Hakuna uratibu kati ya Wizara na Wizara ndio maana Dr Ndugulile anapandisha vifurushi na Dr Mwigullu anataka kukusanya sh 2 trillion!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya bwana kumbe hivo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya bwana kumbe hivo.
Ni hivyo tu mkuu😂😂, Sasa kwenye harakati za kuwajib watu wa aina hiyo ndo naonekana kama nafurahia watu wasiojiweza kuteseka. Ila kimsingi comments zangu nyingi zenye kufurahia, zinawalenga wale waliokuwa wakijifanya na kuigiza ni matajiri kinyume cha uhalisia wa maisha yao.
 
Sio kweki itangazwe hata kesho kuw passport ni haki ya kila raia uone mafuriko ihamiaji wakitaka passpirt dont underate Tanzanians .Tanzania na Ethippia ndio zinaongoza kuzalisha wahamiaji haramu Afrika ya kusini wasio na Passport shauri ya ubahili wao wa kutoa passport na kuhatarisha maisha ya vijana

Huwa nacheka nikisikia ohhh waethipia tumewakamata wako kwenye mapipa ya lami natukana serikali ya Ethiopia juwa shenzi kabisa wapeni raia webu passport kirahisi wasikamatwe Tanzania au popote

Tanzania na Ethiopia kuna tatizo hatuchekani sababu kuu kitengo cha passport kinachafua image ya nchi kwa kuzalisha wahamiaji haramu south Afrika wasio na passport kwa ugumu wao wa kutoa passport

Mambo ya nje msikae kulaumu wazamiaji ongeeni na kitengo cha Passport kinatia aibu nchi
 
Asilimia kubwa wenye passport ni maafisa wa serikali na taasisu zake ,bunge,mahakama na familia zao na wahindi na waarabu na wapemba na fanilia zao

Panueni wigo iwe haki ya kila raia mpate pesa pia mpanue wigo wa mapato ya serikali yaoangezeke wandengeteko nao wawe na passport hata kama hawasafiri wanataka tu for presitige
 
Mbona hizo gharama walizopandisha haziendani na uchumi wa kati! Mimi naona wapandishe hata 1Mb iuzwe kwa 10000 ili tuendane na uchumi wa kati au nasema uongo ndugu zangu?
 
Bora Kigamboni wangemchagua DAB! Daktari katuangusha sana
 
Baada ya kuambiwa mnaua Wafanyabiashara sasa wanaanza kuua Raia
 
Namshangaa sana mtanzania anayeamini lengo la trion 2 kwa mwezi haliwezi kutimia

Kama nikipatiwa ¼saa tu ya kuwashauri wizara ya fedha,lengo lao litatimia kirahisi kabisa bila kuwakamua wadanganyika
 
Faustino Ndungulile kapoteza wajihi Sasa lufyekwaitano ijayo
 
Leo umetoa pointi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…