolosai 1:16-17, Mathayo 28:9, na Ufunuo 5:13. Madai kwamba Yesu si Mungu wala Mwana wa Mungu ni ya kupinga waziwazi mafundisho ya Biblia.
Biblia ilivyo kuna mambo watu wanapingana na wote wanatumia biblia hiyo kutoa ushahidi.
 
Qur'an si mkusanyiko wa vitabu sasa utasemaje kuna vitabu vya biblia? Biblia ina hadi barua za watu humo ndani. Qur'an haina vitabu vyengine ni kitabu chenye kujitegemea.

Halafu mimi sizungumzii maana ya ukristo au wakristo wanavyoamini kuhusu ukristo, hata mimi naweza kuanzisha dini yangu mwaka huu 2024 nikaiita Tanganyika. Sasa maana ya hilo jina Tanganyika au historia kuhusu hilo jina haifanyi kuwa dini yangu hiyo ilikuwepo kabla ya mwaka 2024.
Wakati wakristo wakiishi Kwa agano jipya, Uislamu umerudi kuishi kwa agano la kale.

Mambo kama kutokula nyama ya nguruwe, mambo kama adhabu za kupigwa mawe, Sheria za vyakula, hayo ni mambo yapo katika agano la kale.

Tofauti ya BIBLIA na Quran Kwa wakati wote ni mtazamo kumhusu YESU, majini n.k
 
Back
Top Bottom