Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Ww hunywi pombe lakini huna pesa Wala nini na mkeo anakunyima unyumba unabaki unalia Lia me nala gambe na pesa kias nashika na wife nampiga triple per round...
Mbona mkeo aliniambia una kibamia unamridhisha kweli?
 
hahaha [emoji23]
Nikiwa na stress huwa naagiza fanta kreti zima.
😅😅😅 Tupo pamoja Mkuu.

Hapo ukiagiza wakulungwa wanakukata jicho, Kimoyomoyo wanajisemea huyu mshamba anaagiza soda✍️🤣
 
Kuna watu kwenye comments wanahisi kila mtu ni malaya kama wao.

NB: Na wengi wanaowaza ngono mda wote ni wale wenye mb** kama za watoto wa chekechea na wake zao wanalalamika humu kila siku.
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote. Ngoja Gen Z waje.
 
Kuna siku nilikunywa Fanta nikalewa nikaanza kuwaombea watu waache kunywa pombe
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Nimesoma kwa kuvutiwa na kichwa cha habari.

Ulipokuja kwenye habari yenyewe umegeuka na kuwa mshauri tu wa matumizi ya pombe!

Utamu wa jambo lolote huwa ni hisia kuliko uhalisia, basi ngoja nisiyachimbe sana.

Endelea kuwashauri vijana waache kujihusisha na ulevi.
 
Unaposema pombe ni ujinga unamaanisha wanywaji ni wajinga, wauzaji ni wajinga, serikali iliyoruhusu ni wajinga pia.
Kuna watu wengi sana wanaendesha maisha kupitia hizo pombe.
Me sio mnywaji lakini acha kuingilia starehe za watu kama hujawasaidia kutafuta hela. Acha kabisa!
Unaingilia uhuru wao, unaingilia pesa zao, unaingilia haki zao za msingi za kisheria na kibinadamu.
Mm ni mnywaji na hapa muda huu napambana na hangover kali, mwili hauko ktk hali yake..kiasi cha fedha nilichotumia Kwa Jana ni 150,000 tsh..naungana na mleta mada..pombe ni upuuzi, pombe ni mzigo Kwa mtu binafsi, familia na taifa! Wengi tunakunywa Kwa sbb ya mazoea na addiction tu.
 
Back
Top Bottom