Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Mm ni mnywaji na hapa muda huu napambana na hangover kali, mwili hauko ktk hali yake..kiasi cha fedha nilichotumia Kwa Jana ni 150,000 tsh..naungana na mleta mada..pombe ni upuuzi, pombe ni mzigo Kwa mtu binafsi, familia na taifa! Wengi tunakunywa Kwa sbb ya mazoea na addiction tu.
Pole sana na hangover..inakeraga balaa
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Utamu UKo kwenye papuchi mwamba asikwambis mtu
 
Hapa mle anaelekea Arusha tar 7 nasubiria kazigo kanguu nichafuane mpaka YANGA ishinde ndio nakaachia YAAN na lodge kuna TV ndan nagobga huku napata droskotff siiachii mpaka YANGA ishinde

Wanawakeday
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Ww endelea kunywa energy usipende vtu vtamu sana kunywa kwa kias beer
 
Nahisi huwa ni addiction tu

Maana, Nimewahi kusikia pombe hasa beer huwa ni chungu mtu anapoianza kunywa kwa mara ya kwanza
Mimi ni muislamu sinywi pombe ila siku moja mwaka 2015 nilijaribu kunywa grand malt kwa sababu imeandikwa haina ALCOHOL basi bwana huo uchungu wake nilitaka niimwage ila ikawa naona kama namwaga hela zangu nilizoinunulia tsh 2000 basi nikaimalizia hivyo hivyo kiugumu kama vile nakunywa mwarobaini nikapata somo la kuacha kujaribujaribu vitu nisivyovijua !
Kama grandmalt ni chungu hivyo na jua na bia ni hivyohivyo!.
 
Mimi ni muislamu sinywi pombe ila siku moja mwaka 2015 nilijaribu kunywa grand malt kwa sababu imeandikwa haina ALCOHOL basi bwana huo uchungu wake nilitaka niimwage ila ikawa naona kama namwaga hela zangu nilizoinunulia tsh 2000 basi nikaimalizia hivyo hivyo kiugumu kama vile nakunywa mwarobaini nikapata somo la kuacha kujaribujaribu vitu nisivyovijua !
Kama grandmalt ni chungu hivyo na jua na bia ni hivyohivyo!.
Hahaha.......pole Mkuu


Sasa hiyo ni grandmalt, piga picha ya konyagi itakuwa chungu kiasi gani 🤗
 
Pombe haina utamu wowote nawaoneaga huruma wanywa pombe za spirit wanavopata shida kumeza fundi yaani mtu anakunya sura utafikiri anacheza amapiano au anameza kaa la moto.mpaka unajiuliza kashikiwa bundugu au kalazimishwa
 
Back
Top Bottom