Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
- Thread starter
-
- #401
Kwa nini hadi nitume majina matatu ndio muweze kuniloga?Ata wewe unalogeka...
Tuma majina yako matatu na namba yako ya nida uone show...
Tukate mzizi wa fitina hapa
Hakuna pesa za misukule mkuu changamka akina mwamposa watazidi kutajirika kupitia wewePesa inatokana na hao watu ambao unawaloga..
A = B
B=C
THEN A = C
Huyoo anaogopaaaaa...Kwa nini hadi nitume majina matatu ndio muweze kuniloga?
Kwa nini hamuwezi kuniloga bila kuwatumia majina matatu?
Tumieni akili na uwezo wenu wote mlionao wa kichawi kuweza kuniloga.
Tumieni rada zenu hukohuko mlipo kuniloga jina, Infropreneur.
Sasa unaposema mimi ni tajiri namba ngap hayo ni matusi mkuu...Hakuna pesa za misukule mkuu changamka akina mwamposa watazidi kutajirika kupitia wewe
Mnaishi kwa kuunganisha dot hamna ushahidi mnaropoka tu
Mimi nataka useme wewe umetumia uchawi gani kupata pesa na ni tajiri namba ngapi hapa tz tofauti na hapo kula buyu
Unadai uchawi upo, ila Umeshindwa kuutumia utajirike sasa huo ni uchawi au umaskini?Huyoo anaogopaaaaa...
Tuma tukuoneshe showw yaani hii unapigwa kizinga hapa hapa now now...
Uchawi upo acha kujigamba nyuma ya keyboard mkuu...
Kuna vtu vingine ili uthibitishiwe lazima uwepo eneo la tukioUnadai uchawi upo, ila Umeshindwa kuutumia utajirike sasa huo ni uchawi au umaskini?
Thibitisha uchawi upo.
Na upo kwa namna gani?
Kula buyu mkuu usiwe mbishi kwa vitu huwezi thibitishaSasa unaposema mimi ni tajiri namba ngap hayo ni matusi mkuu...
Tukutane katika uzi wetu wa ushuhuda kule 😀😀😀😀😀
😀😀😀 We jamaa mbona unaniandamaKula buyu mkuu usiwe mbishi kwa vitu huwezi thibitisha
Turekodie misukule ikikupa pesa
Au turekodie nyoka akitema pesa na tujue wewe ni tajiri wa ngapi hapa tz
Shuhuda za maneno ni utapeli
Mbona kuna matajiri majina yao matatu yana fahamika kabisa.Kuna vtu vingine ili uthibitishiwe lazima uwepo eneo la tukio
Toa ujanja wako hapa. Mjanja wewe.Toa upuuzi apa kwaiyo unataka nikupigie picha nikuletee uyaone.
Mjinga wewe
ujinga ndio uko hapa. hela zinakujaje kwa wewe kunywa damu saa 4 asubuhi kila siku?
Tuma majina acha mbambambaMbona kuna matajiri majina yao matatu yana fahamika kabisa.
Kwa nini msitumie hayo majina kuwaloga hao matajiri wakubwa wakafilisika?
Haya tumia huo uchawi wako kumloga,
Mohammed Gulam Dewji.
Na alogeke kweli.
Wewe si unadai ukitumiwa majina matatu uchawi unaweza kumloga mtu?
Haya sasa mloge Mo. Majina yake matatu hayo hapo juu.
Mohamed Gulam Dewji.Tuma majina acha mbambamba
Uwezi ukawa wewe...Mohamed Gulam Dewji.
Thibitisha kama sio mimi.Uwezi ukawa wewe...
Alafu sitaki niloge ili nipate utajiri wako nataka niloge upagawe
Uwe chiziiii utoke na madendaaa
Michael Jackson ulifanikiwa kumsikia? Ni mfano mmoja wa waliotajirika kwa kuuza nafsi yake kwa shetani in exchange to money. Ukisikiliza wimbo wake wa Money analiconfirm hilo.Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa hapa nchini Tanzania, Afrika au duniani alifanikiwa kwa nguvu za kiroho tu?
Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa hapa nchini Tanzania, Afrika au duniani alifanikiwa kwa kuuza nafsi yake kwa shetani?
Kwanza thibitisha uwepo wa shetani.
Kisha eleza na thibitisha hiyo nafsi ni nini?
Na hiyo nafsi inauzwaje kwenda kwa huyo shetani?
Aliuza hiyo nafsi lini? Siku gani? Mwaka gani?Michael Jackson ulifanikiwa kumsikia? Ni mfano mmoja wa waliotajirika kwa kuuza nafsi yake kwa shetani in exchange to money. Ukisikiliza wimbo wake wa Money analiconfirm hilo.
Na ww kauze nafsi upate pesaMichael Jackson ulifanikiwa kumsikia? Ni mfano mmoja wa waliotajirika kwa kuuza nafsi yake kwa shetani in exchange to money. Ukisikiliza wimbo wake wa Money analiconfirm hilo.