Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi

I
I Can see your trying to blind your self men
 
Mkuu nimekuelewa sana
 
P
Point ya 2 hii ndio itakayo kufanya unywe soda pahala nije nilipe
 
Tu hoja twako dhaifu ndio maana hata comment zako huzion !! We mpaka leo unataman kuongeza ndugu ?? Dah..sasa kaa kwa kutulia nenda kwenye koo yako angalia dada zako walivo zalishwa nyumban na hawajaolewa 😂😂😂
 
Mkuu uyu anajitoa ufahamu sio bure
 
Now kuoa ni changamoto
 
Tu hoja twako dhaifu ndio maana hata comment zako huzion !! We mpaka leo unataman kuongeza ndugu ?? Dah..sasa kaa kwa kutulia nenda kwenye koo yako angalia dada zako walivo zalishwa nyumban na hawajaolewa 😂😂😂
Hahahahah
 
Mkuu umelipua Ikulu kabisa agiza makongoro au mishkaki na safari kadhaa hapo Kwa Mangi nakuja kulipa...Ukweli mtupu
 
Hlo jambo ndo ulipaswa uhitimishe nalo kwa wazaz wenye totoz za kike
Bora hata wa kike ..hao wa kiume ndo kazi sana kuwalea siku mashoga wameongezeka sana kuja hiyo biashara ya umalata ushindani umekuwa mkubwa. Bora uzae mtoto wa kike aje kupigwa pipe kuliko wa kiume.
 
Vijana oeni msijazwe na upuuzi wa mtoa mada ..hapo utakuta yeye ameoa, hayo masuala sijui ya kupata watoto hata usipokuwa na ndoa ni upuuzi mtupu nyie ndio mnazaa watoto wanakuja kuwa wahuni baadae ..ndio hao Malaya na wasagaji mnaowaona. Kama wewe mtoa madam babako asingemwoa mamako wewe usingazaliwa au ungekosa malezi ya wazazi wote pengine usingefika hapo ulipofika. Tafuta mtu aliyelelewa na mzazi mmoja halafu muulize madhara yake ni yapi atakuambia. Unapotosha vijana wasioe eti kisa mahitaji ya ndoa yanapatikana kirahisi. Mungu ameweka ndoa nyie wapuuzi wachache mnapinga, rudini kwenye viuno vya baba zenu na halafu na baba zenu wasioe mama zenu tuone kama mtapatikana.

Subiri ufike miaka 60 hapo ndo utaona umuhimu wa ndoa punda nyie wote mnaopinga ndoa.

Kama wewe ndoa Imekushinda basi usihamasishe wengine wafuate kushindwa kwako.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 

Karibu sana Mtoa comment
 
Kuna binti nilitarajia kwenda kumtolea mahari mwezi wa 10 lakini baada ya kusoma huu uzi, acha nijitafakari upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa wanawake ndio waathirika wakubwa wakuonewa huruma thamani yao imeisha. Cha msingi sisi wanaume tuwazalishe tuwachukue watoto wetu tuwape bekitatu watulelee na huyohuyo bek3 mara moja moja ukijisikia unakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…