Hakuna ubishi, S2kizzy ni producer bora kuzidi mkongwe Master Jay

Hakuna ubishi, S2kizzy ni producer bora kuzidi mkongwe Master Jay

View attachment 2891931

S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.

Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.

Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Ni baada ya Maoni ya Master J kuhusu utofauti wa Diamond na Kiba!?
 
View attachment 2891931

S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.

Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.

Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Naona kuna kitu unalazimisha.
Unaandika huku moyo unavuja balaa.

Kuwa nominated ni mipango mikakati. Wapo wazuri sana kuzidi hao na wametulia.

Sema Master Jay ameongea neno gumu sana kwa kambi yenu hivyo mnahaha kusaka angle ya kushambulia
 
Kwani huyo master Jay bado anafanya kazi ya ku produce nyimbo? Maana sijawahi kumsikia kabisa
 
kipindi tunakua ktk mabishano ya nani anaweza kula bajia nyingi kuliko wengine,mpuuzi mmoja akaropoka kwamba yeye akiwekewa bajia zikajaa bodi ya landrover akaachiwa sehemu ya kukaa tu,anamaliza.
kwa sasa baada ya umri kwenda ndio najua,mabishano yale yalikuwa sponsored by njaa😂😂.

kwa sasa kuna watu wanaamimi kabisa producer bora anapatikana WCB tu,

msanii mwenye pesa hata za kukopesha serikali ni diamond platnumz.

hata hii mada imeletwa kwa hisani ya ujinga.
 
kipindi tunakua ktk mabishano ya nani anaweza kula bajia nyingi kuliko wengine,mpuuzi mmoja akaropoka kwamba yeye akiwekewa bajia zikajaa bodi ya landrover akaachiwa sehemu ya kukaa tu,anamaliza.
kwa sasa baada ya umri kwenda ndio najua,mabishano yale yalikuwa sponsored by njaa[emoji23][emoji23].

kwa sasa kuna watu wanaamimi kabisa producer bora anapatikana WCB tu,

msanii mwenye pesa hata za kukopesha serikali ni diamond platnumz.

hata hii mada imeletwa kwa hisani ya ujinga.
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
View attachment 2891931

S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.

Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.

Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Hujui industry mkuu

Una ushabiki mandazi
 
Bado inachekesha😂
Music production ya sasa imekua rahisi zaidi, kila kitu kimekua autamated and incorporated into user friendly softwares.
Ushamba mzigo

Kwahiyo ulitaka tubaki enzi za pachanga na conga?
 
Back
Top Bottom