ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mimi napenda ya nanasiDuo ipi unaipenda zaidi mie napenda ya embe na parachichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napenda ya nanasiDuo ipi unaipenda zaidi mie napenda ya embe na parachichi
Pole sana na hangover..inakeraga balaaMm ni mnywaji na hapa muda huu napambana na hangover kali, mwili hauko ktk hali yake..kiasi cha fedha nilichotumia Kwa Jana ni 150,000 tsh..naungana na mleta mada..pombe ni upuuzi, pombe ni mzigo Kwa mtu binafsi, familia na taifa! Wengi tunakunywa Kwa sbb ya mazoea na addiction tu.
Hongera sana,usirudi nyuma...Naunga mkono hoja , mimi mwenyewe nimeacha ila pombe ni tamu
Walleykum salaamAssalam aleikum
Asante mkuu, nahangaika na nyama choma hapa, kachumbari na limao nyingi labda naweza kaa sawaPole sana na hangover..inakeraga balaa
Utamu UKo kwenye papuchi mwamba asikwambis mtuHivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?
Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.
Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
😂Hongera sana,usirudi nyuma...
Kunywa siku unayotaka kusex tu huongeza mizuka
Ww endelea kunywa energy usipende vtu vtamu sana kunywa kwa kias beerHivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?
Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.
Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Mimi ni muislamu sinywi pombe ila siku moja mwaka 2015 nilijaribu kunywa grand malt kwa sababu imeandikwa haina ALCOHOL basi bwana huo uchungu wake nilitaka niimwage ila ikawa naona kama namwaga hela zangu nilizoinunulia tsh 2000 basi nikaimalizia hivyo hivyo kiugumu kama vile nakunywa mwarobaini nikapata somo la kuacha kujaribujaribu vitu nisivyovijua !Nahisi huwa ni addiction tu
Maana, Nimewahi kusikia pombe hasa beer huwa ni chungu mtu anapoianza kunywa kwa mara ya kwanza
Kunywa maj mengiAsante mkuu, nahangaika na nyama choma hapa, kachumbari na limao nyingi labda naweza kaa sawa
Hahaha.......pole MkuuMimi ni muislamu sinywi pombe ila siku moja mwaka 2015 nilijaribu kunywa grand malt kwa sababu imeandikwa haina ALCOHOL basi bwana huo uchungu wake nilitaka niimwage ila ikawa naona kama namwaga hela zangu nilizoinunulia tsh 2000 basi nikaimalizia hivyo hivyo kiugumu kama vile nakunywa mwarobaini nikapata somo la kuacha kujaribujaribu vitu nisivyovijua !
Kama grandmalt ni chungu hivyo na jua na bia ni hivyohivyo!.
We jamaa jau sn😄😄Nyuzi kama hizi kwa kipindi hiki cha mwezi wa mnyaazi sio ngeni, labda kwa wageni wa jiji.
Ndio kweli mkuuWe jamaa jau sn😄😄
Kumbe nazo zina uraibu aiseee..Kahawa ina uraibu m baya zaidi ya pombe
Ina urahibu mbaya,ilisha nikamata ni replace na juice ya matunda kila siku mpaka nikarudi kawaida.Kumbe nazo zina uraibu aiseee..
Ile kitu sionagi utamu wake ila wazee wanakula hata vikombe 4