Hakuna ubishi tena, Davido ndiye mfalme wa Muziki wa Afrika

Hakuna ubishi tena, Davido ndiye mfalme wa Muziki wa Afrika

Mkuu hebu angalia muziki wa ngozi nyeusi ulivyo struggle kuendana international. Na Sasa unavyo kubalika.
👉Huyo Saad huko kwao ni millions of people, so support ni lazima.
👉Amekuwa recognized kwa kipi??, So hata waimba kaswida wa huko wanna pata 1b views 😁😀
👉Hebu taja one song, aliyo mshirikisha international artist.
👉Ana fanya mziki wa aina ipi, davido kamuandikia Hadi ngoma Chris's brown. Na Chris's alisema wazi
Mkuu nakwambia hakuna mziki Africa wala Middle East ambao umefika 1B view hivyo kusema kaswida zimefika ni uongo. Na jamaa anatambulika Official na Guiness record.

Pia Saad anaimba pop, na mziki wake ni wa Ki Africa/kizungu zaidi kuliko traditional Arabic music, hata Tuzo zake nilizokutajia kama za Apple ama MTV si za kiarabu.

Pia Morocco wapo wachache na Waarabu wote Duniani hawafiki hata milioni 400, Nigeria pekee ni 200M na uki include Kusini mwa jangwa la Sahara ni population kubwa mno.

Na Soko la Saad ni Africa, Spain, India, Ufaransa Middle East na maeneo mengine, hivyo hata Collabo zake ni wasanii wa hayo Masoko kwa Spain ameimba na Kina Gipsy king, Nicola Reyes etc

Hata Nyimbo zake kama Casablanca zina taste ya Ki spanish.



Pia anaimba miziki milaini kama hii collabo yake na Elissa

 
Mkuu nakwambia hakuna mziki Africa wala Middle East ambao umefika 1B view hivyo kusema kaswida zimefika ni uongo. Na jamaa anatambulika Official na Guiness record.

Pia Saad anaimba pop, na mziki wake ni wa Ki Africa/kizungu zaidi kuliko traditional Arabic music, hata Tuzo zake nilizokutajia kama za Apple ama MTV si za kiarabu.

Pia Morocco wapo wachache na Waarabu wote Duniani hawafiki hata milioni 400, Nigeria pekee ni 200M na uki include Kusini mwa jangwa la Sahara ni population kubwa mno.

Na Soko la Saad ni Africa, Spain, India, Ufaransa Middle East na maeneo mengine, hivyo hata Collabo zake ni wasanii wa hayo Masoko kwa Spain ameimba na Kina Gipsy king, Nicola Reyes etc

Hata Nyimbo zake kama Casablanca zina taste ya Ki spanish.



Pia anaimba miziki milaini kama hii collabo yake na Elissa


Umeona Sasa Ninacho Manisha, Saad ilikuwa vyepesi kupeleka mziki wake kwa ngozi nyeupe
👉Maana naye pia ni white, lakini Jiulize views ni kipimo Cha msanii kukubalika??
👉Black artist from Africa wameupigania mziki wao, cheki watu Kama , davido, Wizkid na burna boy wannavyo pata international reconnaissance. Mpaka kushirokishwa na wasanii wakubwa Kama Beyonce, Chris's brown, Nicki minaj🤔🤔
👉Unadhani mziki wa ngozi nyeusi umepita ulaya kikazabe zabe ehh
👉Hebj take international performance aliyofanya huyo Saad kumshinda davido 😁😆
 
Umeona Sasa Ninacho Manisha, Saad ilikuwa vyepesi kupeleka mziki wake kwa ngozi nyeupe
👉Maana naye pia ni white, lakini Jiulize views ni kipimo Cha msanii kukubalika??
👉Black artist from Africa wameupigania mziki wao, cheki watu Kama , davido, Wizkid na burna boy wannavyo pata international reconnaissance. Mpaka kushirokishwa na wasanii wakubwa Kama Beyonce, Chris's brown, Nicki minaj🤔🤔
👉Unadhani mziki wa ngozi nyeusi umepita ulaya kikazabe zabe ehh
👉Hebj take international performance aliyofanya huyo Saad kumshinda davido 😁😆
Kwa hio views imeshakua sio kigezo tena?

Wewe ndo unaona hao ni ngozi nyeupe ila ni wahindi, waspanish, wafaransa, waarabu, ni watu tofauti wa culture tofauti, ili kuwafanya wasikilize inabidi uimbe kitu ambacho wapo Familiar nacho, na huwezi kupata views 1B bila kuwa na mashabiki dunia nzima.

Hao wasanii wa Nigeria wanatoka Nchi ina watu zaidi ya milioni 200 tayari wana advantage kubwa mno, mambo hayo alalamike msanii wa Comoro huko ama Guinea vi nchi vidogo ila sio Nigeria.
 
Davido performed at the TB square in Lagos state
FB_IMG_16822960172951890.jpg
 
Back
Top Bottom