ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Hata novida situmii, mimi ni maji, fresh juice, maziwa au mtindi.Kumbe outing yako haina gharama. Maana Novida 2 humalizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata novida situmii, mimi ni maji, fresh juice, maziwa au mtindi.Kumbe outing yako haina gharama. Maana Novida 2 humalizi
Mbona mkeo aliniambia una kibamia unamridhisha kweli?Ww hunywi pombe lakini huna pesa Wala nini na mkeo anakunyima unyumba unabaki unalia Lia me nala gambe na pesa kias nashika na wife nampiga triple per round...
"Wasabato" kama wewe starehe zenu mnafanyia kwenye gizaHata novida situmii, mimi ni maji, fresh juice, maziwa au mtindi.
Mmmh! Mimi sina starehe"Wasabato" kama wewe starehe zenu mnafanyia kwenye giza
Si mawazo yapo kwenye ngono.Usikute hunywi pombe, na KONDOMU hutumii
😅😅😅 Tupo pamoja Mkuu.hahaha [emoji23]
Nikiwa na stress huwa naagiza fanta kreti zima.
hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote. Ngoja Gen Z waje.Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?
Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.
Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Amekusimulia au siyo..!!Si mawazo yapo kwenye ngono.
Unahisi kila mtu ni malaya kama wewe.
Kwanza bado una kibamia maana mkeo analalamika una mb++ kama kidole cha pete
Ndiyo aliniambiaAmekusimulia au siyo..!!
SawaNdiyo aliniambia
Nimesoma kwa kuvutiwa na kichwa cha habari.Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?
Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.
Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Mm ni mnywaji na hapa muda huu napambana na hangover kali, mwili hauko ktk hali yake..kiasi cha fedha nilichotumia Kwa Jana ni 150,000 tsh..naungana na mleta mada..pombe ni upuuzi, pombe ni mzigo Kwa mtu binafsi, familia na taifa! Wengi tunakunywa Kwa sbb ya mazoea na addiction tu.Unaposema pombe ni ujinga unamaanisha wanywaji ni wajinga, wauzaji ni wajinga, serikali iliyoruhusu ni wajinga pia.
Kuna watu wengi sana wanaendesha maisha kupitia hizo pombe.
Me sio mnywaji lakini acha kuingilia starehe za watu kama hujawasaidia kutafuta hela. Acha kabisa!
Unaingilia uhuru wao, unaingilia pesa zao, unaingilia haki zao za msingi za kisheria na kibinadamu.
Pombe tamu sana 😋 😎Japo nilishaacha ila hazijawahi kuwa mbaya🥴
Soda au juice je?Situmii mhasibu.
Fresh juice✅Soda au juice je?
Duo ipi unaipenda zaidi mie napenda ya embe na parachichiFresh juice✅