Hakuna ubishi tena, Davido ndiye mfalme wa Muziki wa Afrika

Hakuna ubishi tena, Davido ndiye mfalme wa Muziki wa Afrika

Haswaaaah Patoranking hana nyotaa, ila nyimbo zake ni kaliii mnoooo.
Ngoja nilete ligi humu [emoji1]

Vp mbona kavaa marangirangi

Ova
Screenshot_20230411_193111_Opera Mini.jpg
 
Truth be told the album aint all that just basic... ngoma kali ni over dem na for the road tena kabebwa na beats....ata album ya marioo kali kuliko hii bas tu jamaa tagi kubwa
 
All records cames after a sacrifice made to his daughter god see you and know your destination don't let short term pleasure to ruin your long term life.
His daughter?[emoji848][emoji848]
 
Truth be told the album aint all that just basic... ngoma kali ni over dem na for the road tena kabebwa na beats....ata album ya marioo kali kuliko hii bas tu jamaa tagi kubwa
Mkuubtupungize kimuhe muhe, album ni Kali kuanzia lyrics mpaka beat. 👉 Kasikilize feel, away, no competition na over Dem no 🔥🔥
 
Suala la mjadala kuhusu nani ndie mfalme wa muziki wa Africa, limekuwa likichukua kasi.

👉Huku kila mmoja akivutia kamba upande wake, kuanzia east Africa kina king kiba, diamond na hata konde boy wote wamekuwa wakisifiwa na mashabiki wao.

Mpaka kule Nigeria wasanii Kama patoranking, burna boy, wizkid, tekno na davido kote SI haba.

Lakini kwa Sasa ni Kama ufalme huu ume angukia kwa davido, hii no baada ya kuachia album yake iitwayo timeless.

👉Ambayo imezidi kuweka na kuvunja rekodi mbalimbali, kwenye chati za muziki na dunia kwa ujumla
👉My favorite songs 👉feel
👉No competition ft asake
👉Feel
👉un available ft Musa keys
👉over Dem

I mean no malice to nobody


View attachment 2581745View attachment 2581747View attachment 2581748View attachment 2581749
Msanii bora wa kusini mwa jangwa la sahara ama Africa? Saad Lamjared yupo vizuri zaidi, jamaa wa Morocco nyimbo zake zinafika views Bilioni.
 
Msanii bora wa kusini mwa jangwa la sahara ama Africa? Saad Lamjared yupo vizuri zaidi, jamaa wa Morocco nyimbo zake zinafika views Bilioni.
Mkuu kafanya Nini ??, Davido performed at the world cup, burna boy will perform at the uefa. Vipi kuhusu huyoo🤔😎
 
Mkuu kafanya Nini ??, Davido performed at the world cup, burna boy will perform at the uefa. Vipi kuhusu huyoo🤔😎
Sidhani ku perform World cup ni issue hasa kama Mwanamuziki yupo Established. Kuna wa puuzi kibao wame perform pale Qatar ukitoa umalaya hawana Talent yoyote.

Nimekupa mfano jamaa YouTube tu nyimbo anayo iliovuka views bilioni 1, nyimbo Nyingi za Africa zina struggle kufika milioni 100 ila yeye kawaida sana kwake.

Nenda Wikipedia angalia Tuzo zake za kumwaga, Africa na Nje ya Africa.
 
Sidhani ku perform World cup ni issue hasa kama Mwanamuziki yupo Established. Kuna wa puuzi kibao wame perform pale Qatar ukitoa umalaya hawana Talent yoyote.

Nimekupa mfano jamaa YouTube tu nyimbo anayo iliovuka views bilioni 1, nyimbo Nyingi za Africa zina struggle kufika milioni 100 ila yeye kawaida sana kwake.

Nenda Wikipedia angalia Tuzo zake za kumwaga, Africa na Nje ya Africa.
FB_IMG_16818163588710277.jpg
 
MI nakupa Tuzo za Level Za Dunia we unaweka za Nigeria kweli? Saad Ana Tuzo za MTV Africa na Europe, Hapa, Africa music Awards, Apple Music Awards etc.

Ukiangalia hapo Davido views hazifiki hata milioni 100, Saad hizo milioni kadhaa anafikisha in minutes, Ana nyimbo ina Views Bilioni sijui unaelewa hii level?

Na sio Saad tu hata Amr Diab wa Misri yupo level nyengine kidunia kwa wasanii wa Africa maana nyimbo zake zianingia hadi Billiboard, Diab ameingia Billiboard Mara 6,

Pia mwengine Whizkid amefanya vizuri sana Billiboard.
 
Has got MI nakupa Tuzo za Level Za Dunia we unaweka za Nigeria kweli? Saad Ana Tuzo za MTV Africa na Europe, Hapa, Africa music Awards, Apple Music Awards etc.

Ukiangalia hapo Davido views hazifiki hata milioni 100, Saad hizo milioni kadhaa anafikisha in minutes, Ana nyimbo ina Views Bilioni sijui unaelewa hii level?

Na sio Saad tu hata Amr Diab wa Misri yupo level nyengine kidunia kwa wasanii wa Africa maana nyimbo zake zianingia hadi Billiboard, Diab ameingia Billiboard Mara 6,

Pia mwengine Whizkid amefanya vizuri sana Billiboard.
Timeless album by davido has got 100m streams in 17 days only on boom play platform. Don't forget he got more than 45m in Spotify
FB_IMG_16818582030246428.jpg
 
Timeless album by davido has got 100m streams in 17 days only on boom play platform. Don't forget he got more than 45m in SpotifyView attachment 2592530
Tumia hio spotifty, Nyimbo maarufu zaidi ya Davido ni Unavailable in streams 6.5m wakati Ensay ya Saad ina stream Milioni 33 nyimbo moja tu hio. Davido hana hata nyimbo moja yenye stream milioni 10 spotify wakati nyimbo zote maarufu za saad ni Milioni zaidi ya 10.

Na Boomplay ni App ya Nigeria kwanini unaieka hapa?
 
Tumia hio spotifty, Nyimbo maarufu zaidi ya Davido ni Unavailable in streams 6.5m wakati Ensay ya Saad ina stream Milioni 33 nyimbo moja tu hio. Davido hana hata nyimbo moja yenye stream milioni 10 spotify wakati nyimbo zote maarufu za saad ni Milioni zaidi ya 10.

Na Boomplay ni App ya Nigeria kwanini unaieka hapa?
Acha kujichekesha boomplay ni app ya wapi😆😀😁, halafu kuhusu Nyimbo zenye streams nyingi mbona ni 🔥🔥👉
👉Fall - 80 m+ streams on Spotify
👉blow my mind- 50m+
👉if - 50m +
👉risky 25m+
baba-mwajuma tuendelee au
👉 Don't forget album Ina siku 17 tu
 
Acha kujichekesha boomplay ni app ya wapi😆😀😁, halafu kuhusu Nyimbo zenye streams nyingi mbona ni 🔥🔥👉
👉Fall - 80 m+ streams on Spotify
👉blow my mind- 50m+
👉if - 50m +
👉risky 25m+
baba-mwajuma tuendelee au
👉 Don't forget album Ina siku 17 tu
Boomplay ni app ya Nigeria imetengengenezwa na Tecno pale Lagos ndo makao makuu, watumiaji wake wengi ni wa Nigeria.


Hio ni post ya zamani kidogo ila itakupa Idea

Huyu Davido Total views YouTube kwenye Vevo yake
Screenshot_20230419-123525.png

Hio career yake yote Davido nyimbo zote toka aanze mziki ni bilioni 1.1

Hii nyimbo moja tu ya Saad
Screenshot_20230419-124134.png

Nyimbo ina 1B views.

Ina maana nyimbo moja tu ya Saad imeangaliwa Sawa na Nyimbo zote toka Career ya Davido ianze, huoni mkuu hawafananishiki.

Saad anatambulika kabisa na Guiness World record kwa views zake.
 
Boomplay ni app ya Nigeria imetengengenezwa na Tecno pale Lagos ndo makao makuu, watumiaji wake wengi ni wa Nigeria.


Hio ni post ya zamani kidogo ila itakupa Idea

Huyu Davido Total views YouTube kwenye Vevo yake
View attachment 2592919
Hio career yake yote Davido nyimbo zote toka aanze mziki ni bilioni 1.1

Hii nyimbo moja tu ya Saad
View attachment 2592922
Nyimbo ina 1B views.

Ina maana nyimbo moja tu ya Saad imeangaliwa Sawa na Nyimbo zote toka Career ya Davido ianze, huoni mkuu hawafananishiki.

Saad anatambulika kabisa na Guiness World record kwa views zake.
Mkuu hebu angalia muziki wa ngozi nyeusi ulivyo struggle kuendana international. Na Sasa unavyo kubalika.
👉Huyo Saad huko kwao ni millions of people, so support ni lazima.
👉Amekuwa recognized kwa kipi??, So hata waimba kaswida wa huko wanna pata 1b views 😁😀
👉Hebu taja one song, aliyo mshirikisha international artist.
👉Ana fanya mziki wa aina ipi, davido kamuandikia Hadi ngoma Chris's brown. Na Chris's alisema wazi
 
Back
Top Bottom