Hakuna ubishi, S2kizzy ni producer bora kuzidi mkongwe Master Jay

Master jay aliwai fanya jipya gani zaidi ya kutengeneza beat? Niambie nini special alichofanya jay kumshinda zombie?
 
Master jay anaweza kutumia chombo gani?
 
Hawa ni founders wa ladha halisi za bongo fleva..... Tofauti na kukopy wanaigeria na amapiano stukizzy ana kipi cha kukumbukwa bongo fleva?
Founder wa muziki wa bongofleva ni Mika mwamba. Master hajawai introduce sound yoyote kwenye hii nchi amekopi nje kila kitu
 
Mziki wa sasa hata kina chino kidd na jaiva nao wanaimba....kipindi kile hawa wasanii wa sasa wengi wasingeweza kiingia MJ au Bongo record kurekodi nyimbo
 
Kila zama na kitabu chake...huwezi kusema mwanajeshi wa leo wa jeshi la marekani ni bora zaidi ya mwanajeshi wa dola ya Roma ambae alikuwa akipambana kwa kutumia panga na visu.

Teknolojia imefanya mambo leo hii kuwa mepesi zaidi ,mwanajeshi anarusha mabomu kwenda Middle East akiwa yupo kwenye kambi ya kijeshi huko California.
 
S2kizzy ni mtaalam wa kusample sio Creativity. Bahati mbaya wateja wake wengi ndo wanamfanya awe mtu wa kusample tu. Kamwe huwezi kumfananisha na master jay aisee yule hakuwa mtu wa kusample.

Wachache sana wataelewa kwanini S2kizzy hastaili hata kubeba tuzo ya grammy.
 
Master Jay kwani alikuwa RTD production? Ametumia mpaka hizi software mpya akachemka akaikimbia game.
Technically S2kizzy ni mkali kuliko Master... Huwezi sema Messi ni bora kuliko Maradona sababu Messi kacheza wakati wa VAR ishu ni uwezo na impact
 
Nachojua s2kizzy ni beatmaker na master jay Ni music producer kwaiy apo umefananisha vitu viwil tofaut
 
Nani kakwambia kusampo sio creativity? Kanye West asilimia 98 ya production zake ni sampling na wanamuita music genius.

Hakuna producer bongo hajawai fanya sampling tena Jay alikuwa anakopi na kupest hamkuwa na exposure ya muziki ndio maana
 
Mziki wa sasa hata kina chino kidd na jaiva nao wanaimba....kipindi kile hawa wasanii wa sasa wengi wasingeweza kiingia MJ au Bongo record kurekodi nyimbo
Kipindi cha kina ndukulusukucho na john walker anawawekea beat wanafanya comedy yani unaskiza unasema hii mbona kama demo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa kizazi chenu ambacho kila mwezi unapaswa kutoa nyimbo ila usisahaulike


Enzi ya master jay kwa mwaka msanii anatoa nyimbo mbili au tatu tu
 
Kwa kizazi chenu ambacho kila mwezi unapaswa kutoa nyimbo ila usisahaulike


Enzi ya master jay kwa mwaka msanii anatoa nyimbo mbili au tatu tu
So point yako ni nini?

Production zake zilikuwa very poor.

Au nitajie nyimbo tano alizotengeneza unazoamini ni classic production alafu mimi nitakupa tatu tu za zombie
 
Mziki wa sasa hata kina chino kidd na jaiva nao wanaimba....kipindi kile hawa wasanii wa sasa wengi wasingeweza kiingia MJ au Bongo record kurekodi nyimbo
Huyo Jaiva kwa siku ya Leo nasikia watu wanamtajataja sana, ngoja niende YouTube nikamsikilize, duh! Kweli nipo busy. Mziki wa siku hizi bwana
 
Master Jay kwani alikuwa RTD production? Ametumia mpaka hizi software mpya akachemka akaikimbia game.
Technically S2kizzy ni mkali kuliko Master... Huwezi sema Messi ni bora kuliko Maradona sababu Messi kacheza wakati wa VAR ishu ni uwezo na impact
You are comparing apples to oranges without any equivocating metric.
 
Skills na impact
Skills inapimwa kwa kutumia Tools za analogs na sio AI tools Mkuu..
Mwwnye skills ni yule aliyeweza kutumia Tools kipindi technology haikuwepo..

Mwanajeshi Bora ni yule atakayetumia Vifaa Dhaifu na kushinda vita..
Ila sio Yule atakayetumia Vifaa na Nyenzo zenye Nguvu na bado akatoka Draw.kwenye Battlefield
 
Kwa kizazi chenu ambacho kila mwezi unapaswa kutoa nyimbo ila usisahaulike


Enzi ya master jay kwa mwaka msanii anatoa nyimbo mbili au tatu tu
Angalau mziki ulikuwa una maana na mafunzo,vina vilipangiliwa vizuri,mizani ilizingatiwa ila sasa hivi unaweza ukapiga tu miluzi...inaingizwa kwenye beat na mziki tayari umekamilika
 
Huwa nawaambia watu kuwa zamani kulikuwa na mashujaa fikiria unakamata panga unaenda kupambana uso kwa uso na adui katika uwanja wa vita. Halafu unasoma historia unaelezwa kuwa kamanda kapambana zaidi ya miaka 30 katika uwanja wa vita akiwa na upanga tu. Waliopita wanastahili pongezi kubwa sana.
 
Producer bora wa Amapiano? Nyimbo zenye codes mbili tu! Hebu nyie kizazi kipya kuweni na mipaka, jilinganisheni kizazi chenu. Ndio yule shoga lil nas eti anajifananisha na Nas escobar.

Kina Master jay, Majani, Ludigo wale ndio wanawake linganishwa wao kwa wao. Huwezi fanya crossgeneration challenging.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…