Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
I mean no malice to nobodyDavido kaimba songs nyingi
Ila hii "Risky" Ft Popcaan ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii ikipigwa lazima nichachawee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I mean no malice to nobodyDavido kaimba songs nyingi
Ila hii "Risky" Ft Popcaan ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii ikipigwa lazima nichachawee.
Msanii anaeweza kujaza uwanja wa mpira ulaya we unasema overrated angalia show hiyo ya Burna boy ndio utajua huyu jamaa ni mwanamziki ana power sana show zake zote anafanya live na band masaa ata matatu sound imetulia tofauti na hao wengineOverrated tu, ila huezi mshindanisha na wizzy au Davido
Burna naona alikua vizuri kwa kipindi Fulani ila sio LEGEND
Kwa style hii, ngozi nyeusi tuna safari ndefu f.uck🤔🤔Mpiga kelele huwa simuelewi kivile huyo..
Enewei ni majibu ya kafara ya mwanae 🤫
Embu mpe burna boy heshima yake kuanzia kwenye utunzi,mziki mzuri , performance kwenye stage hakuna wakumfikia sasahivi hapa africaOverrated tu, ila huezi mshindanisha na wizzy au Davido
Burna naona alikua vizuri kwa kipindi Fulani ila sio LEGEND
Dah mi niko addicted na 👉 feel, 👉over Dem, no competition,Aisee ile nyimbo ya AWAY naurudia siichoki
Munanipotezea MB minyimbo miwili Hapo juu wameifagilia nimeenda isikiliza ushuzi mtupu ngoja nikaone na hii 😠😠Aisee ile nyimbo ya AWAY naurudia siichoki
Zipii au ndo una sikio zito Kama drama za haleluya,Munanipotezea MB minyimbo miwili Hapo juu wameifagilia nimeenda isikiliza ushuzi mtupu ngoja nikaone na hii 😠😠
Hilo Away ujinga Anita Makirita alipe MB zangu hip Competition takataka ngoja nione hio Feel😠😠Zipii au ndo una sikio zito Kama drama za haleluya,
haya kasikilize 👉feel, no competition na over dem. Ndo uje kubwabwaja Tena.
Mtoto wa Baba Mwenye PesaO B O 🔥
Kichwa Kama Nazi ya buku jero, au we ni kiziwi wa mirembe😂😂Hilo Away ujinga Anita Makirita alipe MB zangu hip Competition takataka ngoja nione hio Feel😠😠
Hili Feel na sijui No Dem nimesikiliza ujinga mtupu nilale tuKichwa Kama Nazi ya buku jero, au we ni kiziwi wa mirembe😂😂
Mkuu za kwenu ni kuku kapanda baiskeli au kikulachoHili Feel na sijui No Dem nimesikiliza ujinga mtupu nilale tu
Ndefu zaidi ya sana, kafara ndo mafanikioKwa style hii, ngozi nyeusi tuna safari ndefu f.uck🤔🤔
Hip ndo style yakoo mkuu, mbina Kuna watu tuna fika sehemu fulani, bila makafara🤔🤔Ndefu zaidi ya sana, kafara ndo mafanikio
Sawa mheshimiwa. spikaEmbu mpe burna boy heshima yake kuanzia kwenye utunzi,mziki mzuri , performance kwenye stage hakuna wakumfikia sasahivi hapa africa
Vyuma Kama celebrate, abule, ni 🔥🔥Kuna mwamba anaitwa Patoranking huyu mwamba Huwa namkubali sana.Ila nyota ni kitu kingine make anajuwa sana ila ndo hivo.