Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Wakristo wote kwa pamoja wana wana mtazamo sawa kwenye kila kitu kuhusu Yesu?
Kwa Muda wangu wote wa kuishi duniani hakuna Mkristo anayepinga kuzaliwa, huduma, kufa, kufufuka, kupaa kwenda Mbinguni na kuhusu ujio wa Pili wa Yesu Kristo.

Unajua maana ya Ukristo kwanza? Hakuna Mkristo nje ya Yesu Kristo.
 
Kwa Muda wangu wote wa kuishi duniani hakuna Mkristo anayepinga kuzaliwa, huduma, kufa, kufufuka, kupaa kwenda Mbinguni na kuhusu ujio wa Pili wa Yesu Kristo.

Unajua maana ya Ukristo kwanza? Hakuna Mkristo nje ya Yesu Kristo.
Mfano Mashahidi wa Yehova humtambua vp Yesu?
 
Torati na Ukristo wapi na wapi ndugu?

Wakati wa Musa Ukristo ulikuwepo? Ndiyo ulivyofundishwa Sunday School?
uKristo haukuwepo, ila Roho wa Kristo alikuwepo. Alikuwa ndani ya manabii hawa kina Musa

1 Petro 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ katika kuupokea mwisho wa imani yenu, yaani, wokovu wa roho zenu.
¹⁰ Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta-tafuta na kuchunguza-chunguza, ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi.
¹¹ Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.
 
Duh Kweli Elimu Inahitajika!
Ukristo na Agano la kale wapi na wapi..
Ni bora hata Ungesema Wayahudi..
Bora hata wayahudi Ndo wangesema Bila wao hakuna Dini za Ibrahimic zote..

Ningekuona Msomi kama Ungesema Bila Ukristo hakuna Dini ya Wamormons

unadhani uKristo ni dini? Hivi unafahamu kuwa Kristo alikuwa pamoja na wana wa Israeli safarini jangwani (wakati wa nabii Musa), Yesu ni mwamba

1 Wakorintho 10 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Kwa maana, ndugu zangu, sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu; wote wakapita kati ya bahari;
² wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari;
³ wote wakala chakula kile kile cha roho;
⁴ wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
 
uKristo haukuwepo, ila Roho wa Kristo alikuwepo. Alikuwa ndani ya manabii hawa kina Musa

1 Petro 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ katika kuupokea mwisho wa imani yenu, yaani, wokovu wa roho zenu.
¹⁰ Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta-tafuta na kuchunguza-chunguza, ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi.
¹¹ Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.
Hii inaitwa circular argument!

Yaani unatumia "hoja" kuwa ndiyo "uthibitisho"
Sina uhakika kama unaweza kuelewa maana umekuwa brainwashed sana ..

A circular argument’s premise explicitly or implicitly assumes that its conclusion is true rather than providing any supporting statements. If the conclusion and premise were switched, the statement would still stand as “proven.”
 
Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
Mimi sishangai wewe kupingana na mandiko ya manabii pamoja na waliochora ramani za Bibilia Ili kuyatafsiri hayo mandiko Kwa sababu wewe ni kafiri
Na sifa ya makafiri ni kupinga maandiko ya Mungu haijalishi yapo wapi iwe ndani ya Quran au Bibilia kama ni andiko la kweli lazima kafiri alipinge

Na nilikuambia hiki ni kitanzi kipo shingoni kwako na Kila ukikukuruka ndio shingo yako inazidi kuumia

TEMA
Nimekuwekea andiko kuwa Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Hapo mwisho andiko linasema hayo ndio majina Yao katika miji Yao

Yani zamani majina ya watu maarufu ndio baadae yakawa majina ya miji

Nimekuwekea andiko la nabii Isaya linasema mji wa Tema upo katika misitu ya Arabuni pamoja na mji wa Dedani ambalo pia ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael

Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.

Nimekuwekea na ramani za kale za Bibilia kukuonyesha huo mji wa Tema upo ndani ya Jangwa la Arabu na ndio Saudi Arabian ya Sasa

Nimekuwekea ramani mpya ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii upo Saudi Arabia

Kitu ambacho wewe haukijui utume wa Mtume Muhammad haupingwi Kwa mandiko ya manabii ila unapingwa Kwa propaganda

Kama unao ushahidi kuwa Kuna Tema mwingine ndani ya Bibilia weka huo huo ushahidi Kwa mandiko na ramani za Bibilia

Huyo Tema ni nani?
Na huo mji Tema upo wapi Kwa Sasa
 

Attachments

  • Screenshot_20241216-181639.jpg
    Screenshot_20241216-181639.jpg
    427.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241215-215915.jpg
    Screenshot_20241215-215915.jpg
    433.5 KB · Views: 2
Mimi sishangai wewe kupingana na mandiko ya manabii pamoja na waliochora ramani za Bibilia Ili kuyatafsiri hayo mandiko Kwa sababu wewe ni kafiri
Na sifa ya makafiri ni kupinga maandiko ya Mungu haijalishi yapo wapi iwe ndani ya Quran au Bibilia kama ni andiko la kweli lazima kafiri alipinge

Na nilikuambia hiki ni kitanzi kipo shingoni kwako na Kila ukikukuruka ndio shingo yako inazidi kuumia

TEMA
Nimekuwekea andiko kuwa Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Hapo mwisho andiko linasema hayo ndio majina Yao katika miji Yao

Yani zamani majina ya watu maarufu ndio baadae yakawa majina ya miji

Nimekuwekea andiko la nabii Isaya linasema mji wa Tema upo katika misitu ya Arabuni pamoja na mji wa Dedani ambalo pia ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael

Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.

Nimekuwekea na ramani za kale za Bibilia kukuonyesha huo mji wa Tema upo ndani ya Jangwa la Arabu na ndio Saudi Arabian ya Sasa

Nimekuwekea ramani mpya ya Saudi Arabia kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hii upo Saudi Arabia

Kitu ambacho wewe haukijui utume wa Mtume Muhammad haupingwi Kwa mandiko ya manabii ila unapingwa Kwa propaganda

Kama unao ushahidi kuwa Kuna Tema mwingine ndani ya Bibilia weka huo huo ushahidi Kwa mandiko na ramani za Bibilia

Huyo Tema ni nani?
Na huo mji Tema upo wapi Kwa Sasa
Nafyeka Tena hiki kichaka chako kingine

Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
 
Hii inaitwa circular argument!

Yaani unatumia "hoja" kuwa ndiyo "uthibitisho"
Sina uhakika kama unaweza kuelewa maana umekuwa brainwashed sana ..

A circular argument’s premise explicitly or implicitly assumes that its conclusion is true rather than providing any supporting statements. If the conclusion and premise were switched, the statement would still stand as “proven.”

1 Corinthians 2:13-15
[13]This is what we speak, not in words taught us by human wisdom but in words taught by the Spirit, explaining spiritual realities with Spirit-taught words.
[14]The person without the Spirit does not accept the things that come from the Spirit of God but considers them foolishness, and cannot understand them because they are discerned only through the Spirit.
[15]The person with the Spirit makes judgments about all things, but such a person is not subject to merely human judgments,.

the reality
 
Nafyeka Tena hiki kichaka chako kingine

Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
Nimekuambia shingo yako ipo katika kitanzi na Kila ukikukuruka ndio shingo yako inazidi kuumia na kitanzi

Bibilia na Ramani zake imeshakukana umebaki unayumba yumba tu

Ramani ya Bibilia inayo onyesha misafara ya kibiashara kati ya mji wa Tema na hiyo Edom uliyoitaja hiyo hapo chini bado mji wa Tema unaonekana upo pale pale Saudi Arabia

Nimekuambia kama Kuna Tema mwingine ndani ya Bibilia weka ushahidi hapo

Huyo Tema ni nani?
Na huo mji upo wapi Kwa Sasa?

Wameshindwa watu walio kuwa watu kupinga utume wa Mtume Muhammad ndani ya Bibilia itakuwa wewe kakafiri kadogo dogo
 

Attachments

  • Screenshot_20241217-134008.jpg
    Screenshot_20241217-134008.jpg
    299.3 KB · Views: 1
Nimekuambia shingo yako ipo katika kitanzi na Kila ukikukuruka ndio shingo yako inazidi kuumia na kitanzi

Bibilia na Ramani zake imeshakukana umebaki unayumba yumba tu

Ramani ya Bibilia inayo onyesha misafara ya kibiashara kati ya mji wa Tema na hiyo Edom uliyoitaja hiyo hapo chini bado mji wa Tema unaonekana upo pale pale Saudi Arabia

Nimekuambia kama Kuna Tema mwingine ndani ya Bibilia weka ushahidi hapo

Huyo Tema ni nani?
Na huo mji upo wapi Kwa Sasa?

Wameshindwa watu walio kuwa watu kupinga utume wa Mtume Muhammad ndani ya Bibilia itakuwa wewe kakafiri kadogo dogo
Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
 
unadhani uKristo ni dini? Hivi unafahamu kuwa Kristo alikuwa pamoja na wana wa Israeli safarini jangwani (wakati wa nabii Musa), Yesu ni mwamba

1 Wakorintho 10 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Kwa maana, ndugu zangu, sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu; wote wakapita kati ya bahari;
² wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari;
³ wote wakala chakula kile kile cha roho;
⁴ wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
Ok sawa Nimekuelewa
 
Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
Naona umeamua kufa na tai yako ya ki Galatia shingoni

Kwani hapa tuna jadili Tema ipo kama sio Tema ya ndani ya Bibilia

Na hata hizi ramani pia ni ramani za Bibilia

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.

Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.

Unatafuta kichaka Cha kujificha haukipati

Andiko linalosema Kuna Tema mwingine zaidi ya mtoto wa Ishmael hauna

Ramani inayoonyesha Kuna Mji mwingine wa Tema zaidi ya huo mji ambao upo Saudi Arabia pia hauna

Kama unao ushahidi weka hapa tulitoe hili andiko katika utabiri wa
MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.
 

Attachments

  • Screenshot_20241216-181639.jpg
    Screenshot_20241216-181639.jpg
    427.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241217-134008.jpg
    Screenshot_20241217-134008.jpg
    299.3 KB · Views: 0
  • Screenshot_20241217-162831.jpg
    Screenshot_20241217-162831.jpg
    257.1 KB · Views: 0
Hii inaitwa circular argument!

Yaani unatumia "hoja" kuwa ndiyo "uthibitisho"
Sina uhakika kama unaweza kuelewa maana umekuwa brainwashed sana ..

A circular argument’s premise explicitly or implicitly assumes that its conclusion is true rather than providing any supporting statements. If the conclusion and premise were switched, the statement would still stand as “proven.”
ukidhani kuwa nina-argue na wewe utakuwa umekosea sana. Hizi ni kweli za rohoni. eternal truth, the reality!
 
Naona umeamua kufa na tai yako ya ki Galatia shingoni

Kwani hapa tuna jadili Tema ipo kama sio Tema ya ndani ya Bibilia

Na hata hizi ramani pia ni ramani za Bibilia

Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.

Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.

Unatafuta kichaka Cha kujificha haukipati

Andiko linalosema Kuna Tema mwingine zaidi ya mtoto wa Ishmael hauna

Ramani inayoonyesha Kuna Mji mwingine wa Tema zaidi ya huo mji ambao upo Saudi Arabia pia hauna

Kama unao ushahidi weka hapa tulitoe hili andiko katika utabiri wa
MTUME MUHAMMAD

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.
Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
 
Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.
Sasa sindio uweke hilo andiko na ramani kuthibisha hicho unachokisema
Au unadhani hapa unaongea na mgalatia mwenzako maana nyi mmezoea kudanganyana

Sijui Yesu Mungu
Yesu mwana wa Mungu
Mungu wapo 3
Mungu Yesu alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya


Weka ushahidi
Tema ni nani?
Huo mji upo wapi?
 
Sasa sindio uweke hilo andiko na ramani kuthibisha hicho unachokisema
Au unadhani hapa unaongea na mgalatia mwenzako maana nyi mmezoea kudanganyana

Sijui Yesu Mungu
Yesu mwana wa Mungu
Mungu wapo 3
Mungu Yesu alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya


Weka ushahidi
Tema ni nani?
Huo mji upo wapi?
UNADHANI Mimi na muda na porojo sasa

Mimi nakutwanga tu

Mji wa Tema uliotajwa katika Biblia hauko nchini Saudi Arabia, bali upo maeneo ya kaskazini mwa Peninsula ya Arabia, kama vile katika jangwa lilio mashariki mwa Bahari ya Shamu. Hii ni tofauti na miji mingine maarufu katika Biblia kama Yerusalemu au Nazareti, ambazo zilikuwa sehemu zinazojulikana zaidi katika historia ya dini ya Wayahudi na Wakristo.

Katika Isaya 21:14, Tema inatajwa kama sehemu ya kabila la Ismaili, na mji huu unahusishwa na maeneo ya jangwa na sehemu za kibiashara za Mashariki hapo EDOMU. Watu kutoka Tema walikuwa na mahusiano na kabila la Edomu na walijihusisha na biashara.

images (18).jpeg

images (17).jpeg
 
Sasa sindio uweke hilo andiko na ramani kuthibisha hicho unachokisema
Au unadhani hapa unaongea na mgalatia mwenzako maana nyi mmezoea kudanganyana

Sijui Yesu Mungu
Yesu mwana wa Mungu
Mungu wapo 3
Mungu Yesu alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya


Weka ushahidi
Tema ni nani?
Huo mji upo wapi?
ULISEMA TAURATI MLIPEWA WAISLAMU

SASA NAOMBA UJIBU HAYA MASWALI

1. Ikiwa Taurati ni kitabu cha Waislamu, mbona mafundisho yake yanapingana na mafundisho ya Uislamu, kama sheria za chakula na Sabato?


2. Waislamu mnadai Taurati imepotoshwa. Ni ipi Taurati sahihi ambayo Uislamu unadai kuifuata?,maana utakuja na ngonjera hii imeharibiwa, sasa itabidi Ulete Taurat mnayoifata tufananishe na hii iliyoharibiwa


3. Je, kuna uthibitisho wowote wa kihistoria au wa maandiko unaoonyesha kuwa Taurati iliandikwa kwa ajili ya Waislamu badala ya Wayahudi na wakristo?

UKIJIBU NAKUWA MUISLAMU MLA NGAMIA LEO LEO
 
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
Judaism ndio ilianza... agano la kale... Yesu mwenyewe katika maisha yake kibinadamu alikuwa Rabbi.. uzuri wa Ukristo haukuweka beef lolote na uyahudi.. sana sana inasema inaubariki
 
Back
Top Bottom