ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya bwana kumbe hivo.Mimi sifurahii matatizo ya watu,ila nafurahishwa na nikichokigundua.Hapo zamani kabla ya vifurushi kupanda, humu jF Kila mmoja alikuwa anaweza kumtunishia misuli kiuchumi mtu yoyote kwenye hizi comments, tena wengine wanakwambia mara unaishi kwa shemeji na brabra nyingine [emoji28].
Leo nimefurahi kuona haohao waliowahi kunaimabia hivyo kwenye baadhi ya comments,nao eti wanalalamika bei za vifurushi[emoji23].