Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Lipia na weweMkuu Vincenzo Jr nakuona sahivi upo na u-platinum 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipia na weweMkuu Vincenzo Jr nakuona sahivi upo na u-platinum 😀
Dah! inalipiwa tena, bei gani?Lipia na wewe
Muulize OKW BOBAN SUNZUDah! inalipiwa tena, bei gani?
Hawa tunafunga nao msimu huu ... "Biashara " zitadoroora sanaaaaNyuzi kama hizi kwa kipindi hiki cha mwezi wa mnyaazi sio ngeni, labda kwa wageni wa jiji.
Sinywi pombe ila simzuii mtu kunywa. Pombe ni kinywaji kama vinywaji vingine.Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!??
Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.
Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Sasa nawewe umeamka na hangover ya kuingilia maisha ya watu stop that habitHivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!??
Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.
Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Kahawa haina tofauti na uchawi.Ni sawa na mimi ninavyowashangaa wanywaji wa kahawa, sionagi utamu wa kajawa ila vijiwe kibao unakuta wamejikusanya na inauzika kwelikweli
Oya Mimi sio Muislamu sawa.Nyuzi kama hizi kwa kipindi hiki cha mwezi wa mnyaazi sio ngeni, labda kwa wageni wa jiji.
Hiyo pia ni privacy yake, hajajushirikisha kunywa, kanywa peke yàke.Privacy ya mtu wakati anakunywa hadharani?
Overrated kama David Beckham 😩😂😂Sio kweli mkuu
Kumbe outing yako haina gharama. Maana Novida 2 humaliziSitumii mhasibu.
Kwanini wapoteze pesa zao kwenye ujinga!!!Usi pangie watu wazima matumizi sahihi ya pesa zao.
Mimi sinywi ila naheshimu privacy ya mtu, Kumbuka infringement of privacy is a crime offense.