missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
Unajuaje mimi Ke ndugu[emoji1787][emoji1787]Kapike haya sio mambo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje mimi Ke ndugu[emoji1787][emoji1787]Kapike haya sio mambo yako
Hii alitengeneza Marcochali sio Master jay, Japo ni studio za Master JayEbu sikilizeni Natamani yake QJ,Makamua, Joseline. Afu mrudi kucomment hapa.
Ila ni kweli Master Jay hakukosea. Kiba ana kipaji cha kuimba zaidi ya boss wako Diamond hapo ofisini kwenu wcb.View attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Aise hata mm nmeshangaaMy friend hii inachekesha kidogo[emoji23]
Sahv wanafanya sampling samplingBado inachekesha[emoji23]
Music production ya sasa imekua rahisi zaidi, kila kitu kimekua autamated and incorporated into user friendly softwares.
Alafu hao wenzao siyo kama walilala wakamka wakawa maproducerJamaa anashangaza sana, music production kwa sasa ni rahisi
Unarecord umekaa kwenye kochi hukum Umeshika kikombe chako cha kahawa, producer yupo na laptop tu na bado sound inatoka vizuri
hakuna ulazima tena wa kuingia booth
Mj ilikua ili apate beat na artist aingie kwenye beat ilikua ni vita kubwa, beat tu ishapigwa vyombo vingi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata asiyekuwa Mtaalamu muziki ..Hakuna kitu anaweza kukuelewa..
Kumlinganisha Master Jay na Zombie ni kujitafutia laana za Ukubwani tu.
Yaan wamesha wehukwaaa tayariii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chawa mna kazi sana, kisa kasema Kiba anajua kuimba zaidi ya huyo bwana enu tayari imekuwa kesi [emoji3]
Hawataki kukubalii ukweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila ni kweli Master Jay hakukosea. Kiba ana kipaji cha kuimba zaidi ya boss wako Diamond hapo ofisini kwenu wcb.
Sawa mkuu umeiweka clear hiyo.Hii alitengeneza Marcochali sio Master jay, Japo ni studio za Master Jay
Usikariri mkuu
Usilinganishe kizazi cha amapiano tena mliocopy and paste pale south africa na kizazi cha bongo fleva ya kina Mr.EbboView attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Ni co-production ya Bizman na P Funk.Bizmann
Mtoto wa darasa la ngapi? Umerogwa wewe sio bure, unazani akina Master Jay wanategemea FL studio na Cubase Kama maproduza wenu uchwaraMaster jay beats zake nyepesi sana alafu hujui muziki wewe kabisa unaongea vitu gani beats za kwaya ata mtoto wa darasa la kwanza anapiga ile ni kwaya inaenda na watu wake usiwe mbumbumbu ficha ujinga
Kamzidi vingi, huyo zombie wako hata mixing na mastering ni mtihani, huyosio produza ni beatmaker tuSo point yako ni ipi? Masta jei kamzidi kitu gani zombie kwenye production zaidi ya ukongwe?
Hao wasanii aliowarubuni kwa studio time ni Shaa pekee au kuna mwingine!? Shaa si ndo anaishi naye mpaka sasa? Chuki ikizidi huondoa akili.View attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.